Miezi sita ya Godbless Lema Bungeni

NOT ENOUGH

JF-Expert Member
Dec 8, 2010
596
307
Shikamoo Mh Mbunge, napenda kukumbusha kwamba sasa hivi imeshatimia miezi sita tangu uingie bungeni rasmi nafasi ambayo uliipigania sana na Mungu akakusaidia ukaipata. Nadhani umeshahudhuria vikao kama vinne hivi vya bunge ikiwemo hiki cha bajeti. Nimeona leo tuae chini mimi na wewe tupitie ile check list yetu yaani mimi mwananchi na wewe Mh Mbunge. Check list inajumuisha yote yale uliyoongea mwaka jana katika kipindi cha miaka mitatu ukiwa unapambana na Mama yetu Batilda. Mimi check list yote ninayo ila mwenzangu sijui kama ullitunza ili ikusaidie kwenye safari yako ya 2015. Kama hutojali naomba uniwekee check list yako hapa ili niangalie ni lipi umekwishalifanya ndani ya kipindi hiki cha miezi sita.
 
Sasa wewe ulitegemea awafanyie nini wakati anatokea chama kitoto? hapo mlipoteza kura tu.
 
Sasa wewe ulitegemea awafanyie nini wakati anatokea chama kitoto? hapo mlipoteza kura tu.

Chama siyo kinachofanya kazi, kazi inafanywa na Mbunge husika kutokana na uelewa wa mambo na busara zake. Usikae kichama kwenye hii hoja kaa ki perfomance.
 
Shikamoo Mh Mbunge, napenda kukumbusha kwamba sasa hivi imeshatimia miezi sita tangu uingie bungeni rasmi nafasi ambayo uliipigania sana na Mungu akakusaidia ukaipata. Nadhani umeshahudhuria vikao kama vinne hivi vya bunge ikiwemo hiki cha bajeti. Nimeona leo tuae chini mimi na wewe tupitie ile check list yetu yaani mimi mwananchi na wewe Mh Mbunge. Check list inajumuisha yote yale uliyoongea mwaka jana katika kipindi cha miaka mitatu ukiwa unapambana na Mama yetu Batilda. Mimi check list yote ninayo ila mwenzangu sijui kama ullitunza ili ikusaidie kwenye safari yako ya 2015. Kama hutojali naomba uniwekee check list yako hapa ili niangalie ni lipi umekwishalifanya ndani ya kipindi hiki cha miezi sita.

Ni angalizo zuri, pana, lenye sura ya uwajibikaji kwa walee wateule wetu. Check list hawakosi kuwa nazo, je kasi ya utendaji wao jimboni ukoje?
Nakuunga mkono NE, leo umeweka kitu adimu hapa jamvini tofauti na nilivyozoea kusoma threads zako.
 
siyo lazima akujibu yeye tuwekee hiyo checklist hapa jamvini pengine hata sisi tunaweza kukujibu kwa ufasaha zaidi kuliko yeye.
 
Chama siyo kinachofanya kazi, kazi inafanywa na Mbunge husika kutokana na uelewa wa mambo na busara zake. Usikae kichama kwenye hii hoja kaa ki perfomance.
basi we baki na hizo akili zako za kizamani, serikali ni ccm sasa unataka walete maendeleo kwa mbunge wa upinzani? hii ni siasa bibie sio sindimba. Nyie mtarudi CCM 2015 lasivyo mtakiona cha moto.
 
Ameanza na uchumi anagawa pesa kwa wapiganaji wa UDOM za kununua bangi na gongo ili waandamane. Msiwe na haraka kuna mengi mazuri yatafuata baadaye.

Sio kila king'aacho ni dhahabu,kama auna jambo la maana lakuchangia unaweza pita tu,hakuna atakaye kuhoji.
 
Shikamoo Mh Mbunge, napenda kukumbusha kwamba sasa hivi imeshatimia miezi sita tangu uingie bungeni rasmi nafasi ambayo uliipigania sana na Mungu akakusaidia ukaipata. Nadhani umeshahudhuria vikao kama vinne hivi vya bunge ikiwemo hiki cha bajeti. Nimeona leo tuae chini mimi na wewe tupitie ile check list yetu yaani mimi mwananchi na wewe Mh Mbunge. Check list inajumuisha yote yale uliyoongea mwaka jana katika kipindi cha miaka mitatu ukiwa unapambana na Mama yetu Batilda. Mimi check list yote ninayo ila mwenzangu sijui kama ullitunza ili ikusaidie kwenye safari yako ya 2015. Kama hutojali naomba uniwekee check list yako hapa ili niangalie ni lipi umekwishalifanya ndani ya kipindi hiki cha miezi sita.

Kujenga machinga complex mbili jijini Arusha
 
siyo lazima akujibu yeye tuwekee hiyo checklist hapa jamvini pengine hata sisi tunaweza kukujibu kwa ufasaha zaidi kuliko yeye.

nashukuru kama unaweza jibu kwa niaba yake. hebu basi tuwekee achievements ili nasi yufanye evaluation ya time against perfomance. Asante sana mwanaharakati
 
Not Enough we vipi check list yako kaanayo sisi hatuna haja nayo kipaumbele chetu ni maandamano mpaka kieleweke chali wangu.Tumeshatimiza ahadi kibao unakumbuka maandamano ya Arusha walikufa watu watatu hayo si maendeleo ?.Nyamongo hamkumsikia Lema ?,UDOM alikuwepo kaamashisha maandamano ya katiba mpya ?,Unakumbuka maakamani kesi ya Mbowe alishiriki kumbeba unataka nini wewe acha roho mbaya chaliii wangu.Mjengoni alimtoa jasho Pinda mpaka spika akamsaidia,Umesahau mbunge wetu alisema mlango ufungwe watangwane makonde ?.Umesahau katoa CD kali au wewe hupendi muziki hakuna mbunge aliewahi kutoa burdani kwa wapiga kura wake na Tanzania kwa ujumla.Acha roho mbaya Lema ni mbunge wa maisha Arusha.
 
basi we baki na hizo akili zako za kizamani, serikali ni ccm sasa unataka walete maendeleo kwa mbunge wa upinzani? hii ni siasa bibie sio sindimba. Nyie mtarudi CCM 2015 lasivyo mtakiona cha moto.

Hapo kwenye red angalia isije kuwa viceversa:
Angalizo sio kila thridi unalazimishwa kuchangia,unaweza pita tu kama auna kitu cha maana sawa OMAR?
maana unaandika upupu tu hakuna cha maaana.
 
mi kuna moja nimeliona amelifanya ni la muhimu ila cjui ka liko kwenye check list; kaanzisha mfuko wa kuwalipia ada za sekondari wanafunzi wanaotoka ktk familia za kipato cha chini so far hadi sasa ni wanafunzi zaidi ya mia nne wanalipiwa na mfuko huu wa mbunge ktk shule mbalimbali za kata hapa Arusha. Programme zingine tutakuwa tunahabarishana as we goes on.
 
Not Enough we vipi check list yako kaanayo sisi hatuna haja nayo kipaumbele chetu ni maandamano mpaka kieleweke chali wangu.Tumeshatimiza ahadi kibao unakumbuka maandamano ya Arusha walikufa watu watatu hayo si maendeleo ?.Nyamongo hamkumsikia Lema ?,UDOM alikuwepo kaamashisha maandamano ya katiba mpya ?,Unakumbuka maakamani kesi ya Mbowe alishiriki kumbeba unataka nini wewe acha roho mbaya chaliii wangu.

Jamani acheni jokes tujadili achievement hapa, na kama hakuna basi tuseme ili Mh Lema aamke kwani miaka mitano si mingi jamani
 
Shikamoo Mh Mbunge, napenda kukumbusha kwamba sasa hivi imeshatimia miezi sita tangu uingie bungeni rasmi nafasi ambayo uliipigania sana na Mungu akakusaidia ukaipata. Nadhani umeshahudhuria vikao kama vinne hivi vya bunge ikiwemo hiki cha bajeti. Nimeona leo tuae chini mimi na wewe tupitie ile check list yetu yaani mimi mwananchi na wewe Mh Mbunge. Check list inajumuisha yote yale uliyoongea mwaka jana katika kipindi cha miaka mitatu ukiwa unapambana na Mama yetu Batilda. Mimi check list yote ninayo ila mwenzangu sijui kama ullitunza ili ikusaidie kwenye safari yako ya 2015. Kama hutojali naomba uniwekee check list yako hapa ili niangalie ni lipi umekwishalifanya ndani ya kipindi hiki cha miezi sita.

Napendekeza tuanzie ngazi za juu, ile check list ya mgombea wetu wa urasi kwanza, je ni yapi ameshateleleza na yapi bado, tukimaliza then tuhamie kwa waheshimiwa wabunge mmoja baada ya mwingine.

 
mi kuna moja nimeliona amelifanya ni la muhimu ila cjui ka liko kwenye check list; kaanzisha mfuko wa kuwalipia ada za sekondari wanafunzi wanaotoka ktk familia za kipato cha chini so far hadi sasa ni wanafunzi zaidi ya mia nne wanalipiwa na mfuko huu wa mbunge ktk shule mbalimbali za kata hapa Arusha. Programme zingine tutakuwa tunahabarishana as we goes on.

Pukudu thanks very much hili hata mimi nimeliona ila nataka yale ambayo yana impact kwa jamii nzima. Nina uhakika watu wenye shida ya ada ni zaidi ya mia nne hapa Arusha. So tuhesabu vile vitu vyenye impact kwa jamii nzima na siyo society yenye access na yeye.
 
Nduka na Omar kama amna kitu cha kuchangia kwenye hii mada nendeni jukwaaa la jokes mkapoteze muda na si kuharibu mada hapa.
Hizo ni akili maandazi,kama sio viazi vitamu.
 
Napendekeza tuanzie ngazi za juu, ile check list ya mgombea wetu wa urasi kwanza, ni miezi sita tayari tuone yapi ameshateleleza? tukimaliza ndiyo tuhamie kwa wabunge.


Weka thread tofauti nayo tutaichangia
 
Back
Top Bottom