Traxtion
JF-Expert Member
- Dec 10, 2021
- 7,605
- 15,536
Wakuu leo nimeona nilete mada mezani. Kwa nini miji yetu mingi ipo disorganised ukifananisha na wenzetu?
Ukiangalia miji ya nchi za mambele utaona imepangiliwa, misafi, wamepanda miti mingi, haipo chaotic ni miji inayovutia
Mfano angalia mji wa Seattle, Marekani
Lakini ukiangalia Africa miji yetu utaona hatujapanda miti, hakuna pavements, michanga imeingia barabarani, ni michafu yani kila kitu kipo disorganised.
Angalia mji wa Lagos, Nigeria
Hapa naleta na picha, mfano wa miji ya mambele halafu tuone.
Paris
.
Tokyo
.
Amsterdam
Halafu hapa naonesha jinsi miji mingi ya Africa ilivyo
Hii picha ni Eastleigh, Nairobi
Hapa ni Pipeline, Nairobi
Hapa ni Paje, Zanzibar
Hapa ni Kampala, Uganda
Kuna watu wanasema sababu ni umasikini. Mimi nakataa. Mbona Rwanda ni nchi masikini lakini miji yao ipo organised sana.
Nakuonesha picha za Kigali, Rwanda. Zipo tofauti kabisa na miji mingine ya Africa
Iangalie Kigali
Sababu ni nini? Kwa nini miji mingine ya Africa isiwe kama Kigali? Au kwa nini isiwe kama miji ya mambele?
NB: Najua kuwa hata miji ya Africa kama Nairobi, Kampala na Lagos ina maeneo ambayo yapo well organised na masafi, lakini ni machache mno ukifananisha na maeneo machafu ambayo hayajapangiliwa vizuri
Ukiangalia miji ya nchi za mambele utaona imepangiliwa, misafi, wamepanda miti mingi, haipo chaotic ni miji inayovutia
Mfano angalia mji wa Seattle, Marekani
Lakini ukiangalia Africa miji yetu utaona hatujapanda miti, hakuna pavements, michanga imeingia barabarani, ni michafu yani kila kitu kipo disorganised.
Angalia mji wa Lagos, Nigeria
Hapa naleta na picha, mfano wa miji ya mambele halafu tuone.
Paris
.
Tokyo
.
Amsterdam
Halafu hapa naonesha jinsi miji mingi ya Africa ilivyo
Hii picha ni Eastleigh, Nairobi
Hapa ni Pipeline, Nairobi
Hapa ni Paje, Zanzibar
Hapa ni Kampala, Uganda
Kuna watu wanasema sababu ni umasikini. Mimi nakataa. Mbona Rwanda ni nchi masikini lakini miji yao ipo organised sana.
Nakuonesha picha za Kigali, Rwanda. Zipo tofauti kabisa na miji mingine ya Africa
Iangalie Kigali
Sababu ni nini? Kwa nini miji mingine ya Africa isiwe kama Kigali? Au kwa nini isiwe kama miji ya mambele?
NB: Najua kuwa hata miji ya Africa kama Nairobi, Kampala na Lagos ina maeneo ambayo yapo well organised na masafi, lakini ni machache mno ukifananisha na maeneo machafu ambayo hayajapangiliwa vizuri