Miji ya Canada ni mizuri zaidi ya Marekani

Miji ya Canada ni mizuri zaidi ya Marekani

America huwezi kuwa Rais bila kuwa na dini na tena iwe Ukristo.
Americans hawawapendi kweli kweli Waislamu ambao ni minority haijalishi anatoka wapi ila Canada haina shida ndio maana wengi wanakimbilia.

Omar wa Democratic hawezi kurejea tena bungeni na waliomchagua wanajuta sasa, kauli anazotoa na anayoyafanya ni kama yanapigia mstari au kuhalalisha chuki za Americans dhidi ya Waislamu

Kama kawaida unawafahamu wasomali sio socialites waga ni wao kwa wao tu popote duniani hata kuoana ni wao kwa wao sasa ndiyo anayoyafanya yanachafua mpaka image ya dini yake.
America udini upo mbele sana kuliko Canada
You're so good, I deeply appreciate you, siyo yule mbururaz limeishi US, na kurudi Bongo kumshangilia Dikteta
 
Ina maana hujui bagamoyo ni soko LA utumwa waliokua wanaenda uarabuni, kwanin Americas Africa diaspora wapo wengi na sio uarabuni

Unatakiwa ujue warabu walikua wanawaasi waafrika
Nina waonea huruma wazazi wakp walio kulipia ada,yaani huijui hata hisitoria ya biaahara ya utumwa.
 
Umeshafika Washington? au Portland? Marekani iko juu bana

Sijakataa , Marekani ipo juu inategemea na mtu anavyo define miji mizuri. Je ni majengo ( Viberiti) au mandhari.
Kuna sehemu kama Qebec hakuna viberiti kwa sana ila ni pazuri sana.
 
Compton haipiti miezi Police huokota maiti kibao, ni makazi ya drug Lords, ila kiukweli US kuna fursa za kutoka kimaisha kuliko taifa lolote Duniani
Marekan kuna opportunity sadly wamarekan weusi hawazioni, ila wazungu wanazichangamkia ile mbaya
 
Nina waonea huruma wazazi wakp walio kulipia ada,yaani huijui hata hisitoria ya biaahara ya utumwa.
We ndo bure wenzako uganda wanakataza wasichana kwenda uarabuni, watu wanabaguliwa wanateswa, na umeona biashara ya utumwa iliyokua inafanywa Libya recently warabu sio
 
Wazanzibari huwa wanakataza kuuza chakula na kula nje wakati wa mchana katika miezi ya ramadhani hiyo imekuwa ni desturi yao,ila huwa tunaona watu wengi huku bara hulalamikia hilo suala hawalipokei kama ni desturi ya watu na hivyo yapaswa kuheshimu. Sasa huwa nashindwa kuelewa huku kusema kuheshimu tamaduni za watu huwa kuna maana gani?
 
Nionyeshe maandamano ya Wakristo kwenye mataifa yenye itikadi kali za Kiislamu wakidai haki ya imani yao.

Alafu mimi nitakuonyesha picha za waislamu wakiandamana Germany, Canada, U.S.A, U.K, France, Russia n.k
Kama hawaamdani basi wanatendewa haki zote kwenye hayo mataifa kwa hiyo hawana sababu za kuandamana.
 
Sizungumzii lugha za makabila ambazo ni minority nazungumzia lugha ya wengi.

Waarabu hasa wakutoka Iraq na Sudan ukikutana nao unaweza wapiga ngumi nyingi sana unakuta kaishi Toronto 4 yrs ila hajui kuongea Kiingereza vizuri na anahitaji huduma za kijamii anatakiwa ampeleke mtoto shule n.k inaudhi sana.

Popote utakapo kwenda iwe upareni au usukumani usifike ukaanza kuleta itikadi zako za kinyakyusa utakuwa umekosea sana fika fuata taratibu zao ili uendane nao si umewafata kwao hawajakufata wewe.
Waarabu wao wanakuja Canada wanataka wafuatwe wao ushawahi ona wapi hii
Nisha kwambia hakuna urazima wa kujua lugha ya wenyeji.
Kwani hapa tz mbona kuna wachina wengi na wazungu wengi na hawajui kiswahili na wanaishi tz bila shida?
Mbona watz wengi wanao ishi china lakini kichina hawakijui ?
Ni watz wangapi wanao ishi warabuni na kiarabu hawakijui ?
Ndugu kubali ukatae wewe ni mtu mwenye chuki zisizo kuwa na msingi wowote dhidi ya waislam wote na si waarabu tu.
Ninacho kushauri kunzia leo jaribu kumpenda na kuheshimu kila mtu bila kujari ni mtu wa aina gani kwa sababu huijui kesho yako,kwahiyo hujui ninani atakuja kuwa msaada kwako,hao waislam na waarabu unao wachukia wanaweza kuwa ndio msaada kwako pale utakapo kuwa kwenye matatizo ,kwa sababu anaye jua kesho yako ni mungu tu na sivinginevyo.
Nasisitiza acha chuki ndugu binadamu wote tumetoka kwa baba na mama mmoja.
 
Hawaonyeshi juhudi za kujifunza?
Kuna mchina huwa namuona ana trend sana mitandaoni anajiita Juma kama sijakosea hivyo ndivyo inavyopaswa kuwa.
Wachina na Wazungu waishio Tanzania wanajichanganya sana.


Wanajifunza.
Watanzania wengi wanaoishi China hawana permanent residence wameenda kutafuta riziki basi.
Hawa waarabu wanakimbia kwao vita wanakuja kusaka asylum huku na wengine wanakuwa raia kabisa.

Sasa wanakuwa maraia na hawawi integrated na culture ya Canadians.
Shule nyingi za Canada ni za Kikatoliki na secular, watoto wakike wako too fast kubeba culture za Kikanada wanachokumbana nacho kwa wazazi wao wanakifahamu.


Wengi, je wanadharau tamaduni za kiarabu? Hawavai kwa staha? Wanakula nguruwe? Wana shiriki mambo mbalimbali na wanaume?


uislamu sina chuki nao, kuna waislamu wa Kazakhstan ambao ni wengi zaidi kuliko dini ingine mbona taifa lao lina amani na utulivu wala halina ubaguzi wa kiimani.

Ukienda Kazakhstan, Jordan, au Turkey utashangaa sana womens are wearing sexy clothes, don't wear abaya's, wana swim na wanaume tena sio ndugu zao wala waume wao

Hawa hata wakija Canada wala hawapati tabu na dini yao inabaki palepale.


Unanitisha?
Mimi siigopi kesho yangu kila jambo linalomtokea mwanadamu limepangwa limtokee hivyo.


Hivi vitisho ndio huwa vinafanya watu wengi hivi sasa kuwa atheist na kuona dini ni upuuzi tu.
Mimi muarabu simpendi na sitokaa nimpende anatesa sana watu weusi akiwa kwake.

Narudia tena ni kheri ukaishi na mmexico kwake kuliko muarabu kwake aloo! Wanadharau sana watu weusi
Haaaaaaa umejaribu kijificha kinafiki ,lakini siku zote chuki huwa haijifichi mwishowe umejitamkia wewe mwenye we ya kwamba unawachukia waarabu, sasa kama unawachukia uwezi kuwatakia mema hata kidogo, ndio maana nilikwambia ya kwamba wewe unajisikia vibaya kukaribishwa kwa waarabu wakati na wewe umekaribishwa kama wao.
Umesema huna chuki na waisilam lakini wakati huo unajisikia vibaya ukimuona mwanamke wa kiislam amevaa hijabu unataka watembee vichwa wazi na kuvaa vimini kitu ambacho ni kinyume na maadili ya dini yao.
Kumbe kukuambia uache chuki ni kukutisha?
kumbe kuhimiza kuwapenda binadam wenzako bila kujali ni wa aina gani ni kukutisha?hakika hii ina shangaza sana na kusitajabisha.
Umesema huiogopi kesho yako ,ni kweli huiogopi kwa sababu huijui na hauna imani na uwelewa wako ni mdogo, na kama wewe ni mkirsito basi ni jina tu ,kwa sababu kwa mtu mwenye imani na anaye muamini mungu hawezi kusema eti haiogopi kesho yake.
Siku zote kinacho tofautisha shetani na malaika ni matendo,ili ujitofautishe na shetani ni kupinga yanayofanywa na shetani na kufanya yanayo fanywa na malaika, na si kupinga matendo ya shetani wakati huo na wewe unaya fanya.
Ninacho maanisha wewe unasema uwapendi waarabu kwa sababu ni watu wa chuki, lakini wakati huo wewe unaonesha chuki dhidi yao ,sasa hapo unatofauti gani na hao waarabu?
Mwisho wewe endelea tu kuwachukia waarabu lakini jua chuki yako ni bure ,kwa sababu haiwaathiri kivyovyote badala yake utajipa maradhi ya bure.
Kingine ya kanada na marekani waachie wenyewe na haya kuhusu.
Wao kuja kuwaruhusu waarabu kuingia ndani ya nchi zao na kuwaruhusu kusambaza tamaduni zao ,wamesha fanya utafiti na kujua hasara na faida yake na kinacho onekana wana faida na hilo na ndio maana wanaendelea kuwakaribisha.
Kwa hiyo kama unachukia waarabu na waislam kukaribishwa kwenye nchi za magharibi basi rudi kwenye bara lako la giza tupambane na hali zetu.
Sio kukaribishwa kwenye nchi za watu na kuanza kuwapangia jinsi ya kuongoza mataifa yao.
 
Hawaonyeshi juhudi za kujifunza?
Kuna mchina huwa namuona ana trend sana mitandaoni anajiita Juma kama sijakosea hivyo ndivyo inavyopaswa kuwa.
Wachina na Wazungu waishio Tanzania wanajichanganya sana.


Wanajifunza.
Watanzania wengi wanaoishi China hawana permanent residence wameenda kutafuta riziki basi.
Hawa waarabu wanakimbia kwao vita wanakuja kusaka asylum huku na wengine wanakuwa raia kabisa.

Sasa wanakuwa maraia na hawawi integrated na culture ya Canadians.
Shule nyingi za Canada ni za Kikatoliki na secular, watoto wakike wako too fast kubeba culture za Kikanada wanachokumbana nacho kwa wazazi wao wanakifahamu.


Wengi, je wanadharau tamaduni za kiarabu? Hawavai kwa staha? Wanakula nguruwe? Wana shiriki mambo mbalimbali na wanaume?


uislamu sina chuki nao, kuna waislamu wa Kazakhstan ambao ni wengi zaidi kuliko dini ingine mbona taifa lao lina amani na utulivu wala halina ubaguzi wa kiimani.

Ukienda Kazakhstan, Jordan, au Turkey utashangaa sana womens are wearing sexy clothes, don't wear abaya's, wana swim na wanaume tena sio ndugu zao wala waume wao

Hawa hata wakija Canada wala hawapati tabu na dini yao inabaki palepale.


Unanitisha?
Mimi siigopi kesho yangu kila jambo linalomtokea mwanadamu limepangwa limtokee hivyo.


Hivi vitisho ndio huwa vinafanya watu wengi hivi sasa kuwa atheist na kuona dini ni upuuzi tu.
Mimi muarabu simpendi na sitokaa nimpende anatesa sana watu weusi akiwa kwake.

Narudia tena ni kheri ukaishi na mmexico kwake kuliko muarabu kwake aloo! Wanadharau sana watu weusi

Aswad!!
 
Ngoja nifanye haraka niende kujionea kabla visa yangu haijaisha muda.
 
Canada na U.S.A hazijaruhusu lolote.
Wenye nchi zao wanachukia sana nchi wanayokimbilia sana ni Canada U.S.A huko wanapajua wameambiwa waziwazi hawahitajiki.

Canada na U.S.A wanawake wanaovaa hijab wanachunguzwa sana na security kuanzia walipotoka hadi watakaporejea ili kuepusha mambo yao ya kujilipua.
sheria ya kuruhusu wakimbizi anayo bwana Trudeau sio Trump.

I hate arabs hakika na inanisaidia sana kwenye hii nchi
Unazidi kujionesha ya kwamba wewe ni mtu mwenye chuki,na kwa chuki hiyo huna tofauti na gaidi maana ugaidi huwa unatokana na chuki.
Nina maanisha kwa jinsi unavyo chukia wanawake wa kiislam kuvaa hijabu ,basi si ajabu ukawa unatamani kuchukua bunduki na kuanza kuzunguka mitaani na kiwapiga risasi wanawake wenye hijabu ila unakosa jinsi tu.
Na nimesha kwambia ya wamarekani na wakanada waachie wenyewe wala haya kuhusu hata kidogo, kuwaruhusu au kuto waruhusu huo ni uamuzi wa wenye nchi ,na sio wewe uliye kimbia njaa na umasikini kwenye nchi yako na kukimbilia kwenye nchi za watu alafu unataka kuwafundisha jinsi ya kuendesha mataifa yao.
Suala la kutotakiwa kwa wakimbizi, wasio takiwa marekani ni nyinyi maniga kutoka kwenye bara la giza ,kwa sababu hamna faida yeyote kwa marekani tofauti na kwenda kufanya biashara ya unga na ngono ,na ndio maana polisi wa kizungu wana wauwa kama mambwa, je ulishawahi kuona au kusikia polisi wa kimarekani anampiga lisasi mwaarabu bila sababu kama wanavyo fanya kwa maniga?
Marekani awachukie waarabu ?hivi unajua marekani anaingiza mabilion mangapi ya dora kutoka nchi za kiarabu?
Chuki humuumiza aliye hifadhi moyoni ,wewe kuwachukia waarabu hakuwaondolei chochote katika maisha yao kwa hiyo fanya kilicho kupereka achana na mataifa ya watu.
 
Una evangelical na Jews wrote hawa wanaushawishi na hawapendi uislamu marekan udin upo sana, ndo maana Ben Carson alisema muislamu hawez kuwa rais marekani
Sio alisema bali imeandikwa kwenye katiba yao.
 
Back
Top Bottom