Wale waover 2.5 kwa man city napsg hali ikoje huko?
mwanitesa utd kwl mtaisoma namba.View attachment 1220860
Buyen angekula nyumba wwGame zote UEFA leo
UNDER 5.5goal
Odd 4.5
Weka nyumba kabisa, usubili gorofa kwa wakala
Mi mwenyewe nimeitafuta sana janaMbona sipati option ya kona uku PMbet au ndio hawana?
Isee pole sana mkuu muhindi sio mtu mzuru kabisa ukimpiga anakushawishi uongeze dau then anachukua na faida yakoJana nilivibetia vitumu vile vya mapema nikala 183000, nikachukuwa 50000 nikasema ngoja nipige hela nikaweka mkeka nikampa real Madrid ashinde na toternham moja kwa moja aiiiiiiiiseee ile wamechana mkeka wangu wa mamiliion,,zile timu senge sana kila nikiiamini lazima zipigwe au isale
Jana madrid kaniweka ile popo kipopo kanyea mbingu, akasepa na mtaji wangu wote bila huruma.
Jana madrid kaniweka ile popo kipopo kanyea mbingu, akasepa na mtaji wangu wote bila huruma.
Dahh madrid kipusa sanaJana madrid kaniweka ile popo kipopo kanyea mbingu, akasepa na mtaji wangu wote bila huruma.
siku ikitokea umeziamini utuambie si tuziue kwa handcapJana nilivibetia vitumu vile vya mapema nikala 183000, nikachukuwa 50000 nikasema ngoja nipige hela nikaweka mkeka nikampa real Madrid ashinde na toternham moja kwa moja aiiiiiiiiseee ile wamechana mkeka wangu wa mamiliion,,zile timu senge sana kila nikiiamini lazima zipigwe au isale
Nimewaka pesa yakutosha, ngoja nisubri feedbackLeo naweka buku ten tuu
Slavia Prague vs Borussia dortmu -2
Genk-Napoli ---2
Liverpool. Vs Salzburg---1
Barcelona Vs inter--1
Nb Chelsea Leo atapigwa gori nyingi zaidi ya zile za majinga Yale Tottenham
Jana watoto walinipa hela asee,ila nilicheza over1.5Watoto wa UEFA jana wote wamepiga 3+ na leo pia wapo mchana, bora kucheza hawa kuliko kusubir baba zao ucku halaf wanazinguaView attachment 1221413