Migomo katika Vyuo Vikuu na serikali ya awamu ya Nne

Hivi wanapofukuzwa wale wa kasulu,Biharamulo Namtumbo na hawana ndugu mjini wanakwenda wapi?
 
wasipokamatwa na kuwekwa ndani (kama walivyonifanyia mimi), basi wanarudi kwao Kasulu, Biharamulo na Namtumbo.
Ndio maana nasikia wadada wa Udsm wanajiuza......inatisha sana nimechoka na serikali hii wale watu pale juu wapimwe akili kuanzia raisi wao.
 
Ndio maana nasikia wadada wa Udsm wanajiuza......inatisha sana nimechoka na serikali hii wale watu pale juu wapimwe akili kuanzia raisi wao.

Hili la wadada wa mlimani kujiuza sidhani kama limefanyiwa utafiti wowote ule na kuthibitishwa. Hata hivyo sitashangaa kama ni kweli. Suala la kutoa notice ya masaa manne kwa wanafunzi kuondoka vyuoni huwa linaweka mzigo mkubwa sana kwa wanafunzi ambao hawana ndugu Dar es salaam.
 
Kinachosikitisha ni viongozi wa DARUSO waliobeba dhamana ya kuwasaidia wanafunzi wenzao wanasahau wajibu wao na kutumia nafasi zao kutafuta umaarufu wa kisiasa na bila kutafakari athari zake kwa wanafunzi na taifa kwa ujumla.


taratibu DARUSO inaanza kujadili itikadi za kisiasa na kugeuka CCM na CUF kutafuta muafaka wa tatizo hilo. Rais Machibya ana wakati mgumu sana katika kufanya maamuzi yake kwani hadi sasa tayari baadhi ya wabunge wamekataa kupitisha baraza lake la mawaziri na kuamua kujitenda rasmi na DARUSO.

Baadhi ya mawaziri walioteuliwa na rais ni watu wanaoaminika chuoni kwakuwa mstari wa mbele katika kutetea maslahi ya wanafunzi, lakini leo tena haohao wanageukana na kuwaacha wanaDARUSO njia panda.

Tatizo linakuja ni nani ana maslahi ya kweli kwa wananchi wa UDSM? Ni swali gumu lakini, kwa msomi ni rahisi.

Kidogo tujifunze kutoka kwa Rais Kikwete, baadhi ya watanzania wamamini kubaini kuwa uongozi wake si imara baada ya kushindwa kuleta tumaini na tegemeo la ahadi zake.

"Maisha bora kwa kila mtanzania lakini hadi sasahali ina
Sasa badala ya DARUSO kushughulikia matatizo ya wanafunzi imeanza kugawanyika kutokana na sababu mbalimbali baadhi yao wakitofautiana kiitikadi za kivyama. Vionfgozi hawafikirii nini cha kuwasaidia wanaDARUSO badala yake wanatafuta jinsi ya kuwapotosha.
 
Kinachosikitisha ni viongozi wa DARUSO waliobeba dhamana ya kuwasaidia wanafunzi wenzao wanasahau wajibu wao na kutumia nafasi zao kutafuta umaarufu wa kisiasa na bila kutafakari athari zake kwa wanafunzi na taifa kwa ujumla.


taratibu DARUSO inaanza kujadili itikadi za kisiasa na kugeuka CCM na CUF kutafuta muafaka wa tatizo hilo. Rais Machibya ana wakati mgumu sana katika kufanya maamuzi yake kwani hadi sasa tayari baadhi ya wabunge wamekataa kupitisha baraza lake la mawaziri na kuamua kujitenda rasmi na DARUSO.

Baadhi ya mawaziri walioteuliwa na rais ni watu wanaoaminika chuoni kwakuwa mstari wa mbele katika kutetea maslahi ya wanafunzi, lakini leo tena haohao wanageukana na kuwaacha wanaDARUSO njia panda.

Tatizo linakuja ni nani ana maslahi ya kweli kwa wananchi wa UDSM? Ni swali gumu lakini, kwa msomi ni rahisi.

Kidogo tujifunze kutoka kwa Rais Kikwete, baadhi ya watanzania wamamini kubaini kuwa uongozi wake si imara baada ya kushindwa kuleta tumaini na tegemeo la ahadi zake.

“Maisha bora kwa kila mtanzania lakini hadi sasahali ina
Sasa badala ya DARUSO kushughulikia matatizo ya wanafunzi imeanza kugawanyika kutokana na sababu mbalimbali baadhi yao wakitofautiana kiitikadi za kivyama. Vionfgozi hawafikirii nini cha kuwasaidia wanaDARUSO badala yake wanatafuta jinsi ya kuwapotosha.

Umaarufu gani unaouongelea hapa?
 
Inashangaza sana nchi yetu ina rasilimali nyingi tena adimu duniani sidhani kama wawakilishi wetu wanafikiria vyema au labda ni kukandamizwa na mashirika ya umoja wa mataifa. As Nyerere said "You can not say NO?" Kila kipengele wanakipokea na kusaini YES!

.

I am crying so I can not type anymore.
Till then TKS

Mashirika ya umoja wa mataifa hayana masharti na mara nyingi huwa yanasaidia nchi wanachama katika masuala mbalimbali haya ya kimaendeleo na humanitarian.Inawezekana unamaanisha taasisi za fedha kama IMF, World bank?
 
Message kwa Mods,

Hii habari inaonekana imevuka kiwango cha kuwa tetesi. Kuna uwezekano ikabadilishwa heading yake kutoka kwenye tetesi? Unless kama kuna maamuzi tofauti yametolewa ili kusitisha uamuzi wa kufunga chuo.
 
Masikitiko makubwa,

Elimu ya raia ndiyo investment kubwa kwa nchi maskini kama Tanzania, lakini vionmgozi wetu hajui hilo. Nina imani kuwa kama Obama asingekuwa na elimu nzuri, leo hii asingekuwa raisi wa Marekani. Nina imani vile vile kuwa kama nchi za South East Asia sizingewekeza kwenye elimu, leo hii sizingekuwa hapo zilipo.

Kwa kuchezea mihimili ya elimu yetu, watanzania tunachezea shilingi kwenye tundu la choo. Labda ni kwa vile watoto wa viongozi wetu wanasoma nchi za nje ili baadaye waje warudi na kuitawala Tanzania ikiwa na watu mbumbumbu; kwa hiyo elimu ya ndani siyo jambo la muhimu kwa viongozi wetu
 
jamani wanaJF!

Tunaweza kujua Professor Maghembe alichangia kiasi gani and asilimia ngapi kwa katika elimu yake mpaka PHD?
 
Baraza la chuo kikuu cha dar es salaam kimeamua kuwasimamisha wanafunzi wanaosoma udsm pamoja na vyuo vishiriki kwa kushiriki katika mgomo'haramu' wa kupinga malipo ya 40%.Wanafunzi hawa wamesimamishwa masomo kwa muda usiojulikana.

Serikali makini hutumia rasilimali zake katika kuhakikisha kuwa inajenga na kuelimisha vijana ili waweze kuwa na manufaa kwa jamii na serikali yote. Vijana huandaliwa kuja kuwa watu makini na maandalizi haya yana gharama zake amabazo wakati mwingine kama mtu binafsi hawezi kuzibeba na kukidhi gharama hizi.

Nchi zetu nyingi za kiafrika zimekumbatiwa na umaskini ambao si wa mali wala watu bali umaskini wa mawazo ya kupanga nini kipewe kipaumbele kwa ajili ya kuleta maendeleo ya kesho na si kujineemesha leo na kutaka sifa sizo maana.

Serikali zetu nyingi zimekuwa zikitenga fungu kubwa sana kwa ajili ya ulinzi na IKULU huku sekta nyingine zikipewa kiduchu. Sipingani na kutoa vingi kwa ajili ya ulinzi lakini nashindwa kujizuia kujiuliza kwamba sisi Tanzania adui yetu ni nani na kwanini IKULU itumie pesa nyingi saaaana kwa kipindi kifupi!?

hakuna kitu muhimu kama elimu, haijalishi kama ni elimu ya kujitambua ama ni elimu ya kukariri ili upate cheti huku ukishindwa kujitambua. Kujitambua mara zote huanzisha safari moja.

Siwaungi mkono waliogoma kwani naamini kabisa kuna njia nyingine ambazo wangechukua ili kupata haki yao (ambayo hata mimi ninaihitaji). Wengi wa wanafunzi(nikiwamo mimi) tunatoka vijijini na nauli yakutufikisha chuoni hubidi upitishwe mchango, sasa serikali inapotoa mkopo ambao haukidhi mahitaji na bado haikubali kuwa ndani ya nchi kuna matabaka hivyo wengine wanapaswa kupewa zaidi ya wengine na wengine kunyimwa kabisa(hebu wafikirie watoto wa vigogo ambao wamesoma shule za kulipa mamilioni ambao nao wazazi wao wanataka wapewe pesa zinazotustahili makabwela!)

Suala la matumizi ya anasa ya baadhi ya ofisi za umma na watendaji wa umma linachangia sana katika kutengwa kwa vitu muhimu vya kutimizwa.

Najua watu wengi wnawalaumu wanafunzi wa udsm kwa mgomo, lakini kujitambua ni hatua kubwa katika maendeleo hata kama namna ya kuyaleta itaumiza.

Ni lazima kuwepo na vipaumbele katika vitu muhimu hasa suala la elimu ya juu na ya ufundi ili kujenga taifa endelevu. Masuala ya baadhi ya ofisi kutumia pesa za walalahoi kwa ajili ya manufaa yao hayafai katika nchi hii. Tubadilike na tujitambue huku tukiweka ubinafsi, unafiki na ubabzazi pembeni ili tuendelee mbele. Mgomo ulisitahili na mkopo ni budi utolewe kwa wahitaji kwa 100%
 
Hili ni suala la ubunifu, kuthubutu na msimamo. Huwezi kutawala kwa vitisho na kuongoza watu kwa kuwatia hofu. Suala la elimu ya juu lingetatuliwa zamani kweli kama tungekuwa na watu wenye ubunifu.
 
Baraza la chuo kikuu cha dar es salaam kimeamua kuwasimamisha wanafunzi wanaosoma udsm pamoja na vyuo vishiriki kwa kushiriki katika mgomo'haramu' wa kupinga malipo ya 40%.Wanafunzi hawa wamesimamishwa masomo kwa muda usiojulikana.

Serikali makini hutumia rasilimali zake katika kuhakikisha kuwa inajenga na kuelimisha vijana ili waweze kuwa na manufaa kwa jamii na serikali yote. Vijana huandaliwa kuja kuwa watu makini na maandalizi haya yana gharama zake amabazo wakati mwingine kama mtu binafsi hawezi kuzibeba na kukidhi gharama hizi.

Nchi zetu nyingi za kiafrika zimekumbatiwa na umaskini ambao si wa mali wala watu bali umaskini wa mawazo ya kupanga nini kipewe kipaumbele kwa ajili ya kuleta maendeleo ya kesho na si kujineemesha leo na kutaka sifa sizo maana.

Serikali zetu nyingi zimekuwa zikitenga fungu kubwa sana kwa ajili ya ulinzi na IKULU huku sekta nyingine zikipewa kiduchu. Sipingani na kutoa vingi kwa ajili ya ulinzi lakini nashindwa kujizuia kujiuliza kwamba sisi Tanzania adui yetu ni nani na kwanini IKULU itumie pesa nyingi saaaana kwa kipindi kifupi!?

hakuna kitu muhimu kama elimu, haijalishi kama ni elimu ya kujitambua ama ni elimu ya kukariri ili upate cheti huku ukishindwa kujitambua. Kujitambua mara zote huanzisha safari moja.

Siwaungi mkono waliogoma kwani naamini kabisa kuna njia nyingine ambazo wangechukua ili kupata haki yao (ambayo hata mimi ninaihitaji). Wengi wa wanafunzi(nikiwamo mimi) tunatoka vijijini na nauli yakutufikisha chuoni hubidi upitishwe mchango, sasa serikali inapotoa mkopo ambao haukidhi mahitaji na bado haikubali kuwa ndani ya nchi kuna matabaka hivyo wengine wanapaswa kupewa zaidi ya wengine na wengine kunyimwa kabisa(hebu wafikirie watoto wa vigogo ambao wamesoma shule za kulipa mamilioni ambao nao wazazi wao wanataka wapewe pesa zinazotustahili makabwela!)

Suala la matumizi ya anasa ya baadhi ya ofisi za umma na watendaji wa umma linachangia sana katika kutengwa kwa vitu muhimu vya kutimizwa.

Najua watu wengi wnawalaumu wanafunzi wa udsm kwa mgomo, lakini kujitambua ni hatua kubwa katika maendeleo hata kama namna ya kuyaleta itaumiza.

Ni lazima kuwepo na vipaumbele katika vitu muhimu hasa suala la elimu ya juu na ya ufundi ili kujenga taifa endelevu. Masuala ya baadhi ya ofisi kutumia pesa za walalahoi kwa ajili ya manufaa yao hayafai katika nchi hii. Tubadilike na tujitambue huku tukiweka ubinafsi, unafiki na ubabzazi pembeni ili tuendelee mbele. Mgomo ulisitahili na mkopo ni budi utolewe kwa wahitaji kwa 100%
 
jamani wanaJF!

Tunaweza kujua Professor Maghembe alichangia kiasi gani and asilimia ngapi kwa katika elimu yake mpaka PHD?

Sabasaba,

Thamani ya hili swali ni mamilioni ya pesa ila kiwango alichochangia Prof Maghembe ni priceless (tangazo la mastercard).
 
kwa kweli inauma? kwa wengine ambao tumebahatika kusoma nje bila matatizo inauma sana..jamani alumni ya udsm wako wapi? wahaoni uchungu hawa mawaziri na kikwete si wamesoma hapo hapo ud? kweli hamna solution nyingine serikalini? aiwezekani watu wamesomea govt policy on education na regulation of all sorts..this is peanuts..tatizo siasa zinatumaliza watanzania...tunajimaliza wenyewe
 
Back
Top Bottom