loliondokwetu
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 1,004
- 1,077
Kapombe na mwamba wa lusaka wamekosa penalty zao.
Wakuu kesho napiga nyeto kama kiapo cha kuwaacha na ndoto ya utajiri kwa buku
Huu ndo mkekaMpe wydad
Mpe mamelod
Mpe esperance
Raja weka gg
Man u leo na tot weka gg
Newcastel leo weka over 2.5
Yanga weka win
Jumamos mpe barca win mpe madrid win
Mpe napoli win jumamos
Jumapili mpe man city win
Man u na vila wape gg
Tot na live wape gg
Huu mkeka weken hela J2 jion tutakutana hapa mtanambia
Osassuna kapigwa mbili mtungiReal sociedad fc vs osassuna fc wametokaje wazee ??
ENDELEA kuota kumpa Kanji hasara. Siku akikufilisi ndio utaamka. "Many will deposit, and very few will withdraw"Ila leo nimeamini kubet kazi kweli unaeza pata hata ugonjwa wa presha timu umeiamini Unaiomba over 3.5 au over 2.5 inachokifanya sasa
All in all kesho tunaendelea tulipoishia. Lengo kuu ni kumrudisha kwao kanjibai na hasara za kutosha
Mkifika salama Mkajipongeze Mwailubi au City PubWakamalia mmeamkaje, hope mpo vizuri kwa mapambano .
Safari yetu tuliyoianza juzi bado inaendelea tuendelee kumuomba mungu Kama tukivuka vizuri Leo kipande Cha mlimba mpaka makambako ambapo kuna mapango mengi basi kesho tunafika mbeya.
Tumuombee mwendesha chombo asiwe na wenge atufikishe. Dua zenu Ni muhimu ili tukifika salama tukajipogeze mbeya pazuri, carnival au chimbo lolote lile la ukweli.
Pamoja wakamalia
Mkifika salama Mkajipongeze Mwailubi au City Pub
Ahaha , me napambana na Arosto ninaamini ntaacha tu aiseWakuu kesho napiga nyeto kama kiapo cha kuwaacha na ndoto ya utajiri kwa buku
Hiyo formular hawaijui hawaENDELEA kuota kumpa Kanji hasara. Siku akikufilisi ndio utaamka. "Many will deposit, and very few will withdraw"
Tren langu limeishia njian daah...View attachment 2603175