Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Hivi hii game ya fainal ya Yanga kama unataka kucheza single ya kujitoa muhanga kama kuanzia 100k utaruka na option gani mdau?

Akili inanituma nicheze hizi lakini nikifikiria spirit ya Yanga roho inasita sita
IMG_2025.jpg
 
EWE MWANANCHIIIII HAKIKA LEO NI SIKU AMBAYO TUNAENDA KUUDHIHIRISHIA ULIMWENGU KWAMBA YANGA NI KUBWA KIASI GANI NA TUNA UKUBWA KIASI GANI KATIKA SOKA.
NAJUA KUNA WATU HAWATA PENDA HISTORIA TUNAYOENDA KUIANDIKA LEO HII.


NIKUOMBE TU KAMA HUNA USTAHMILIVU NA TIMU YA YANGA USIANGALIE MECHI YA LEO.
MECHI HII NI KWA AJILI YA WABOBEZI WA SOKA.
💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛
 
Nihivi humu ndani hamna mcheza kamari ambae anaijua kuicheza kamari ila humu kuna waoga wengi sana ,hebu nikuambie kitu niliwahi kuwa msimamizi wa tipa za mchanga kijiji fulani mtwara wale vijana waliokipakia mchanga sasa ile siku ilikuwa fainal ya uefa kati ya Chelsea na man city na ile gemu chelsea alipewa odds kubwa sana chakushangaza wale vijana tulivyowapa malipo yao badala wagawane ilikuwa laki 4 na 60 wao wakakubaliana waitie yote wampe chelsea nakweli walifanya hivyo na wakamla muhindi bila shaka chelsea alipewa odds 3
kea hiyo kufuatia ilo tukio lako ndo ukaja na hiyo conclusion yako?
 
Back
Top Bottom