Medecin
JF-Expert Member
- Nov 29, 2011
- 7,899
- 21,311
umeongea point mkuuWewe Mama umeniboa sana leo, najiuliza kama tungekupa Ikulu hali ingekuwaje? Mkulima eneo lake ni lile lile miaka nenda rudi. Mzee Rajab wa Msowero alirithi shamba kwa baba yake zaidi ya ekari 50 miaka ya sitini, analima hapo miaka yote na amegawia wanaye na wajukuu, lakini shamba hilo hilo limesababisha apoteze wanaye na wajukuu kwa kuuwawa na wafugaji miaka 50 toka arithishwe shamba. Je lile shamba ni laana? Anajiuliza, anasema bora asingekubali lile shamba labda angebakia na wanaye na wajukuu? Lakini angewalisha nini yeye ni mkulima?