Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 4,878
- 11,429
Una uhakikaMa giant wa scotland wamekua wapuuzi puuzi, nawakubali sana slavia na sparta wale jamaa kukuchoma ni nadra sana.
Uhakika, kwenye ligi ndogo timu za uhakika zinazoweza kukupa win hata mechi 8 mfululizo ni PSV, Fernabahce, Galatasaray, Slavia na Sparta. Hao wengine mechi ya tatu au ya nne anachoma.Una uhakika
Ni kweli mkuu wala sikupingi kabisa ligi kubwa ujerumani wanatabirika sana....hasa GGUhakika, kwenye ligi ndogo timu za uhakika zinazoweza kukupa win hata mechi 8 mfululizo ni PSV, Fernabahce, Galatasaray, Slavia na Sparta. Hao wengine mechi ya tatu au ya nne anachoma.
Sahihi kwasabau timu za ujerumani wanafunguka sana, ila Freiburg na Union Berlin ni tofauti na wenzao, wao style yao ni kupaki bus kwaiyo kukunyima goli ni kawaida.Ni kweli mkuu wala sikupingi kabisa ligi kubwa ujerumani wanatabirika sana....hasa GG
Union berlinSahihi kwasabau timu za ujerumani wanafunguka sana, ila Freiburg na Union Berlin ni tofauti na wenzao, wao style yao ni kupaki bus kwaiyo kukunyima goli ni kawaida.
Kamali ni starehe sio sehemu ya kazitimu moja imechana asubuhi leo
Wana mechi ngumu mnooo...hawa kina selemani ndo sijui.Kikosi cha Spurs bila Mungu kuwasimamia hawatoboi aisee, halaf kumbe niliwapa dc.
Wewe njaa zinakusumbua.....Kamali ni starehe sio sehemu ya kazi
Wana mechi ngumu mnooo...hawa kina selemani ndo sijui.
Wana mechi ngumu mnooo...hawa kina selemani ndo sijui.
Screenshot iyo email umandikaajeWakuu nimedeposit kama 25,000/= kwenye 1x bet Lakini Hela haijafika wananipa emails niwacheck Lakini hawajibu emails tokea asubuhi Hapo issue inakuaje? Yameshapita masaa kama 6 hivi
Ninao tayari...😅😅😅Chukua odds za selemani afu ukafanye mambo yako
Ninao tayari...![]()
Man united a.k.a selemaniakina sele ndo nani hao?
Tia maji tia maji 😅😅😅Ukiibetia Man U usifatilie hata io game unaeza pata stroke dakika ya 30 tu
Man united a.k.a selemani