Wakuu izi options zinamaan gani? Kwa mfano iyo niliyo click nyekundu..
Cc: BuddyView attachment 2010327
Kama sijakosea;
Ashinde away(2), na kipindi cha kwanza yapatikane magoli kuanzia matatu(3+)& kipindi cha pili lipatikane angalau goli moja(1+)
Wakuu izi options zinamaan gani? Kwa mfano iyo niliyo click nyekundu..
Cc: BuddyView attachment 2010327
Wakuu izi options zinamaan gani? Kwa mfano iyo niliyo click nyekundu..
Cc: BuddyView attachment 2010327
Nimemkamata tena 292k
Madagascar 0- Tanzania 1.
Msuva dk 25'
Tanzania ni timu ya Ajabu sana yaani kila mara wao huenda kinyume tu pale wanapotegemewa kufanya hawafanyi wakipuuziwa ndipo wanafanya dah!Madagascar 0- Tanzania 1.
Msuva dk 25'
Hii gemu Tanzania akishinda inaweza leta matumaini ?
Hii gemu Tanzania akishinda inaweza leta matumaini ?
Kampuni gani hiiinakuja kimfumo huo haikopikiView attachment 2010237
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Tz mi hata sihangaikagi naoOdds nne za tZ zinatoa leo
Inashangaza sana halafu wanashinda mechi ambazo hazina umuhimu ,zile muhimu wanapotezaTanzania ni timu ya Ajabu sana yaani kila mara wao huenda kinyume tu pale wanapotegemewa kufanya hawafanyi wakipuuziwa ndipo wanafanya dah!
Hamna lolote wameshatoka wanatimiza ratibaHii gemu Tanzania akishinda inaweza leta matumaini ?
Preinakuja kimfumo huo haikopikiView attachment 2010237
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Press hold hapo kwenye hizo codes utaonainakuja kimfumo huo haikopikiView attachment 2010237
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app