Rare Sapphire
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 576
- 1,625
Akichangia bungeni mbunge Keneth Nollo, amesema serikali ifikirie kuondoa ada kwa wanafunzi wa chuo nchini sababu umasikini na mkubwa na wengi hawawezi kumudu.
Badala yake wanafunzi wa nje pekee ndio wawe wanalipa ada.
Badala yake wanafunzi wa nje pekee ndio wawe wanalipa ada.