Mijadala ya Mawazo na Michanganuo mbalimbali ya Biashara na Uchumi kwa Ujumla

Habarini za jioni wapendwa
Naitwa israel lazaro laizer
Wapendwa nimepoteza kitambulisho changu cha taifa jana 22/4/2020
Ninaomba kwa alie ona naomba anirudishie au awasiliane moja kwa moja na mimi. Kupitia namba izi 06228232364 au 0759308592 au 0682960045 nilipoteza hapa gongo la mboto naombeni share tangazo hili liwafikie wengi zaidi atakae iona atapata zawaidi Mungu awabariki tuendeleee kijikinga na janga la corona


Sent using Jamii Forums mobile app


Pole sana
 
Wakuu ni biashara gani ya kuuza inafaa kwasasa hususan mtu ambaye hana frem ya biashara mtu anaweza kufanya hata kwa delivery nahisi nimechoka akili maana mambo yamekua sio mambo...nishaurini uwezo wangu wa mtaji ni kama ifuatavyo.

Mtaji upo hivi

Laki mpk laki 2

Laki 2 mpaka 3

Laki 3 mpaka 5

Laki 5 mpaka milioni
 
MMASAI OG FASHION SHOES
Ni wauzaji wa viatu OG vya kimasai kwa bei ya kiwandani jumla na rejareja
Jumla ni shilingi 5000 tu
Reja reja shilingi 7000 tu
Tunapatikana Mwenge Dar Es salaam
Mikoani pia Tunatuma bila shaka
Wasiliana nasi call/text/whatsap 0672904720
Karibuni sana....
 

Attachments

  • images (19).jpeg
    images (19).jpeg
    24.1 KB · Views: 73
  • images (8).jpeg
    images (8).jpeg
    20.5 KB · Views: 74
  • IMG-20200623-WA0019.jpg
    IMG-20200623-WA0019.jpg
    54.7 KB · Views: 74
G.P.S (KING'AMUZI) CHA MAGARI PIKIPIKI

Habari wana Jamii Forum

Ninatangaza kampuni yenu ya KITAU MOTOR GPS ( @https://web.facebook.com/KITAUMOTOR/?modal=admin_todo_tour ) inayojihusisha na biashara ya usalama wa vyombo vya moto kupitia GPS na ninahitaji support yenu.

Kama mnavofahamu, biashara katika sector ya usafiri imepamba moto nchini.Lakini palipo na biashara hapakosi changamoto. Wizi wa vyombo vya usafiri kama Pikipiki, Bajaji magari umekithiri kama biashara yenyewe.

Kama KITAU TRANSPORT tunakupa huduma ya GPS kwenye chombo chako. Kwa kutumia GPS yetu utaweza kufatilia mwenendo wa kifaa/vifaa vyako vya moto masaa 24 kwenye simu yako.
ok.png
View attachment 1508184

Utaweza ona:

Location (mahali chombo kilipo)
Displacement (Mwendo na mwelekeo wa chombo chako kama kina tembea)
Geo frencing (Kama kimetoka eneo unalohitaji kiwepo)
GPS zetu ni water proof. Unaweza tumia wakati wa mvua bila wasiwsi wa kuingia maji au kuharibia.

Malipo ni shillingi Elfu kumi kwa mwezi (10,000 TSh) kwa bajaji na Pikipiki na Elfu Kumi na Tano (15,000 Tsh) kwa magari ya aina yoyote.

Kwa mwezi wa kwanza kuna malipo ya shillingi Elfu kumi na tano (15,000) kwa ajili ya usajiri.
Malipo yote yatafanyika baada ya kukufungia gps yako.

Tunapatika Dar-es-Slaam kwa number zifuatazo.

+255 754 711 783


Unaweza kutufuata na ku like kwenye page yetu ya facebook @https://web.facebook.com/KITAUMOTOR/?modal=admin_todo_tour
 
Daah Mungu awabariki sana hakika nimejifunza vingi imebaki muda tu kuyatendea haki maarifa haya
 
Nawasalimu ndugu wana JF

Mimi ni mwajiriwa katika kampuni moja hivi hapa Tanzania. Nilikuwa na plan ya kufanya kazi kwa muda wa miaka mi 3 then niwe na maisha yangu. But nikajikuta mpaka sasa mwaka wa nne bado nipo job, inaniuma sana na sipendi.

Miminapenda sana kusafiri safiri yaani nisiwe mtu wa kutulia sehemu moja kwa muda mrefu. Sasa nina milioni 20, je naweza fanya bishara gani ili niachane na hii ajira?

Wazo langu nifungue kampuni ya biashara ya mazao ya Nafaka. Niwe nafuata mazao vijijini na kuuza mjini. Na soko langu la kwanza nimepanga iwe Tanga mjini. Ila sijui taratibu za kufuata mpaka uweze safirisha Nafaka.

Naombeni ushauri wenu pia kama kuna bisahara nyingine naomba mnishauri.
Natanguliza shukrani
Habari wakaunjombe ulifanikisha kuhusu swala la biashara au bado? Kuna biashara ya natural herbal seeds hizi seeds zinapatikana India Kwa wingi wakulima wanauza 100gm 200000 halaf wewe unauza kwenye kampuni (pharmacy company based California) wao wananunua 100gm 500000_1000000 wao wanatengezea dawa za cancer,B.P pressure nk kazi yako ni kununua na kusuply kwao kila mwezi wanahitaji 100_500 sachet(pakti)za 100gram kama utakua interested ni pm
 
BIASHARA 5 UNAZOWEZA KUFANYA BILA MTAJI WA PESA HIZI HAPA;

1. AFFILIATED MARKETING (BIASHARA YA USHIRIKA)


Hii inahitaji mdomo na kili yako tu.

Inafanyikaje?
(a) Unachotakiwa kufanya ni kujua bidhaa zenye mahitaji makubwa kwenye sehemu ulipo,hata kitaifa kwa ujumla.
(b) List bidhaa hizo pamoja na bei zake za mauzo mitaani na mitandaoni.
Mfano; Viatu vya kike labda.

(c) Tembelea maduka ya masupply wakubwa wa bidhaa hizo,jitambulishe kama agent kwa kusupply bidhaa kutoka madukani kwenda mitaani na WAOMBE NAFASI YA KUWA MMOJA YA WASAMBAZAJI WAO.

Na kazi yako kubwa ni kuunganisha wauzaji na watumiaji huku ukipata malipo kwa kinachoongezeka kutoka bei ya jumla kwenda rejareja.
(d)Chukua mawasiliano ya kila supplier , picha za bidhaa zake ,bei za bidhaa na makubaliano ya kukujulisha kila mzigo mpya unapofika.
Mfano kwa maeneo ya Dar es Salaam unatembelea maduka makubwa ya viatu vya kike karikoo.
(e)•Tengeneza account za biashara mitandaoni & Jiunge kwenye magroup mengi kisha anza kutafuta wateja .
NB;Hakikisha uantumia jina la kuvutia wateja usitumie jina lako halisi mfano unaweza kujiita VIATU POA.
•Tembelea wanunuzi wa rejareja waeleze kuhusu bidhaa zenu (Kwani kwa sasa wewe ni sehemu ya maduka yao,usijitambulishe kama mtu binafsi) NB:Tumia identity ya ofisi kuongeza uaminifu.
(f)Unapopata mteja mdirect dukani kwa bei ya rejareja,Utapata commission yako kwa kila mteja bila kutumia hata senti 5.
(g)Muda unavyozidi kwenda utapata uaminifu kwa wenye maduka,utaweza kuchukua bidhaa kwa "Mali Kauli" na kurejesha pesa madukani.
(h)Ukiwa na akili utasave pesa nyingi sana utakazotumia kama mtaji baadae.
Amini nakwambia mjini watu wengi wameanza na kuendeleza maisha kwa mfumo huu.

2. EVENTS PLANNING
Hii haina utofauti mkubwa sana na biashara ya ushirika,Na inakuwa rahisi kama ukipata watu wa karibu mkatengeneza team.
Inafanyikaje?
•Tembelea kila ukumbi wa sherehe na uchukue mawasiliano ya wamiliki na mameneja na bei zao.
•Tafuta list ya watu wanaohusika na mapishi katika masherehe 'Catering Service' na uchukue mawasiliano na bei zao.
•Chukua list ya kampuni zinazohusika na ukodishaji wa magari na uchukue mawasiliano na bei zao.
•Chukua list ya MC wote mitandaoni na uhifadhi mawasiliano yao.
•Chukua list ya wapambaji wa sherehe wote mitandaoni na uhifadhi mawasiliano na bei zao.
ANZA MATANGAZO KAMA MNAHUSIKA NA KUANDAA EVENTS KWA MALIPO YA 30% KABLA YA TUKIO.
Events yenu ya kwanza ndio itakuwa malango wa events na mtaji wa zote zitakazofata.

3. BIASHARA YA MAJANI YA MIFUGO NA VYAKULA VYA MFUGO.
Kwa wanaoishi maeneo ya Dar es Salaam hasa mitaa ya mawasiliano wanaelewa thamani ya hii biashara.
Vijana wengi wa maeneo yale wamekuwa wakitumia fursa wa uhaba ya malisho kwenye jiji ,kwa kukata majani na kulundika pembezoni mwa barabara.
Nilipata bahati ya kuonge ana mmoja ya vijana wale ambapo alinieleza thamani ya majani kwa gari moja ni mpaka 30K na wao wamekuwa wakiuza mpaka gari 5=150000 per day kwa watu 3 kwa siku,MTAJI UKIWA NI UBUNIFU,NGUVU ZAO NA VISU NA MAFYEKEO KUTOKA MAJUMBANI MWAO.
Wengine wamekuwa wakisupply vyakula kwa wamiliki wa nguruwe kwa kukusanya mabaki ya vyakula kwa kila mama ntilie maeneo yale na wamekuwa wakiuza mapaka kwa 5K kwa ndoo moja na wanauwezo wa kukusanya ndoo mpaka 10 kwa siku.
Hii kazi kwa masharobaro inakuwa ngumu ila amini hapa unaweza kupata mtaji wa maisha
NIMEJITOLEA KUKOMBOA FIKRA ZA VIJANA WENZANGU.
BIASHARA NAMBA 4 NA 5 NITAWEKA KULINGANA NA RETWEET NA MAWAZO YENU JUU YA HIZO.

Kwa nondo na part 2 nyingine kama hizi ntaweka part 2 baadae.

Madarasa mengine kama haya kama #buku10challenge yanapatikana tweeter Luqman mohamedy
 
Mawasiliano yao pia yatahitaji vocha ambayo ni vocha!
Yatahitaji nauli ambayo ni pesa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom