Migiro leaves UN post; forced out or chose to leave?

Migiro leaves UN post; forced out or chose to leave?

Mkuu nilisema tokea mwanzo huyu mama alikuwa ni mzigo wa kufa mtu kwa Ban Ki moon alitimuliwa vibaya mno
 
Uzushi, hawa wazungu waliitaka hiyo nafasi siku nyingi, yuko jamaa kutoka ujerumani amekuwa akiiwania hiyo post siku nyingi kwa kumzushia mambo mengi sana dada yetu,kna wakati walijaribu ku question hata PHD yake aliyoipata huko Ujerumani lakini akashindwa,sina uhakika kama atakuwa amepewa yeye hiyo nafasi,nilikuwa sielewi kumbe hata wazungu fitina ni nyingi?Bitna,Bitna,Bitna kila mahali hasa kukiwa na lishe nzuri,
 
Uzushi, hawa wazungu waliitaka hiyo nafasi siku nyingi, yuko jamaa kutoka ujerumani amekuwa akiiwania hiyo post siku nyingi kwa kumzushia mambo mengi sana dada yetu,kna wakati walijaribu ku question hata PHD yake aliyoipata huko Ujerumani lakini akashindwa,sina uhakika kama atakuwa amepewa yeye hiyo nafasi,nilikuwa sielewi kumbe hata wazungu fitina ni nyingi?Bitna,Bitna,Bitna kila mahali hasa kukiwa na lishe nzuri,

Na hawa nao ni wazungu?

Dr. Migiro is understood to have approached the African Group, the largest regional group comprising of 28 percent of all UN members, to ask for help in lobbying for her re-appointment, but her quest was rejected. "She wasn't popular amongst diplomats; so nobody listened to her. You should also recall that her appointment was widely criticized."
 
Mbona hiyo inafahamika kwani sikuwahi muona hata kwenye mkutano mmoja wa issuecritical kama zile za Israel au Libya alikuwa anajificha ficha kuogopa Challenge hebu sasa ona amekuja DSM kudanganya eti amefanya the best.
 
Mkuu nilisema tokea mwanzo huyu mama alikuwa ni mzigo wa kufa mtu kwa Ban Ki moon alitimuliwa vibaya mno

Mbona yeye sasa anatuambia kuwa utumishi wake UN umemletea sifa nyingi yeye binafsi na Taifa lake la Tanzania? Kumbe alikuwa yupo yupo tu?
 
Haya mambo yalishawekwa hapa JF huko nyuma. Kuna article ilitoka ikieleza sakarasi za huyu mama kusaka support kwa muhula wake wa pili. Baada ya hap kukawa na kama ka-campaign ka kusafisha mambo. Lakini Migiro alipata cheo kutokana na kazi kubwa ya udalali iliyofanywa na Tanzania kumsaidia Ban Ki-Moon kupata cheo cha ukatibu mkuu. Wakati wa kumpata katibu mkuu UN, Tanzania ilikuwa chair wa AU, lakini pia ilikuwa inashikilia kiti cha usalama kwenye UN-security Council ikiongozwa na Balozi Mahige. Ni kwa kutumia nafasi hizo Tanzania iliweza kufanya ushawishi ndani ya AU na kumuunga mkono Ban Ki-Moon.

Hata hivyo kwangu mimi huu ni mchezo mzuri kwenye siasa za kimataifa na inaleta sifa nzuri kwa Tanzania kama tunaweza kuwa na ushawishi. Shida sasa inakuja kwenye utendaji wa hao wanapata nafasi hizo. Tanzania tunaonekana kususua, kuna issue ya Getrude Mongela, Prof Tibaijuka naye aliondolewa kwenye kiti cha mambo ya Mazingiria UN na kukawa na kelele kelele. Sasa tuna hii ya Migiro. Pengine tujiangalie tena ili kubaini namna nzuri ya kujiimarisha ili hao wanaopata nafasi kwenye hivyo vyombo wanfanye vizuri.
 
Mbona hiyo inafahamika kwani sikuwahi muona hata kwenye mkutano mmoja wa issuecritical kama zile za Israel au Libya alikuwa anajificha ficha kuogopa Challenge hebu sasa ona amekuja DSM kudanganya eti amefanya the best.

Hapo kwenye RED: Hajadanganya mkuu, aliposema "amefanya the best" alikuwa in a way anakiri kuwa kwa vigezo halisi ameboronga ila hapo ndipo uwezo wake ulipoishia. Asilaumiwe sana, alipewa viatu vilivyozidi saizi yake wajameni!
 
dah mi nilijua tu , eti ohoo mara ana GPA kubwa kutoka UDSM hakuna aliyevunja record kwa kozi ya Law , hivi kwani GPA ndo inafanya kazi wajameni eeh mbona kashindwa sasa na GPA yake ya 4 , ohhhooo JK alimu overstate huyu Dr Rose Migiro ndo maana mambo yamekuwa vice versa , tafakari chukua hatua haki elimu khekhekhe
 
Lakini Chama cha Magamba watakuambia kuwa Rose ameamua yeye mwenyewe kupumzika baada ya kuutumikia Umoja wa Mataifa kwa utumishi uliotukuka! Kweli wajinga ni chakula cha waliosoma!
 
Mbona yeye sasa anatuambia kuwa utumishi wake UN umemletea sifa nyingi yeye binafsi na Taifa lake la Tanzania? Kumbe alikuwa yupo yupo tu?

It typical of ccm "leaders", wanadhani hadi leo tunasubiri watuambie wao wanachotaka tukiamini (read "watudanganye") kuhusu mambo yanayoendelea duniani! Wanachosahau ni kuwa siku hizi ni rahisi sana kupata habari kutoka different sources, na ukatumia akili yako uliyojaaliwa na Muumba wako kuchambua kipi ni pumba na mchele ni upi.
 
Lakini Chama cha Magamba watakuambia kuwa Rose ameamua yeye mwenyewe kupumzika baada ya kuutumikia Umoja wa Mataifa kwa utumishi uliotukuka! Kweli wajinga ni chakula cha waliosoma!

si Dr Rose Migiro amesema hataki kuingia kwenye siasa atafundisha udsm pia anataka kuwa karibu na familia yake ebo hii karee
 
Mzito K Ok, She has to go but for your Information No Assistant Sec. General of United Nations has stayed with His or Her Boss

for full 8 years tenure; During Boutros Boutros Ghali do you have a guts to mention one of his Secretary Generals?

If, then she was not capable why he still assigned her work? And the other Sec General has been replaced as well

* THE SOURCE; Is giving me a second thought... VOXMEDIATZ.COM - that's the only source tried to research to other media

source futile results
 
Last edited by a moderator:
Mbona hiyo inafahamika kwani sikuwahi muona hata kwenye mkutano mmoja wa issuecritical kama zile za Israel au Libya alikuwa anajificha ficha kuogopa Challenge hebu sasa ona amekuja DSM kudanganya eti amefanya the best.

Ndiyo maana amesema amerudi Bongo ili aje kuwa mama,dada,bibi na mwalimu.Nafiri ndo anavyoweza kuliko hiyo post ya UN.Ngoja aje kwa magamba aone kazi.
 
Back
Top Bottom