Hiyo kitu siifahamu, unaweza kunipa maarifa kidogo mkuu?
hufahamu nini kutoka kwenye hayo maelezo yangu?, hufahamu kupiga hela kupitia mwanya wa network ya bookie kuzingua?, au hufahamu jinsi ya kucheza rollover?.
 
Wale wapenda matreni ya muda mrefu kwa ajili ya kucash out, mfollow X anaitwa Jaredadcrypto ana mikeka ya hela sana. Nashindwa kutupia codes humu acc naibia sio yangu. Nikipata wasaa nawajulisha kama hivi.
Screenshot_20231112_134656_Gallery.jpg
 
Leo nakuwa mtabiri

  • mechi nyingi sanaa zitatoa over 2.5
  • mechi moja ya mkubwa itatoa 0-0
-Mechi moja ya mkubwa atapigwa
Dah sa hapo unatofauti gani na kina mwamposa?!

Maana umeongea kiuhalisia na siyo utabiri ,,, ni sawa na kusema mwaka huu namuona mtu mmoja akijenga na nyumba kukamilika!! Kwenye watu mia si kutakuwa na watu wanaojenga tu!!

Sawa nabii 😂😂😂
 
Back
Top Bottom