Mgomo kesho unafanyika chuoni hapo kutokana na ukandamizaji unaofanywa na menejimenti ya chuo kwa wanafunzi chuoni hapa. Prof mmoja anaitwa Mlacha ndo chanzo cha matatizo yote, hana utu, yeye kwake pesa ndo utu. Wanafunzi wamechoshwa na ukandamizaji wake. Hashauliki huyu bwana. Sasa kazi inaanza kesho na ole wake watoto wa maskini wana hasira sana nae.
- ukandamizaji wa aina gani unaofanywa na menejiment ya hicho chuo?
- Na je menejiment ya hicho chuo nina mtu mmoja tu (Prof uliyemtaja?)
- je kutokushaurika ndio ukandamizaji wenyewe?
- kabla ya kuamua kufanya mgomo hatua gani za awali mmeshachukua juu ya huo "ukandamizaji"?
- so kwa vile hao watoto wa masikini wana hasira na huyo mlengwa uliyemtaja hapo juu kunajustify kufanya mgomo?