mjasiliaupeo
JF-Expert Member
- Apr 21, 2013
- 2,170
- 3,106
Wabongo!!! nimewanyooshea mikono na kariakoo yao🙌🙌🙌Ni ukweli usiofichika, kwenye developed countries marekani inaongoza kwa kua na miji mibaya, poor public transport, kama huna gari utapata shida sana, na homeless kibao, yaani wanalala barabarani kila kona kuliko hata homeless wa bongo. Ukipita downtown kuna mitaa inanuka homeless wamejikusanya kama 30 hivi na matambara yao wanakojoa hapohapo, marekani kuna streets zinakera kwa kweli.