150_170k inadepend na mkoaWadau natafta mzani wa digital kg 150 ntapata wap na kias gani naambiwa darinapatkana kwa bei nafuu mm nko Mz
Usha pataWadau natafta mzani wa digital kg 150 ntapata wap na kias gani naambiwa darinapatkana kwa bei nafuu mm nko Mz
Una debe ngap? Na upo wapNaomba kujua bei ya viazi kwa dar es saalam ni shilingi ngapi?
Vip unamjua jamaaUzi wa maana Sana huu
Iko poa San hiiDISEN CAR SUBWOOFER (NEW)
Subwoofer yenye Amplifier ndani
-Watts 1000
-Mdundo kama wote
Kwa ajili ya Gari lako au Bajaji
Zinapatikana Kwa Jumla na Reja Reja
Bei
90,000/=
TUPO LIVINGSTONE/PEMBA STREET KARIAKOO
WhatsApp & Calls
0714122948
DELIVERY IPO UKIHITAJI....
MIKOANI TUNATUMA PIA
KARIBUNI SANA...View attachment 1750814View attachment 1750815View attachment 1750816
Only Tshs 590,000 free delivery Dar es salaam, mikoani tunatuma kwa uaminifu mkubwaHabari wakuu,
Ni dhahiri kuwa Jukwaa letu la Biashara limesheheni mada nyingi zenye miongozo kwa wanaoanza biashara na hata wanaohitaji msaada kwa biashara zao.
Kutokana na mada nyingi kuwa na umuhimu na kuwa sticky, inalazimu kuweka links za mada hizi sehemu moja kwa urahisi wa kuzifikia na kupunguza idadi ya mada zilizo sticky kwenye ukurasa wa kwanza.
Pia kama una mada uliipenda na ungependa wengine wawe wanakutana nayo kirahisi waweza comment kwenye thread hii nami nitaiweka.
Shukrani.
========
MAWAZO YA BIASHARA(BUSINESS IDEAS)
Business ideas (Bure)
Baadhi ya Njia unazoweza kutumia kupata Wazo Bora la Biashara (Business Idea)
Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?
Mtaji wa milioni 1-5: Naweza kufanya Biashara gani?
Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya...?
Kwa mtaji wa 25/-m nifanye biashara gani?
List ya Business Ideas kuhusu viwanda vidogo vidogo
MAJADILIANO: Fursa za kibiashara
MICHANGANUO YA BIASHARA
Mchanganuo wa Biashara (Business Plan) - REQUESTS
Biashara ya Bakery: Mbinu, ushauri na changamoto zake
Biashara ya Hostel: Mbinu, Faida na changamoto zake
Mradi wa Ufugaji wa ng'ombe
Msaada: Jinsi ya kuwa Wakala wa Tigo pesa, Mpesa na mitandao mingine
Biashara ya kuuza genge
Biashara ya chips na changamoto zake
Biashara ya nguo, viatu, mikoba na cosmetics kutoka Uganda
Kwa uzalishaji, masoko ya biashara za madini njoo hapa uliza chochote
Biashara ya Samaki Wabichi
Biashara ya kununua na kuuza mazao (nafaka)
Kuanzisha Radio Station: Gharama halisi za Kuanzisha Radio kwa TZ.
China: Fursa za biashara, usafiri na masoko
Msaada: Mtaji wa kiasi cha chini kuanzisha biashara ya mbao
Step 10: Nilivyowekeza laki moja hadi kuanza kutengeneza milioni moja kila siku 3 (step by step)
Faida za Biashara za Dagaa
Biashara ya Uchawi Tanzania
Biashara ya Daladala: Ushauri na Mbinu za Uendeshaji Wake
Kupaua nyumba (Makadirio ya gharama)
UCHUMI
Lijue soko la HISA
Utajiri uliopo kwenye dhamana za serikali: Sehemu ya II (bonds)
Nifanye nini nikiwa chuo ili nikimaliza nisitegemee ajira?
USHAURI: Jinsi ya kuweza kuhifadhi pesa kutoka katika mshahara
Hivi Ndivyo Unavyoweza Kutajirika Kwa Kuanza Na Shilingi Elfu Moja
Fixed account za benk na utajiri wa haraka haraka - welcome
Taarifa za mikopo midogo midogo ya kibiashara!
Project funding sources
Nitafute nikupe elimu 0769175076
150,000 mpaka 250,000 veta au don boscoKuna anayejua gharama ya kusoma driving school kwa beginners