Uncle bright
JF-Expert Member
- Feb 9, 2023
- 1,040
- 4,084
- Thread starter
- #21
Hii ilitamba zaidi ndani ya mipaka ya BongoDaz nundaz - kamanda
Hii ilitamba zaidi ndani ya mipaka ya BongoDaz nundaz - kamanda
Kumbe Eno Mic aliitengeneza Mika Mwamba. Ila mimi ngoma yangu ya muda wote toka kwa mika mwamba ni ngoma ya Hard Mad ya Tamala.
View: https://www.youtube.com/watch?v=WGTudLmckJM
Ngoma ilitambaMada ice Baby girl kwangu Mimi ni the best music All time
Ni mfinland mshikajiKusema ukweli mimi sio mpenzi wa muziki sana (so sio mfuatiliaji sana) ila jina la Mika Mwamba nimelisikia zamani sana.
Cha ajabu leo hii muda huu ndio nafahamu kuwa jamaa kumbe ni mzungu sio mtu mweusi 🤣🤣
Kwangu ni namba one, kumbuka alikuwa anafanya muziki kama hobby / part time, muda mwingi alikuwa anarudi kwao Finland, akitua bongo anafumua mawe kibao ndani ya muda mchacheOne of the best producers
Nadhani yupo Top 3
Number 1 hapana, bado namba 1 anastahili p funkKwangu ni namba one, kumbuka alikuwa anafanya muziki kama hobby / part time, muda mwingi alikuwa anarudi kwao Finland, akitua bongo anafumua mawe kibao ndani ya muda mchache
usichojua ni kwamba P alikuwa anahusika zaidi kwenye mixing, kwenye kutengeneza biti kawatumia sana kina Soggy Dogy, Ludigo, Bizman, Mzungu kichaa, n.k. P kwenye biti sanasana ni kwenye kicks.Number 1 hapana, bado namba 1 anastahili p funk
Ludigo yupo wapi?, Enrico? Yule jamaa wa sound crafters?, Rajabu Marijani nk.usichojua ni kwamba P alikuwa anahusika zaidi kwenye mixing, kwenye kutengeneza biti kawatumia sana kina Soggy Dogy, Ludigo, Bizman, Mzungu kichaa, n.k. P kwenye biti sanasana ni kwenye kicks.
Kibanda cha simu, Soggy kapiga biti mwanzo mwisho
Mikasi ludigo kahusika zaidi
Umenikumbusha mbali sana. Kulikuwa na Fila na dAdA, watu wanajiwekea plasta kama nelly na ribon kichwani na mkononi kama wacheza basket. Enzi hizo tunaenda disco tunajiona tuko mbele. Kweli wakati ukuta now nshakuwa mdingi fulani hivi naitwa baba na watoto.Hii Ngoma inanikumbusha Enzi hizo nikienda club navaa kaoshi alafu na shati naachia vifungo.
Jinzi ile ya Fila buga
Kiatu cheusi asee.
Kitambo kimtindo
Ilikuwa hatari kaka miaka ya nyuma ukienda disko unaonekana mhuni flan ivi.Umenikumbusha mbali sana. Kulikuwa na Fila na dAdA, watu wanajiwekea plasta kama nelly na ribon kichwani na mkononi kama wacheza basket. Enzi hizo tunaenda disco tunajiona tuko mbele. Kweli wakati ukuta now nshakuwa mdingi fulani hivi naitwa baba na watoto.
Wengi walishaacha muziki wapo na shughuli zingineLudigo yupo wapi?, Enrico? Yule jamaa wa sound crafters?, Rajabu Marijani nk.
Nakubali mkuu
enzi hizo Afrika Mashariki ni Tanzania, Kenya na Uganda (TAKEU)
Hizi ni kazi alizoweza kufanya na wasanii wa nchi zote za Afrika Mashariki na zikawa super hits zilizoteka media za nchi zote za Afrika Mashariki.
1. Kenya - Prezzo ft Naziz (Lets Get Down)
2. Uganda - Ziggy Dee (Eno Maiki), Mad Ice (Baby Gal)
3. Tanzania - HardMad (Tamala), Saida Karoli (Salome), Dudu baya (Mpenzi), Picco (Kikongwe), Balozi (kwenye chati)
kumbuka kwa hapa Tanzania alikuwa anafanya muziki kama side hustle / part time, hakuwa anafanya full Time, Muda mwingi alikuwa anarudi kwao Finland kuendelea na shughuli zake, si ajabu hakuweza kutengeneza muziki full time kama kina P na Master J sababu mshahara aliokuwa analipwa hapa bongo haukuweza kukidhi maisha yake ya Ulaya ambako hata zile kazi zenye vipato vidogo sana mtu analipwa si chini ya elf 20 kwa saa.
alikuwa na uwezo pekee ila watu hawamjui, akatafuta jina kwa kumrekodia bure inspekta, baada ya hapo wasanii wengi wakawa na imani naeIspector Haroon aligongewa ngoma ya mtoto wa geti kali na Mika Mwamba free kabisa. Na nadhani hii ndio ngoma iliyomtambulisha Yeye Mika na ispecta haroon.
Hii kwangu ndio gretest of all tym.
Njoo tuanzishe legacyHakuna shangazi aliyetuwakilisha akapata mbegu ya kuendeleza kipaji?? 😜
Comment yangu mtu mwenye makasiriko asiguse pls..!!
Ni kweli Bongo Records ilikua "team" ya watu wengi walikua wanahusika hadi akina Allain Mapigo,Marco Chali,Q the don walishawahi kupita hapo ...ila kwa Miika Mwamba ilikua habari nyingine jamaa alikua jeshi la mtu mmoja ...Producer,Beat Maker,Mixing&Mastering Master,Sound Engineerusichojua ni kwamba P alikuwa anahusika zaidi kwenye mixing, kwenye kutengeneza biti kawatumia sana kina Soggy Dogy, Ludigo, Bizman, Mzungu kichaa, n.k. P kwenye biti sanasana ni kwenye kicks.
Kibanda cha simu, Soggy kapiga biti mwanzo mwisho
Mikasi ludigo kahusika zaidi