Mwananchi wa chini
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 227
- 597
Ndugu Zanguni leo ndio nimehitimisha majukumu yangu ya mradi unaohusisha mambo ya Jamii kupitia shirika lisilo la kiserikali la WORLD VISION. Pamoja na mengine nimekuwa nikikaa kwenye vijiwe, kukutana na wakazi wa Mbeya mjini na viongozi wa vyama vya siasa na viongozi wa dini na waumini wao.
Kwa kweli kwa sasa CHADEMA hawana umoja wala muunganiko wa kisiasa mfano hadi sasa kuna mgogoro mkubwa wa mwenyekiti wa CHADEMA wa jimbo la Mbeya mjini na mwenyekiti wa mkoa wa Mbeya kamanda China wa China ambao hawaivi hata kidogo ambapo mwenyekiti ametangaza kumuondoa Mwenyekiti wa jimbo.
Kuhusu SUGU amepoteza mvuto katika jiji la Mbeya ambapo wakazi wengi wa mbeya (wanyakyusa) hawana muda naye tena ambapo wamefurahishwa na kumpata Binti yao Spika wa Bunge Hivo wamesema hawana muda na mpinzani tena.
Kwa kweli kwa sasa CHADEMA hawana umoja wala muunganiko wa kisiasa mfano hadi sasa kuna mgogoro mkubwa wa mwenyekiti wa CHADEMA wa jimbo la Mbeya mjini na mwenyekiti wa mkoa wa Mbeya kamanda China wa China ambao hawaivi hata kidogo ambapo mwenyekiti ametangaza kumuondoa Mwenyekiti wa jimbo.
Kuhusu SUGU amepoteza mvuto katika jiji la Mbeya ambapo wakazi wengi wa mbeya (wanyakyusa) hawana muda naye tena ambapo wamefurahishwa na kumpata Binti yao Spika wa Bunge Hivo wamesema hawana muda na mpinzani tena.