G.Jacob
JF-Expert Member
- Aug 12, 2013
- 3,617
- 3,490
Katiba yao imeainisha kabisa mkuu, ni lazima waziri mkuu awe m'anglikana na awe anahudhuria ibada takatifu. Hivyo hivyo kwa mfalme/malikia na crown prince nao humo humo amri moja.Udini wao umefichwa moyoni sio rahisi kuona
Kama unadhani haupo subiria siku muislam agombee uwaziri mkuu
Never haitikoea sababu ukristo ndio utamaduni
Ukiona muislam kashika nyadhifa fulani basi jua wamempa hio katika kuwavutia tu Wala sio kivile
Ni rahisi mtu mweusi kuwa waziri mkuu uingereza ila sio muislam kuwa waziri mkuu