Migiro leaves UN post; forced out or chose to leave?

Migiro leaves UN post; forced out or chose to leave?

CCM wakimleta huyu mama kugombea Urais wamekwisha.CDM itamteua Halima Mdee kupambana naye na atamshinda huyu mama aliyefukuzwa UN.Kumteua Dr Slaa kupambana na huyu mama itakuwa ni kumuonea.
 
Swala liko wazi kabisa huyu mama aliomba kuongezwa mkataba un lkn amekataliwa na baada ya hapo kiliandaliwa kwa maombi maalumu kutoka serikali ya tz kwa katibu mkuu wa un ni kwamba aseme rose migoro ameomba kujiuzulu ili kumlindia heshima yake na si vingenevyo. Swala liko wazi tu hata kwa wale ambao ni wagumu kusoma mazingira; kwani huyu mama ni kwa kutaka makubwa ndiyo maana aliacha pale udsm ili aingie kwenye siasa na si kwamba ana utumishi uliotukuka. Huyu mama asingeweza kuachia ngazi tena ktk nafasi ya un, kwani hata kama angekuwa na nia ya kugombea urais, then kujiuzulu un na kuja kugombea tz ingempa cv kubwa kuliko hali yake kwasasa.

Kwa wale wanaotetea hoja ya yeye kujiuzulu wanasema ni kwasababu zipi? Ili aje afanye nini? Je anaweza kuinfluence vipi uchaguzi wa ccm mwaka huu? Kumbuka siasa ya majukwaani hajawahi kufanya. Hivyo, mama kashindwa kasi ya un na sasa un imeamua kumpumnzisha. Mimi namwomba arejee akashike chaki udsm, kwani siasa za majukwaani haziwezi na ataishia tu kuaibika.
 
Huyu mama ana track record gani inayompa sifa ya kuliongoza taifa? Manake watu wasije wakawa wanashoboka tu na hiyo nafasi yake ya UN na kudhani ndiyo ataweza kuongoza Tanzania.

By the way Huko Kafukuzwa!! Je Tanzania ni Kichwa cha mwendawazimu?
 
Nani kakuambia Asha Migiro kajiuzulu UN?

JF sio sehemu ya porojo usiokote maneno kwenye vijiwe vya mbege halafu unaleta humu JF.

Ukweli wa kuachia ngazi uko pale pale bofya hapa: UN Deputy-Secretary-General to step down | United Nations Radio

Ila sababu ndiyo bado zimebaki kuwa tetesi na ndiyo maana hii hoja imeletwa hapa ili wachambuzi wengine nao wachangie mawazo yao!! I respect the critical thinking here and there is no need to bring unfounded claims/porojo porojo!!
 
Anadhani Watanzania tunafagilia vichupi chupi/bikini kutuongoza. Anadanganywa na jambazi mkuu wa tz eti atakuwa rais.
 
Huyu mama ana track record gani inayompa sifa ya kuliongoza taifa? Manake watu wasije wakawa wanashoboka tu na hiyo nafasi yake ya UN na kudhani ndiyo ataweza kuongoza Tanzania.
Kwani huyo Slaa mnaemshabikia ana track record gani?..... WTH?
 
mmmh, mikiki imeanza watachafuliwa na kuchafuana...labda kwasababu ni mwanamke hivyo wanawake wengi watavutiwa nae na idadi kubwa ya wapiga kura ni wanawake na mataifa makubwa wataheshimu uamuzi huo...CHADEMA mko tayari
Mkuu, watanzania wa sasa hawawezi danganyika na swala hilo au mkakati dhaifu kama huo. Hata wakina Mama wenyewe hakuna atakayeamini kuwa kwa kumpa mwanamke nchi iliyochanwa chanwa na kufisadiwa kiasi hiki inahitaji kiongozi Mwanamke kipindi hiki. Ni dhahiri kuwa kila mwenye mawazo sahihi anajua hata mwanaume asiye kuwa mahiri hataiweza Tanzania kwa sasa. Nakuhakikishia hata mtu kama mtoto wa mkulima haiwezi hii nchi kwa sasa. Inataka mtu makini na mahiri kweli kweli. Siyo siasa za kupokezana vijiti wala kuoneana aibu zitakazotutoa tulipo. Tunahitaji Raisi aliye na ujasiri wa kuutangazia umma kuwa leo nimemsimamisha kazi fulani na kumteua fulani kuchukua nafasi yake. Chadema kwao itakuwa sherehe CCM wakijidanganya kumteua mwanamama kugombea Uraisi 2015.
 
Kwani huyo Slaa mnaemshabikia ana track record gani?..... WTH?

kama hauko tanzania hutaweza kujua track record ya Dr. Slaa, Rais anayeongoza nchi kutoka kwenye mioyo ya wananchi. Kama upo tanzania na bado hujui track record ya Mh. Rais Dr. Slaa, lazima utakuwa na cancer ya ubongo!
 
Siafadhali mkitawaliwa na wanawake mtalipiwa mahari mpaka nauli za dala dala, kwani tangu mtawaliwe na wanaume ni Mabadiliko gani au umefaidika nn? Ebu wape wanawake muone mtajuta kwanini hamkuwapa tangu zamani...

Wanawake huwa hawapewi wenyewe ndiyo huwa wanatoa. Samahani kama nitakuwa nimetumia lugha ya kijiweni. Si kawaida yangu.
 
tetesi ni kwamba ameomba kupumzika. kwa bahati mbaya hkna ambae anaweza kulitolea maelezo hili
 
kama hauko tanzania hutaweza kujua track record ya Dr. Slaa, Rais anayeongoza nchi kutoka kwenye mioyo ya wananchi. Kama upo tanzania na bado hujui track record ya Mh. Rais Dr. Slaa, lazima utakuwa na cancer ya ubongo!
Tupe track record acha maneno ya kubabaish.
 
kipindi chake cha kufanya kazi kilifika ukingoni na UN hawakupendelea kurenew tena contract yake.. kutokana na utendaji wake(zingatia hii ni nafasi nyeti kiutendaji) .mengine tutaweka siasa nyingi lakini ukwelli ni kwamba UN ndio wamemtema si vinginevyo
 
huyu mama sioni kazi aliyoifanya ikaonekana tangu ateuliwe UN,ikitokea kapewa nchi si dhani kama nchi itafika mbali kutakuwa hakuna jipya zaidi ya kuwa na mawaziri wote wa kike na wanaume tanzania tutalipiwa mahali 2kitaka kuoa.
:


Tuwe makini tunapotoa michango yetu tuache ushabiki, huku JF wakati mwingine majungu yanazidi na mambo haya yatapunguza ubora wa JF
 
Angalau ya kuthubutu kuwa call out mafisadi.
That sh*t has been done for a min, Mrema did the same.
Do you think amefanya uchunguzi au amepewa makaratasi akayasome. Kuna watu wanauza habari za ufisadi online.....
Pick a government, pick a website..... maghreb confidential, Indian ocean newsletter, wikileaks etc...
Hivi vitu vipo all over, 20$ a month. Ila nyie mnadanganywa mikutanoni mkidhani wao ndiyo wamefanya utafiti.
 
Back
Top Bottom