Jasho la Damu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 956
- 120
mbunge hakusema atajenga yeye machinga complex na wala hana uwezo wa kujenga bali amesema ataibua hoja ya ujenzi wa machinga complex na kuzisimamia bungeni na kuhakikisha zinapita. sasa ndo kwanza kikao cha bajeti kimeanza vuta subira utasikia tu. una lingine?Sasa hiyo machinga complex imeshajengwa? Mimi nataka achievement au progess