Miji ya Canada ni mizuri zaidi ya Marekani

Miji ya Canada ni mizuri zaidi ya Marekani

Ghetto sehemu wanazoishi maskini, uhalifu ni Mkubwa, na wakaz wengi ni wamarekan weus, in short ni kubaya sana mfano Englewood Chicago, na Compton los angels ni mfano mzur wa ghetto
Kwa hiyo mijitu mweusi ndio inayofanya mambo hayo meusi? Ndio inayofanya hayo yasiyo ya kistaarabu?.
 
America huwezi kuwa Rais bila kuwa na dini na tena iwe Ukristo.
Americans hawawapendi kweli kweli Waislamu ambao ni minority haijalishi anatoka wapi ila Canada haina shida ndio maana wengi wanakimbilia.

Omar wa Democratic hawezi kurejea tena bungeni na waliomchagua wanajuta sasa, kauli anazotoa na anayoyafanya ni kama yanapigia mstari au kuhalalisha chuki za Americans dhidi ya Waislamu

Kama kawaida unawafahamu wasomali sio socialites waga ni wao kwa wao tu popote duniani hata kuoana ni wao kwa wao sasa ndiyo anayoyafanya yanachafua mpaka image ya dini yake.
America udini upo mbele sana kuliko Canada
Waislamu na waarabu watu wa ajabu Sana

Huko kwenye ardhi zao Takatifu wakilipuana wanakimbilia kwa makafir huko uzunguni mfano gernany na Canada ndio wanapenda Sana

Kule kwa Wala kitimoto

Huwa nawaonaga ni wanafiki kweli kweli

Kwanini wasikimbilie mahali kama Oman ,Dubai, Emirates na some peaceful arabian countries .

Why kila siku kwa makafir wazungu

Maisha hayaendi bila unafiki heheheheh
 
You're right Sir! Ila Turkey, Egypt, Saudia, Iran na Indonesia ni mataifa ya kidini yanayoendeshwa kidini hivyo ni lazima yafuate misingi hiyohiyo.

America ni nchi isiyo ya kidini na wala haina misingi ya kidini ila udini ni mkubwa sana kwa watu wake.
U.K kwa ujumla hawa ni Wakristo wa Anglican hadi mabunge yao yana Makanisa bendera zao zina logo ya msalaba n.k ila hawana udini ulio kithiri kwa kubagua imani zingine.
Udini wao umefichwa moyoni sio rahisi kuona

Kama unadhani haupo subiria siku muislam agombee uwaziri mkuu

Never haitikoea sababu ukristo ndio utamaduni

Ukiona muislam kashika nyadhifa fulani basi jua wamempa hio katika kuwavutia tu Wala sio kivile

Ni rahisi mtu mweusi kuwa waziri mkuu uingereza ila sio muislam kuwa waziri mkuu
 
Waislamu na waarabu watu wa ajabu Sana

Huko kwenye ardhi zao Takatifu wakilipuana wanakimbilia kwa makafir huko uzunguni mfano gernany na Canada ndio wanapenda Sana

Kule kwa Wala kitimoto

Huwa nawaonaga ni wanafiki kweli kweli

Kwanini wasikimbilie mahali kama Oman ,Dubai, Emirates na some peaceful arabian countries .

Why kila siku kwa makafir wazungu

Maisha hayaendi bila unafiki heheheheh
Shida ya waislamu wana visasi na kuchukiana. Ukitaka kumpiga Saudia sahivi unapata waislamu wa kukuunga mkono. Ukitaka kumpiga Iran unawapata waislamu wanakusaidia. Ukitaka kumpiga Turkey,Yemen,Irak,Egypt bado utapata waislamu wakupongeze. Sasa fanya kinyume toka uende kuipiga Ukraine,Austria,Honduras au Venezuela. Watakaounga mkono hawana motive za kidini watakuwa na za kisiasa na kiuchumi. Kwa hali hii waislamu wataendelea kukimbilia msaada wa makafiri endapo wakipata majanga
 
You're right Sir! Ila Turkey, Egypt, Saudia, Iran na Indonesia ni mataifa ya kidini yanayoendeshwa kidini hivyo ni lazima yafuate misingi hiyohiyo.

America ni nchi isiyo ya kidini na wala haina misingi ya kidini ila udini ni mkubwa sana kwa watu wake.
U.K kwa ujumla hawa ni Wakristo wa Anglican hadi mabunge yao yana Makanisa bendera zao zina logo ya msalaba n.k ila hawana udini ulio kithiri kwa kubagua imani zingine.
Kwanza ni kujulishe mataifa mengi ya kiislam haya ongonzwi kidini kama unavyo fikiri, mataifa ya kiislam yanayo ongozwa kidini ni 3 tu duniani ambayo ni Saudia,Iran na Brunei na kuna kipindi gambia ilikuwa imeingia kwenye orodha wakati wa utawala wa yahaya jamee lakini mfumo huo ukatenguliwa baada ya jamee kuondolewa mamlakani.
Mataifa yote yaliyo baki hakuna hata moja linalo ongozwa kwa sheria za kiislam, tena kama uturuki ndio kabisa ina fuata mtindo wa kimagharibi zaidi kuliko za kiislam, na ndio maana nchini uturuki ushoga sio kosa tofauti na nchi nchi kama Iran ambapo kosa la ushoga hukumu yake ni kifo.
Kwa hiyo ninarudi pale pale mfumo ya mataifa yote ulimwenguni huwa unawapendelea walio wengi.
Hatuna haja ya kwenda mbali tuanzie ndani ya nchi yetu wenyewe, Tz ina watu wanao amini dini mbali mbali lakini tangu kuasisiwa kwa taifa hili marais wote wana toka kwenye dini mbili tu yaan waislam na wakirsto kwa sababu ndio jamii iliyo kubwa ndani ya tz na haitatokea rais wa tz kama sio muumini wa hizo dini mbili.
 
Unaweza kuthibitisha Misri, Algeria, Morocco, Pakistan, Qatar, UAE, Yemen , Oman n.k sio nchi za kiislamu na wala hazifuati sheria za kiislamu?
Nchi inapokuwa inaongozwa kwa sheria za kiisilam Qruan ndo inakuwa katiba na sivyingi nevyo .
Mataifa yote hayo uliyo yataja hayana sheria yeyote inayo mrazimisha mwana mke kufunika kichwa chake tofauti na mataifa kama Iran au saudia mwana mke kutembea mitaani kichwa wazi kosa.
Ndugu jifunze kutofautisha mataifa ya kiislam na mataifa yenye waislam wengi .
 
Sir naona umeandika uzi wako kinazi zaidi.
U.S.A ni sehemu ambako Canadians wanatamani sana kuishi kwa sababu ya greenest places pamoja na jua baadhi ya maeneo kama California.

Canada jua ni la kuotea, uzuri wa miji uliyoitaja ya Canada haiwezi kuifikia uliyoitaja ya U.S.A. in terms of infrastructures.

Uzuri wa Canada
Uzuri wa Canada ni uwepo wa gun violence chache, Afya bure, uvumilivu wa kiimani na elimu za degree's bei chee!

Ubaya wa Canada
1. Kodi ni kubwa hujawahi ona.
2. Baridi kali sana
3. Uwepo wa wakimbizi wengi.

4. Uwepo wa ubaguzi baina ya wenye nchi yao pamoja na wahamiaji.
Kwenye hili wanaopata sana tabu ni waarabu.
U.S.A baby
U.S.A Gun violence za kutosha huwezi kutembea hovyohovyo baadhi ya maeneo nyakati za usiku hasa maeneo yenye ghettos kama ulivyosema.
Bei ya kusoma degree's ni ghali sana, na udini wakutosha.
Nani mwenye nchi nani mhamiaji Canada?
 
  • Thanks
Reactions: RTI
America huwezi kuwa Rais bila kuwa na dini na tena iwe Ukristo.
Americans hawawapendi kweli kweli Waislamu ambao ni minority haijalishi anatoka wapi ila Canada haina shida ndio maana wengi wanakimbilia.

Omar wa Democratic hawezi kurejea tena bungeni na waliomchagua wanajuta sasa, kauli anazotoa na anayoyafanya ni kama yanapigia mstari au kuhalalisha chuki za Americans dhidi ya Waislamu

Kama kawaida unawafahamu wasomali sio socialites waga ni wao kwa wao tu popote duniani hata kuoana ni wao kwa wao sasa ndiyo anayoyafanya yanachafua mpaka image ya dini yake.
America udini upo mbele sana kuliko Canada
In case many of you didnt know the US was once a Christian nation. I remember when I was young at school we were having Bible class in all American public schools.
 
Una evangelical na Jews wrote hawa wanaushawishi na hawapendi uislamu marekan udin upo sana, ndo maana Ben Carson alisema muislamu hawez kuwa rais marekani
Sio muislamu tuu hata mkatoliki-RC hawezi kuwa rais wa Marekan
 
Ni ukweli usiofichika, kwenye developed countries marekani inaongoza kwa kua na miji mibaya, poor public transport, kama huna gari utapata shida sana, na homeless kibao, yaani wanalala barabarani kila kona kuliko hata homeless wa bongo. Ukipita downtown kuna mitaa inanuka homeless wamejikusanya kama 30 hivi na matambara yao wanakojoa hapohapo, marekani kuna streets zinakera kwa kweli.
 
Waislamu na waarabu watu wa ajabu Sana

Huko kwenye ardhi zao Takatifu wakilipuana wanakimbilia kwa makafir huko uzunguni mfano gernany na Canada ndio wanapenda Sana

Kule kwa Wala kitimoto

Huwa nawaonaga ni wanafiki kweli kweli

Kwanini wasikimbilie mahali kama Oman ,Dubai, Emirates na some peaceful arabian countries .

Why kila siku kwa makafir wazungu

Maisha hayaendi bila unafiki heheheheh
WANAFIKI kiwango cha lami.
 
Yaani uwape vichaa rungu?
Udini wao umefichwa moyoni sio rahisi kuona

Kama unadhani haupo subiria siku muislam agombee uwaziri mkuu

Never haitikoea sababu ukristo ndio utamaduni

Ukiona muislam kashika nyadhifa fulani basi jua wamempa hio katika kuwavutia tu Wala sio kivile

Ni rahisi mtu mweusi kuwa waziri mkuu uingereza ila sio muislam kuwa waziri mkuu
 
Back
Top Bottom