Mijadala ya Mawazo na Michanganuo mbalimbali ya Biashara na Uchumi kwa Ujumla

Ali kuwa ikishi Kijiji au mkoa gani? Tuanzie hapo
Kuna jamaa yangu anataka aje dsm maisha ya kijijini yamemshinda kuhusu kulima anataka aendelee na mchakato wa kuanza life hapa dsm..mfukoni ana 1.5M,mahala pa kufikia anapo ni chanika...ila ndio mara ya kwanza km akija dsm maana amezaliwa kijijini,amesomea huko na kukulia...ushauri anaweza fanya kitu gani..kwa mimi nilifikiria uwakala wa huduma za kifedha ila changamoto kwa sababu ya ugeni wake matapeli wanaweza kumpiga mapema sana...naomba mawazo mengine

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habar ndugu zangu. Nakuja kwenu kuomba ushauri wa wazo la biashara.

Binafsi nimejichangachanga kupitia shughuli zangu za kila siku na nimefanikiwa kupata kama laki 4 (400,000) ivi sasa nafikiria niifanyie kazi gani kabla shida haijaja nikaitumia ikaisha.
Napendelea wazo ambalo halitaathir shughuli zangu za kila siku ambazo zimeniwezesha kupata haka kaakiba.

Napatkana Moro town, hili linaweza kukusaidia mshauri wangu.

Karibuni
Toa kwanza Fungu la kumi ndio upangie zako biashara ila kuhusu Biashara Muulize Mungu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna jamaa yangu anataka aje dsm maisha ya kijijini yamemshinda kuhusu kulima anataka aendelee na mchakato wa kuanza life hapa dsm..mfukoni ana 1.5M,mahala pa kufikia anapo ni chanika...ila ndio mara ya kwanza km akija dsm maana amezaliwa kijijini,amesomea huko na kukulia...ushauri anaweza fanya kitu gani..kwa mimi nilifikiria uwakala wa huduma za kifedha ila changamoto kwa sababu ya ugeni wake matapeli wanaweza kumpiga mapema sana...naomba mawazo mengine

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuhusu huduma za fedha sishauri sana,zinataka umjini mwingi. Ila to be honest,yeye aainishe mawazo yake kwanza,kwani biashara ni Imani na hobby. Aseme baadhi ya vitu anavyovipenda,japo atapata mtihani kidogo kutokana na ugeni wake hapa mjini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za muda huu wadau,

Mimi ni mwanafunzi wa Chuo nipo Singida. Kwa mtaji wa 500,000/= naweza nikafanya biashara gani ili niweze kutengeneza kipato cha ziada?

Nawasilisha mada kwenu.
We msomi wa baadae,mambo vipi? Cha kufanya kianzie kwako kutokana eneo ulilopo. Ujasiriamali ni kucheza na fursa za eneo ulilopo. Nini hobby yako? Tuambie kwanza kilichopo moyoni mwako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuhusu huduma za fedha sishauri sana,zinataka umjini mwingi. Ila to be honest,yeye aainishe mawazo yake kwanza,kwani biashara ni Imani na hobby. Aseme baadhi ya vitu anavyovipenda,japo atapata mtihani kidogo kutokana na ugeni wake hapa mjini

Sent using Jamii Forums mobile app
Hana biashara anayowazia kwa kua amekulia kijijini na hata hiyo pesa ameipata kwa kupiga jembe ambalo kwa sasa limemchosha anaona hapati maendeleo ndio maana anataka kuja mjini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habarini za jioni wapendwa
Naitwa israel lazaro laizer
Wapendwa nimepoteza kitambulisho changu cha taifa jana 22/4/2020
Ninaomba kwa alie ona naomba anirudishie au awasiliane moja kwa moja na mimi. Kupitia namba izi 06228232364 au 0759308592 au 0682960045 nilipoteza hapa gongo la mboto naombeni share tangazo hili liwafikie wengi zaidi atakae iona atapata zawaidi Mungu awabariki tuendeleee kijikinga na janga la corona


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msaada jamani wale mnaojua utaratibu wa benki,NI VITU GANI NATAKIWA KUWA NAVYO ILI NIWEZE KUPATIWA MKOPO KWENYE BENKI KAMA CRDB,yaani vigezo na masharti yao.
Samahanini kama nimekosea jinsi ya kuwasilisha au kujieleza.
Nawasilisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom