Migiro leaves UN post; forced out or chose to leave?

Migiro leaves UN post; forced out or chose to leave?

CCM wakimleta huyu mama kugombea Urais wamekwisha.CDM itamteua Halima Mdee kupambana naye na atamshinda huyu mama aliyefukuzwa UN.Kumteua Dr Slaa kupambana na huyu mama itakuwa ni kumuonea.
Nani kakwambia watu wanamawazo na chadema. Kijijini kwetu twajuta na hawa magandwa na sera yao ya maandamano.huoni sasa yamepungua.
 
That sh*t has been done for a min, Mrema did the same.
Do you think amefanya uchunguzi au amepewa makaratasi akayasome. Kuna watu wanauza habari za ufisadi online.....
Pick a government, pick a website..... maghreb confidential, Indian ocean newsletter, wikileaks etc...
Hivi vitu vipo all over, 20$ a month. Ila nyie mnadanganywa mikutanoni mkidhani wao ndiyo wamefanya utafiti.

Sidhani kama ni mjinga kiasi cha kupewa tu makaratasi asome na yeye kukimbilia kuyasoma bila kufanya uchunguzi wake yeye mwenyewe.

Na kama yangekuwa ya uongo tayari sasa hivi angekuwa anakabiliwa na mi kesi kibao ya kuwachafulia watu majina.

Na pia tuna macho na akili zetu. Ufisadi upo Tanzania na mafisadi wakubwa ni hao hao viongozi wakuu wa serikali wenye access na resources za kufanya ufisadi mkubwa. You don't need to be a rocket scientist or you don't need any kind of special specs to see that!

Au wewe unajua kuwa ufisadi sugu hakuna Tanzania?
 
Hajaacha mwenyewe hivyo asitudanganye kuwa eti kaacha mwenyewe ili kuja kulitumikia taifa lake.Sidhani kama anafaa hata kugombea urais bongo kwetu kama kweli alikuwa hatulii ofisini,ni kweli kwamba hata sisi hatatufaa kwa sababu, we need more than serious people sasa kuliendeleza taifa hili.
 
Tatizo la nchi hii tunadhani nchi inaongozwa na umaarufu. Oneni sasa uongozi wa nchi ulivyopwaya chini ya rais wenu huyo mzururaji ambaye wakati wa uchaguzi alikuwa maarufu sana. Binafsi naona ni bora niongozwe na kiongozi mzalendo hata asipokuwa msomi kuliko kuongozwa na mtu msomi na maarufu lakini asiye na uzalendo wowote. Kwa muktadha huo, Dr. Asha Migiro ana rekodi gani isiyotiliwa mashaka juu ya uAlendo wake kwa nchi hii? Ningekuwa nina kipimo cha uzalendo, ningekitumia kuwachuja wanaowaza urais.
 
NOT TRUE - It is a procedure for Team working for UN Secretary General to Serve only on term 5 years; but Secretary General asked her to extend her stay for 6 more month because there is important meetings upto June 2012 and she will stay

So you guys stop your GOSSIP - It is a UN PROCEDURE
 
Sidhani kama ni mjinga kiasi cha kupewa tu makaratasi asome na yeye kukimbilia kuyasoma bila kufanya uchunguzi wake yeye mwenyewe.

Na kama yangekuwa ya uongo tayari sasa hivi angekuwa anakabiliwa na mi kesi kibao ya kuwachafulia watu majina.

Na pia tuna macho na akili zetu. Ufisadi upo Tanzania na mafisadi wakubwa ni hao hao viongozi wakuu wa serikali wenye access na resources za kufanya ufisadi mkubwa. You don't need to be a rocket scientist or you don't need any kind of special specs to see that!

Au wewe unajua kuwa ufisadi sugu hakuna Tanzania?
Hata siku moja huwezi kuniaminsha kuwa kuna tofauti kati ya politcs na corruption. IT'S the extent that matters.

Tanzania kuna corruption kila kona, na sijasema hizi scandals sio za kweli, lakini just because someone exposes them, doe not qualify him as a person with a presidential track record.

Kama maza anataka kugombea urais, aanze kumawaga points watu watachambua..... simjudge based on the platform that yall running on.
Personally naona bora wanawake wachukue usukani .... hao ndiyo wanaohold down familia nyingi, mibaba bongo inachemsha.
 
Hata siku moja huwezi kuniaminsha kuwa kuna tofauti kati ya politcs na corruption. IT'S the extent that matters.

Tanzania kuna corruption kila kona, na sijasema hizi scandals sio za kweli, lakini just because someone exposes them, doe not qualify him as a person with a presidential track record.

Kama maza anataka kugombea urais, aanze kumawaga points watu watachambua..... simjudge based on the platform that yall running on.
Personally naona bora wanawake wachukue usukani .... hao ndiyo wanaohold down familia nyingi, mibaba bongo inachemsha.

What do you consider to be a presidential track record?
 
Uchambuzi mzuri: thanx mleta thread

Unfortunately, there are some malicious activities going on at the JF forum. There are few people who think that they own this forum and are the only ones capable of bringing reasonable topics.. I am appalled by what I've experienced since posting the thread.
 
Anadhani Watanzania tunafagilia vichupi chupi/bikini kutuongoza. Anadanganywa na jambazi mkuu wa tz eti atakuwa rais.

Wewe umejikosea adabu, utu uzima wako ovyo.
Huwezi tamka hayo maneno kwa mtu anayejiheshimu km Dr.Migiro, maneno yako yanakuvua heshima yako yoote.
Ulishawahi kumuona Dr.Migiro na vichupi? km ndio kawaida yako kuchezea vichupi vya hao wanawake zako, usiwafananishe hao na Dr.Migiro.
 
kama hauko tanzania hutaweza kujua track record ya Dr. Slaa, Rais anayeongoza nchi kutoka kwenye mioyo ya wananchi. Kama upo tanzania na bado hujui track record ya Mh. Rais Dr. Slaa, lazima utakuwa na cancer ya ubongo!

Acha porojo zako, jibu swali uliloulizwa mkuu.
Kama hauna hizo track record za Slaa si useme tu kwamba hauna, kwani ni kosa?
Na huo ndio ukweli kuwa hana any track record. acha kigugumizi
 
Welcome home mama Migiro!
Usikute uko ulikuwa inactive kama noble gas jamaa akaamua akuteme.
Nyumbani ni nyumbani uku kwetu wewe ni jembe ingawa si lenye makari stahiki.
Mid July unaweza sikia JK amteua ..................kuwa mbunge special seat alafu Waziri wa...............................
 
Saturday, 21 January 2012 08:38

??By Mkinga Mkinga
The Citizen Reporter


She was the third deputy secretary-general and the first African woman to hold the prestigious post that was established by the General Assembly at the end of 1997 as part of reforms in the United Nations to help manage secretariat operations and ensure coherence of activities and programmes. The position was also meant to elevate the organisation's profile and leadership in the economic and social spheres.

.

Hivi hapo kwenye red hapatowi jibu la kilichotokea?! Inavyoelekea, huo ndio utaratibu wa UN! Hiyo nafasi (ya Deputy Secretary) inaonekana iliundwa 1997 (angalia red). Toka 1997 hadi 2012 ni miaka 15. Na katika kipindi cha miaka 15 inaonekana wamepita Deputy Secretaries 3! Hii inaonesha wazi kwamba kila Deputy Secretary anadumu kwenye post yake kwa muda wa miaka mitano mitano! Inawezekana ndiyo sheria inavyosema au utaratibu! Hii bila shaka ni katika kuhakikisha mataifa mengi zaidi yanapata nafasi ya kukalia hizo UN top posts! Sasa tatizo lipo wapi hapo?!
 
Wana JF najiuliza Ajenda ni nini hapa? Wenzetu wanasema kuna 'two schools of thought' katika hili.

1. UN kwa sasa inapitia wakati mgumu katika utendaji wake. Michango ya mataifa mbalimbali kuendeleza harakati za umoja huu imekuwa ikipungua siku hadi siku. Baadhi ya wanazuoni wanafikiri kwamba sababu mojawapo ni Uongozi wa juu kushindwa kutekeleza majukumu yake na pia kufanya mambo kisiasa zaidi bila kujali maslahi ya umoja huo pamoja na yale ya wachangiaji wake wakubwa. Mathalani suala ya Palestina kuomba uanachama wa kudumu UN na lile ya UNESCO kuwapatia uanachama wa kudumu kinyume na matakwa au maelekezo ya wachangiaji wakubwa wa shughuli zake kama vile USA kumepelekea mgawanyiko mkubwa ndani ya umoja huo. Katibu mkuu na waandamizi wake wanaonekana kutokuwa makini na kukosa sifa ya kuongoza chombo hiki kikubwa kabisa cha ulimwengu wa leo. Hatima yake imekuwa ni general 'shake up' ili kurudisha imani ya wanachama kwa uongozi wa chombo hiki. Katika harakati hizo watu kama akina Asha Rose Migiro wamekumbwa na kumbakumba hilo la kiutawala ili kunusuru chombo hicho na pia kurudisha imani ya wadau wake wakubwa. Nafasi ya naibu katibu mkuu wa UN ni kubwa kwani ni mshauri mkuu wa karibu sana wa General secretary. Kwa sababu hiyo Dr. Migiro haonekani kuifanya kazi hiyo sawa sawa (she's been ineffective) kwa hiyo imebidi ashauriwe kuachia ngazi ili apatikane mtu mwingine anayeweza kuvaa viatu hivyo na kuifanya hivyo kazi vizuri zaidi.

2. Mtizamo mwingine unahusu siasa za nyumbani Tz. Kuna tetesi kwamba chama tawala CCM imemuomba aachie ngazi huko UN ili arudi nyumbani kuja kujiandaa kugombea Uraisi pindi bwana JK aliyeko madarakani sasa atakapomaliza muda wake. Wachambuzi wa mambo wanaamini kwamba hali ya CCM kwenye uchaguzi mkuu ujao iko taabani na bila kufanya maandalizi mazuri wanaweza kupoteza dola kwa chama cha upinzani hasa CHADEMA ambacho kinaonekana kuwakaba koo sawa sawa na zaidi zaidi matatizo ya ndani ya CCM kwa sasa ambapo siasa za makundi zimetawala. Mie nasita sana kuunga mkono hoja hii maana siamini kwamba busara ya baadhi ya watawala wetu iko juu kiasi hicho kuamini kwamba Dr. Migiro ndiye mtu pekee anayeweza kuwaletea ushindi katika uchaguzi ujao. Ila nikiangalia jinsi akina Sitta walivyopigwa vikumbo kwenye Uspika wa Bunge la Tanzania na akawekwa Mama Makinda kwa hoja ya kuwapa akina mama nafasi ya kuongoza mhimili huo mkubwa wa kutunga sheria, napata wasiwasi kwamba haya yaweza kuwa kweli. Wana JF naomba kuwakilisha na pia niulize vyama vya upinzani vimejipanga vipi kuweza kukabiliana na mikikimikiki ya namna hiyo? Dr. Migiro wanamjua vilivyo na wanaweza kupambana naye kwenye 'fair play' iwapo katiba mpya itaridhiwa kuwa inatoa uhuru mpana kwa wananchi kumtaka kiongozi wanayemtaka?
Asante kwa post nzuri mkuu wangu! CCM wako ktk wakati ngumu kutafuta mgombea wao wa 2015. Migiro atafanya makosa makubwa kisiasa kama atajiingiza ktk siasa za majukwaani kwa kuwasikiliza wanaotaka kumtumia ili kuendelea kulinda maslahi yao. Atajichafua na kuchafuka!
 
welcome home mama migiro!
Usikute uko ulikuwa inactive kama noble gas jamaa akaamua akuteme.
Nyumbani ni nyumbani uku kwetu wewe ni jembe ingawa si lenye makari stahiki.
Mid july unaweza sikia jk amteua ..................kuwa mbunge special seat alafu waziri wa...............................
foreign affairs and international cooperation.
 
Acha porojo zako, jibu swali uliloulizwa mkuu.
Kama hauna hizo track record za Slaa si useme tu kwamba hauna, kwani ni kosa?
Na huo ndio ukweli kuwa hana any track record. acha kigugumizi
"Track record moja ya Slaa ni kukwapua fedha za ujio wa Papa" (SMW...siy mimi)
 
Posted on July 11, 2012 by VoxMedia


Barely a week after the immediate former Deputy Secretary-General, Dr. Asha Rose Migiro returned to Tanzania after serving a five-year term at the helm of the world body, sources within the UN have hinted that poor performance and failure to fit "in the diverse and complicated body" were some of the reasons she was refused a contract renewal.

"The position of the Deputy Secretary-General is complicated and demanding; it requires somebody who is experienced to efficiently run the Secretariat. Her biggest challenge was not understanding the politics at the world body and creating alliances," the source told Vox Media in a telephone conversation.

Dr. Migiro is understood to have approached the African Group, the largest regional group comprising of 28 percent of all UN members, to ask for help in lobbying for her re-appointment, but her quest was rejected. "She wasn't popular amongst diplomats; so nobody listened to her. You should also recall that her appointment was widely criticized."

In Dar es Salaam, a former senior ruling party secretariat member who worked closely with her in the same team before she assumed the UN post said her appointment was influenced by her personal relationship with President Jakaya Kikwete. It is understood that President Kikwete and UN Secretary-General Ban Ki-moon cultivated a close relationship when serving as foreign ministers for their respective governments.

When it came for Ban Ki-moon to canvass for votes toward his UN bid, Tanzania's vote was predominant; Dr. Migiro was apparently battered with Kikwete's vote. But when Ban Ki-Moon recently decided to review his entire team in a bid to control growing criticism of his team, Dr. Migiro had to go for "poor performance and lack of experience required of staff with the top UN mandate."


SOURCE: Why Dr. Migiro lost her UN job | Vox Media | Get Informed, Inform others
 
Back
Top Bottom