couners

14 odds
%E8%B6%85%E7%BA%A7%E6%88%AA%E5%B1%8F_20240215_100945.jpg
 
Mechi za leo zimekaa kimagoli magoli kama watacheza kama kawaida yao ya kufunguka na kushambulia,,,, yaani zinaonekana open kweli,,,,,lakini sasa dah
 
Ogopa sana hizi kampuni

1xbet (mama yao)
22bet
Helabet
Paripesa

Kimsingi hiyo ni kampuni moja ya mamafia wa Russia

Bongo walianza kama 1xbet wakashindwa sheria za bongo wakafutwa
Wakaja kwa mlango wa nyuma na jina la 22BET, wakatapeli watu kisha wakasepa
Wakarudi tena kwa dirisha la sebuleni kwa jina la HELABET, wakatapeli watu wakasepa kimya kimya
Na sasa wametoboa dari wamekuja kwa jina la PARIPESA, wameanza kufanya the same na walivyofanya 1xBet 22bet na Helabet

Kwanza mobile transactions zina anza kuja na kupotea, mara inabaki kudeposit tu kutoa hakuna
Baada ya hapo wanapotea mazima

Kama unaipenda sana hiyo kampuni njia rahisi na afadhali kidogo ni kutumia 1xbet kupitia mawakala ( ingawaje nayo ni kosa kisheria)

UKIONA KAMBUNI IMEONDOLEWA MOBILE PAYMENT UJUE IMEKOSA VIGEZO NA IMEPIGWA PINI KUENDELEA NA BIASHARA

Kambuni yoyote ambayo haina mobile payment..... bet at your own risk
Asante Sana mkuu kunifungua hapa.
 
Back
Top Bottom