Miji ya Canada ni mizuri zaidi ya Marekani

Miji ya Canada ni mizuri zaidi ya Marekani

Mmekaririshwa kama waarabu wabaya 2 halaf mkawaona wazungu hawana mabaya

Sisemi kama waarabu wazuri ama wabaya ila wazungu nizaidi ya Washenzi Toka Zama Mpaka ss
tapatalk_1572282113587.jpeg
 
Waislamu na waarabu watu wa ajabu Sana

Huko kwenye ardhi zao Takatifu wakilipuana wanakimbilia kwa makafir huko uzunguni mfano gernany na Canada ndio wanapenda Sana

Kule kwa Wala kitimoto

Huwa nawaonaga ni wanafiki kweli kweli

Kwanini wasikimbilie mahali kama Oman ,Dubai, Emirates na some peaceful arabian countries .

Why kila siku kwa makafir wazungu

Maisha hayaendi bila unafiki heheheheh
Kabla Ya US Na Mashost Zake Kuanza Kuzivamia Na Kuzipiga Mabomu Na Kuua Raia wasokua Na Hatia Katika Nchi Za Kiislam Hasa Hasa Mashariki Yakati Tukianzia Na AFGHANISTAN Mpaka Sasa LIBYA na SIRIA

Uliwahi Ona Ama Uliwahi Sikia Wapi Ama Lini Waarabu Wakikimbia Makwao Na Kwenda Kuishi Nchi Za Watu Wakat Walikua Wamekaa Makwao Wametulia Na FAMILIA Zao Namaisha Yakawa Yanaendelea Vyema 2

Ss hv Baada Ya Kuwapiga Wanakimbilia Pakujificha Bado Mnawasakama Nabado Kuna wengine Wanapigia Ngoma Ya Vita Baina Ya WAMAGHARIBI na IRAN


Waacheni Waarabu Msiwapige Mabomu Katika Nchi Zao Muone Kama Watakimbia Kwenda Sehemu


Mmeziharibu LIBYA IRAQ AFGHANISTAN PAKISTAN SYRIA

Halaf Leo Hii Mnalalama Wao Kukimbilia ULAYA


Bina Adam Hasa Wa AFRIKA Cjui Tunakua na Akili Gani
 
  • Thanks
Reactions: RTI
Mmekaririshwa kama waarabu wabaya 2 halaf mkawaona wazungu hawana mabaya

Sisemi kama waarabu wazuri ama wabaya ila wazungu nizaidi ya Washenzi Toka Zama Mpaka ss View attachment 1251704
Waarabu walichukua waafrika utumwa wakawaasi, wakazunguku wakawaacha ndo maana carribean na america kuna Africa diaspora wengi tu, na Hanna sehemu yenye ubaguzi mbaya Kwa mwafrika kama uarabuni
 
Kabla Ya US Na Mashost Zake Kuanza Kuzivamia Na Kuzipiga Mabomu Na Kuua Raia wasokua Na Hatia Katika Nchi Za Kiislam Hasa Hasa Mashariki Yakati Tukianzia Na AFGHANISTAN Mpaka Sasa LIBYA na SIRIA

Uliwahi Ona Ama Uliwahi Sikia Wapi Ama Lini Waarabu Wakikimbia Makwao Na Kwenda Kuishi Nchi Za Watu Wakat Walikua Wamekaa Makwao Wametulia Na FAMILIA Zao Namaisha Yakawa Yanaendelea Vyema 2

Ss hv Baada Ya Kuwapiga Wanakimbilia Pakujificha Bado Mnawasakama Nabado Kuna wengine Wanapigia Ngoma Ya Vita Baina Ya WAMAGHARIBI na IRAN


Waacheni Waarabu Msiwapige Mabomu Katika Nchi Zao Muone Kama Watakimbia Kwenda Sehemu


Mmeziharibu LIBYA IRAQ AFGHANISTAN PAKISTAN SYRIA

Halaf Leo Hii Mnalalama Wao Kukimbilia ULAYA


Bina Adam Hasa Wa AFRIKA Cjui Tunakua na Akili Gani
Kwan ni nchi zote zinapigwa mabomu kwanin wasiende Qatar, Saudi, Oman au UAE ambapo hakupigwi mabomu huku wakikimbilia Kwa makafiri alafu tofautisha Arab culture na uislam haviendani

Turks, albans, bosnian, Malays, Kazakhs, uzebks ni wasislamu lakin hawafuati Arab culture
 
Mbona wazungu wanazirazimisha nchi nyingine kufuata tamaduni zao mfano ushoga?hilo hulioni ?
Sio kweli hawalazimishi ushoga ni suala binafsi au la faragha ndo point wanayosimamia wazungu
 
Nabwaluokuwepobtoka= Na walikuwepo toka
Wankuwaelewa=Wa kuwaelewa
Lia wengi= Na walio wengi
Wankuwafaham= Wakuwafahamu
Hats= Hata
Ubheelewa= Ungeelewa
Kuwa= Kumbe
Japp= Japo
Gumu=Ngumu
Kulielewa=Kunielewa

Jamani hivi huko shule mlienda kujifunza ujinga.
Anajibu kwa hasira
 
Waarabu walichukua waafrika utumwa wakawaasi, wakazunguku wakawaacha ndo maana carribean na america kuna Africa diaspora wengi tu, na Hanna sehemu yenye ubaguzi mbaya Kwa mwafrika kama uarabuni
Hao watumwa
Waarabu walichukua waafrika utumwa wakawaasi, wakazunguku wakawaacha ndo maana carribean na america kuna Africa diaspora wengi tu, na Hanna sehemu yenye ubaguzi mbaya Kwa mwafrika kama uarabuni
Una uhakika na unacho kisema au unaongea kwa utashi wako?
 
Hao watumwa
Una uhakika na unacho kisema au unaongea kwa utashi wako?
Ina maana hujui bagamoyo ni soko LA utumwa waliokua wanaenda uarabuni, kwanin Americas Africa diaspora wapo wengi na sio uarabuni

Unatakiwa ujue warabu walikua wanawaasi waafrika
 
Kwan ni nchi zote zinapigwa mabomu kwanin wasiende Qatar, Saudi, Oman au UAE ambapo hakupigwi mabomu huku wakikimbilia Kwa makafiri alafu tofautisha Arab culture na uislam haviendani

Turks, albans, bosnian, Malays, Kazakhs, uzebks ni wasislamu lakin hawafuati Arab culture
Kwani hizo nchi ulizo taja hapo kuna hata moja iliyo husika kuishambulia Iraq au Afghansitan?yaan marekani azivamie nchi za watu na kuziharibu alafu mzigo wa wakimbizi abebe malasia?
Ukiamua kuanzisha kitu jiandae kukabiliana na matokeo ya kila unacho kifanya kwa hiyo mimi ninaunga mkono raia wa mashariki ya kati kukimbilia ulaya ili mabeberu yaache kuziingilia nchi za watu na kuziharibu.
Alafu sijui hizo hoja zako za kusema eti wakimbizi kwa nini hawakimbilii kwenye nchi za kiisilam umeitoa wapi.
Mpaka sasa Uturuki ndio taifa linalo hifadhi wengi kuliko taifa lolote ulimwenguni likiwa lina hifadhi zaidi ya wakimbizi milion 4 huku milioni wakimbizi wa kisiria wakiwa zaidi ya milioni tatu ,na idadi iliyo baki ni wakimbizi kutoka nchi mbalimbali kutoka nchi mbali mbali mashariki ya kati.
Mpaka sasa Jordan inawahifadhi zaidi ya wakimbizi milioni moja na nusu wa kisiria ,Rebanoni inawahifadhi zaidi ya wakimbizi wa kisiria milioni moja,Iran inawahifadhi zaidi ya wakimbizi milioni 2 wa kiafghan na wa kiiraq, sasa sijui unapo sema mbona hawakimbilii kwenye nchi za kiislam ninashindwa kukuelewa.
Suala la wakimbizi kukimbilia kwenye nchi za ulaya linakuzwa na vyombo vya habari lakini wakimbizi ulaya sio wengi taifa lenye wakimbizi wengi ni Ujerumani tu .
 
Sio kweli hawalazimishi ushoga ni suala binafsi au la faragha ndo point wanayosimamia wazungu
Basi hata tamaduni ni uhuru wa mtu hutakiwi kumrazimisha mtu afuate tamaduni zako na ahache zako.
 
Swali la kwanza, hapana hutakiwi kubadili dini ila unatakiwa kufuata tararibu za wenyeji uliowakuta.

Mfano hai Watu wanaotoka mataifa ya kiislamu waishio England, Germany na France huwa wana uthubutu wakuandamana kabisa wakidai haki fulani fulani za dini yao mfano uwepo wa mahakama ya kadhi n.k wanasahau kwamba zile si nchi zao za asili na zina tamaduni zake.
Hili jambo hupelekea wao kubaguliwa na kuonwa hawafai mbele ya jamii.

Jela za Canada na U.S zimejaa wafungwa wakiislamu waliofungwa maisha kwa mauwaji n.k yani waliyokuwa wanayafanya Iraq au Syria wanayafanya Canada wanakoishia ni jela.
Note: wapo wafungwa wenye imani zote ila yanayowapelekea waislamu wengi kufungwa ni violence.

Swali la pili
kabisa ni lazima mchangamane na jamii ingine sio lazima waolewe na wazungu au sisi watu weusi kuna wahindi n.k
Watoto wakike wakiarabu waliozaliwa Canada wako too fast kuendana na culture za kiCanada mfano kutokuvaa headscarf sasa hali hii inawapelekea kuwa ndani ndani tu.

Huwezi amini kuna watu wakiarabu wameishi canada kwa zaidi ya miaka mitano hawajui Kiingereza fasaha wala kifaransa kwa sababu hiyo niliyoitaja.
Wewe uko Tanzania mtafute binti wa kisomali au kiarabu jaribu kumuowa hata kama ni dini moja ukifanikiwa leta ushuhuda hapa

Swali la mwisho
Ukihamia Marekani vyakula vyako vya asili kula nyumbani kwako ila unapokuwa na jamii wenyeji fuata wanavyofanya.
Hujawahi kumuona mzungu wa kutoka Cyprus kaja Tanzania kaenda hotel za kitalii anaagiza ugali mlenda na wala si vyakula vyao?
Suala la kujua lugha ya wenyeji sidhani kama lina ulazima wowote maana hata hapa tz ninezunguka na kukaa mikoa mingi kikazi lakini sijui hizo lugha za zao mimi ,kwa sasa nimeishi shinyanga zaidi ya miaka6 lakini mpaka sasa kisukuma nakihangakia mno kukiongea lakini nina maelewano na wenyeji wangu na nina marafiki.
Suala la chakula ni maamuzi yako lakini sio razima eti ni razima ule chakula kinacho liwa na wenyeji.
 
Kama ukipata bahati ya kutembelea miji ya Canada kama Vancouver, Calgary, Toronto, Ottawa na Montreal ni mizuri sana na haina ghetto.

Ila miji ya Marekani kama Chicago, New York city, Los Angeles, ni mizuri lakini ina tatizo la ghetto, tofauti na miji ya Canada. Ni Seattle ndiyo haina tatizo la ghetto tofauti na mingine ya U.S.

Kinachoibeba Marekani ni kwamba kuna opportunities nyingi sana za kimaisha kuliko Canada.
Opportunities za kimaisha ndo Uchumi bora mkuu ,ghettos don't reflect with the reality of the actual economy.
 
Ghetto sehemu wanazoishi maskini, uhalifu ni Mkubwa, na wakaz wengi ni wamarekan weus, in short ni kubaya sana mfano Englewood Chicago, na Compton los angels ni mfano mzur wa ghetto
Compton haipiti miezi Police huokota maiti kibao, ni makazi ya drug Lords, ila kiukweli US kuna fursa za kutoka kimaisha kuliko taifa lolote Duniani
 
Sir naona umeandika uzi wako kinazi zaidi.
U.S.A ni sehemu ambako Canadians wanatamani sana kuishi kwa sababu ya greenest places pamoja na jua baadhi ya maeneo kama California.

Canada jua ni la kuotea, uzuri wa miji uliyoitaja ya Canada haiwezi kuifikia uliyoitaja ya U.S.A. in terms of infrastructures.

Uzuri wa Canada
Uzuri wa Canada ni uwepo wa gun violence chache, Afya bure, uvumilivu wa kiimani na elimu za degree's bei chee!

Ubaya wa Canada
1. Kodi ni kubwa hujawahi ona.
2. Baridi kali sana
3. Uwepo wa wakimbizi wengi.

4. Uwepo wa ubaguzi baina ya wenye nchi yao pamoja na wahamiaji.
Kwenye hili wanaopata sana tabu ni waarabu.
U.S.A baby
U.S.A Gun violence za kutosha huwezi kutembea hovyohovyo baadhi ya maeneo nyakati za usiku hasa maeneo yenye ghettos kama ulivyosema.
Bei ya kusoma degree's ni ghali sana, na udini wakutosha.
Sina swali mkuu, umeongea point tupu, kula like zangu Kama 100 hivi.
 
Back
Top Bottom