Jiji la Mbeya: Mfupa Mgumu kwa Makonda na CCM

MLIMAWANYOKA

JF-Expert Member
Oct 25, 2019
487
1,633
Tumeona ziara ya Comrade Makonda MNEC na mwenezi wa CCM Taifa maeneo mengi ya nchi.

Hata tuliokuwa tuna muona Makonda kama muhalifu (mwenye kudhulumu haki ya kuishi) sasa tuna muona shujaa.

Ukiachana na kuwa watu wengi wana angalia vi clip ambapo vinaonesha jinsi anavyo tatua migogoro kwa ufanisi papo kwa papo, lakini ukifuatilia mikutano yake uta baini ajenda zake hizi pia.

1.Na yeye ni chawa wa mama, ana jitafutia nafasi ya juu zaidi. Anajikomba komba. Ila anawasema wenzake.

2. Ana jijenga yeye, muda wote ana jisifia yeye.. Kauli zake ni kama Makonda kaletwa na Mungu. bila makonda msingejua haya, walifanya makosa kunipa Uenezi, Watu wana taka kuniua, Watumishi wazembe wakisikia Makonda wana tetemeka.
Jamaa ni so grandiose

3. Anacheza ngoma ya wapinzani, kuwavuta kwenye mijadala yake, hasa Tundu Lisu. nawapongeza walivyo mpuuza. Muda mwingi ana tumia kuwapiga Vijembe.

4. Makonda ni yule yule, mwenye uadui na visasi. Mara zote analaumu kuwa ilikuwa ale shavu muda mrefu, ila kila jina lake likipelekwa kwa mama kuna watu wana fungua kesi kuwa eti kadhulumu nyumba (nadhani anamsema boss wa Yanga). "Nmekaa miaka mitatu nje ya mfumo, walikuwa na nafasi ya kunimaliza, sasa hawaniwezi"

TURUDI KWENYE MFUPA MGUMU JIJINI MBEYA
Kulikuwa na mambo kadhaa


Kwa sasa Jijini Mbeya kuna malalamiko ya kificho na bayana kuhusu utendaji Mbovu wa dada Spika. Miaka yake hana cha kujivunia zaidi ya matamasha na jogging.

Kwa kipindi chake cha miaka minne sijui ana jivunia nini, mi natamani nije nimsikilize. anasemaje?

Mitaani hata wale chawa wake maarufu wame ishiwa hoja. wana shindwa kumpamba tena.

Jiji la Mbeya lina asili ya kuongozwa na wapinzani kwa miaka mingi. huenda hii ilipelekea kutopewa kipaumbele. Daladala za kule zilikuwa zina itwa Mzunguko kwa maana ikianza stand kuu ni kuzunguka tu mpka igawilo, hakuna barabara za rami za mitaani tofauti na hizo barabara kuu (Moja ya kwenda dar, nyingine Malawi)

Alipoingia Sugu nadhani alikutana na Upepo wa Bank ya Dunia kujenga barabara za mitaani. kilometers nyingi Zika tandazwa akajipatia sifa.

Wakati wa shujaa mwenda zake, jiji likatengwa likawa ukiwa, hakukuwa na miradi mikubwa.. na mwenda zake akiwa uyole mahali ambapo alizomewa na kulazimishwa kuimba "mabadilikooo Lowasaaaa...." kipindi cha kampeni.

Sasa kawa Rais akawachana "Mlikosea na mnajua mlipo kosea, Mwaka 2020 msifanye tena makosa" Kwa hiyo hata kampeni za dada zika jikita hapo, Mbeya jini hamna Connection ndiyo maana hampewi maendeleo ikawa ni kuwa atakapo chaguliwa jiji lita pendeza tena, zita jengwa barabara nne (Hii ni plan ya kitambo sana, ila kwa kuwa wabongo wengi tuna utapia mlo wa kufikiri tuna ona kama ni kweli dada spika anaweza akajenga barabara nne kwa amri yake), pia waka aminisha watu kuwa mitaani barabara zitajengwa. Jiji litakuwa Evergreen

Intelligence ya CCM nadhani walijua kuwa Mbeya pagumu, Alipo fika makonda akabadilisha mtindo badala ya kusoma mabango, eti yeye ndiyo akawa ana msismamisha mtu na kuanza kumnaga.. akaamua kumtoa kafara meneja wa TARURA Mkoa.. ajieleze kwa nini barabara hazijengwi. " HILO SWALI ALIPASWA KUULIZWA MBUNGE, kwa sababu ndiye aliye ahidi.

Pamoja na promo kuubwa walio ifanya, bado hakukuwa na watu wengi. Wapinzani wakija kufanya maandamano yao pale wata pata watu wengi zaidi.

Amepita Mbeya bila kutatatua wala kuelezea Mambo magumu.. alikuwa na cheap Politics.

Ni Wakat wa CCM mbeya kuji tafakari na kuchukua Hatua kama wana nia ya kuendelea kuliongoza. Kama Sugu atakuwa makini na uchaguzi ukawa siyo uchafuzi, Jimbo lipo wazi.

Mbeya ni mfupa Mgumu.
 
Unaandika vitu vya kufirika labda kwa mtu ambaye hayupo mbeya ndio atakuelewa. Ni kweli awamu ya kwanza ya kugombea kwa JPM watu wengi hawakuwa upande wake kutokana na hali ya ccm kwa kipindi hicho ila sio awamu ya 2020.

Unavyoona nyomi ya Makonda sasa ni kwasababu anatumia JPM style na nyie kama mnataka muwe na nyomi tumieni hiyo style japo wananchi hawawezi waelewa coz ndio mliyokuwa mkimpinga nayo. Mama alikuwa anawasare akawavutia pumzi kawapa tume huru kisha kawaletea JPM style ambayo ndio wananchi wengi wanaitaka sasa hivi mnatatapa tu na propaganda.
 
Tumeona ziara ya Comrade Makonda MNEC na mwenezi wa CCM Taifa maeneo mengi ya nchi.

Hata tuliokuwa tuna muona Makonda kama muhalifu (mwenye kudhulumu haki ya kuishi) sasa tuna muona shujaa.
Ukiachana na kuwa watu wengi wana angalia vi clip ambapo vinaonesha jinsi anavyo tatua migogoro kwa ufanisi papo kwa papo, lakini ukifuatilia mikutano yake uta baini ajenda zake hizi pia.

1.Na yeye ni chawa wa mama, ana jitafutia nafasi ya juu zaidi. Anajikomba komba. Ila anawasema wenzake.

2. Ana jijenga yeye, muda wote ana jisifia yeye.. Kauli zake ni kama Makonda kaletwa na Mungu. bila makonda msingejua haya, walifanya makosa kunipa Uenezi, Watu wana taka kuniua, Watumishi wazembe wakisikia Makonda wana tetemeka.
Jamaa ni so grandiose

3. Anacheza ngoma ya wapinzani, kuwavuta kwenye mijadala yake, hasa Tundu Lisu. nawapongeza walivyo mpuuza.
Muda mwingi ana tumia kuwapiga Vijembe.

4. Makonda ni yule yule, mwenye uadui na visasi. Mara zote analaumu kuwa ilikuwa ale shavu muda mrefu, ila kila jina lake likipelekwa kwa mama kuna watu wana fungua kesi kuwa eti kadhulumu nyumba (nadhani anamsema boss wa Yanga). "Nmekaa miaka mitatu nje ya mfumo, walikuwa na nafasi ya kunimaliza, sasa hawaniwezi"

TURUDI KWENYE MFUPA MGUMU JIJINI MBEYA
Kulikuwa na mambo kadhaa


Kwa sasa Jijini Mbeya kuna malalamiko ya kificho na bayana kuhusu utendaji Mbovu wa dada Spika. Miaka yake hana cha kujivunia zaidi ya matamasha na jogging..
Kwa kipindi chake cha miaka minne sijui ana jivunia nini, mi natamani nije nimsikilize. anasemaje.?
Mitaani hata wale chawa wake maarufu wame ishiwa hoja. wana shindwa kumpamba tena.

Jiji la Mbeya lina asili ya kuongozwa na wapinzani kwa miaka mingi. huenda hii ilipelekea kutopewa kipaumbele. Daladala za kule zilikuwa zina itwa Mzunguko kwa maana ikianza stand kuu ni kuzunguka tu mpka igawilo, hakuna barabara za rami za mitaani tofauti na hizo barabara kuu.(Moja ya kwenda dar, nyingine Malawi)
Alipo ingia Sugu nadhani alikutana na Upepo wa Bank ya Dunia kujenga barabara za mitaani. kilometers nyingi Zika tandazwa akajipatia sifa.

Wakati wa shujaa mwenda zake, jiji likatengwa likawa ukiwa, hakukuwa na miradi mikubwa.. na mwenda zake akiwa uyole mahali ambapo alizomewa na kulazimishwa kuimba "mabadilikooo Lowasaaaa...." kipindi cha kampeni.
Sasa kawa Rais akawachana "Mlikosea na mnajua mlipo kosea, Mwaka 2020 msifanye tena makosa" Kwa hiyo hata kampeni za dada zika jikita hapo, Mbeya jini hamna Connection ndiyo maana hampewi maendeleo ikawa ni kuwa atakapo chaguliwa jiji lita pendeza tena, zita jengwa barabara nne (Hii ni plan ya kitambo sana, ila kwa kuwa wabongo wengi tuna utapia mlo wa kufikiri tuna ona kama ni kweli dada spika anaweza akajenga barabara nne kwa amri yake), pia waka aminisha watu kuwa mitaani barabara zitajengwa. Jiji litakuwa Evergreen

Intelligence ya CCM nadhani walijua kuwa Mbeya pagumu, Alipo fika makonda akabadilisha mtindo badala ya kusoma mabango, eti yeye ndiyo akawa ana msismamisha mtu na kuanza kumnaga.. akaamua kumtoa kafara meneja wa TARURA Mkoa.. ajieleze kwa nini barabara hazijengwi. " HILO SWALI ALIPASWA KUULIZWA MBUNGE, kwa sababu ndiye aliye ahidi.

Pamoja na promo kuubwa walio ifanya, bado hakukuwa na watu wengi. Wapinzani wakija kufanya maandamano yao pale wata pata watu wengi zaidi.

Amepita Mbeya bila kutatatua wala kuelezea Mambo magumu.. alikuwa na cheap Politics.

Ni Wakat wa CCM mbeya kuji tafakari na kuchukua Hatua kama wana nia ya kuendelea kuliongoza. Kama Sugu atakuwa makini na uchaguzi ukawa siyo uchafuzi, Jimbo lipo wazi.

Mbeya ni mfupa Mgumu..
kaisha maliza huko anasonga mbele kwingineko 🐒
 
Anacheza ngoma ya wapinzani, kuwavuta kwenye mijadala yake, hasa Tundu Lisu. nawapongeza walivyo mpuuza.

Jamaa anaumia alivyopuuzwa na haamini
 
Tumeona ziara ya Comrade Makonda MNEC na mwenezi wa CCM Taifa maeneo mengi ya nchi.

Hata tuliokuwa tuna muona Makonda kama muhalifu (mwenye kudhulumu haki ya kuishi) sasa tuna muona shujaa.
Ukiachana na kuwa watu wengi wana angalia vi clip ambapo vinaonesha jinsi anavyo tatua migogoro kwa ufanisi papo kwa papo, lakini ukifuatilia mikutano yake uta baini ajenda zake hizi pia.

1.Na yeye ni chawa wa mama, ana jitafutia nafasi ya juu zaidi. Anajikomba komba. Ila anawasema wenzake.

2. Ana jijenga yeye, muda wote ana jisifia yeye.. Kauli zake ni kama Makonda kaletwa na Mungu. bila makonda msingejua haya, walifanya makosa kunipa Uenezi, Watu wana taka kuniua, Watumishi wazembe wakisikia Makonda wana tetemeka.
Jamaa ni so grandiose

3. Anacheza ngoma ya wapinzani, kuwavuta kwenye mijadala yake, hasa Tundu Lisu. nawapongeza walivyo mpuuza.
Muda mwingi ana tumia kuwapiga Vijembe.

4. Makonda ni yule yule, mwenye uadui na visasi. Mara zote analaumu kuwa ilikuwa ale shavu muda mrefu, ila kila jina lake likipelekwa kwa mama kuna watu wana fungua kesi kuwa eti kadhulumu nyumba (nadhani anamsema boss wa Yanga). "Nmekaa miaka mitatu nje ya mfumo, walikuwa na nafasi ya kunimaliza, sasa hawaniwezi"

TURUDI KWENYE MFUPA MGUMU JIJINI MBEYA
Kulikuwa na mambo kadhaa


Kwa sasa Jijini Mbeya kuna malalamiko ya kificho na bayana kuhusu utendaji Mbovu wa dada Spika. Miaka yake hana cha kujivunia zaidi ya matamasha na jogging..
Kwa kipindi chake cha miaka minne sijui ana jivunia nini, mi natamani nije nimsikilize. anasemaje.?
Mitaani hata wale chawa wake maarufu wame ishiwa hoja. wana shindwa kumpamba tena.

Jiji la Mbeya lina asili ya kuongozwa na wapinzani kwa miaka mingi. huenda hii ilipelekea kutopewa kipaumbele. Daladala za kule zilikuwa zina itwa Mzunguko kwa maana ikianza stand kuu ni kuzunguka tu mpka igawilo, hakuna barabara za rami za mitaani tofauti na hizo barabara kuu.(Moja ya kwenda dar, nyingine Malawi)
Alipo ingia Sugu nadhani alikutana na Upepo wa Bank ya Dunia kujenga barabara za mitaani. kilometers nyingi Zika tandazwa akajipatia sifa.

Wakati wa shujaa mwenda zake, jiji likatengwa likawa ukiwa, hakukuwa na miradi mikubwa.. na mwenda zake akiwa uyole mahali ambapo alizomewa na kulazimishwa kuimba "mabadilikooo Lowasaaaa...." kipindi cha kampeni.
Sasa kawa Rais akawachana "Mlikosea na mnajua mlipo kosea, Mwaka 2020 msifanye tena makosa" Kwa hiyo hata kampeni za dada zika jikita hapo, Mbeya jini hamna Connection ndiyo maana hampewi maendeleo ikawa ni kuwa atakapo chaguliwa jiji lita pendeza tena, zita jengwa barabara nne (Hii ni plan ya kitambo sana, ila kwa kuwa wabongo wengi tuna utapia mlo wa kufikiri tuna ona kama ni kweli dada spika anaweza akajenga barabara nne kwa amri yake), pia waka aminisha watu kuwa mitaani barabara zitajengwa. Jiji litakuwa Evergreen

Intelligence ya CCM nadhani walijua kuwa Mbeya pagumu, Alipo fika makonda akabadilisha mtindo badala ya kusoma mabango, eti yeye ndiyo akawa ana msismamisha mtu na kuanza kumnaga.. akaamua kumtoa kafara meneja wa TARURA Mkoa.. ajieleze kwa nini barabara hazijengwi. " HILO SWALI ALIPASWA KUULIZWA MBUNGE, kwa sababu ndiye aliye ahidi.

Pamoja na promo kuubwa walio ifanya, bado hakukuwa na watu wengi. Wapinzani wakija kufanya maandamano yao pale wata pata watu wengi zaidi.

Amepita Mbeya bila kutatatua wala kuelezea Mambo magumu.. alikuwa na cheap Politics.

Ni Wakat wa CCM mbeya kuji tafakari na kuchukua Hatua kama wana nia ya kuendelea kuliongoza. Kama Sugu atakuwa makini na uchaguzi ukawa siyo uchafuzi, Jimbo lipo wazi.

Mbeya ni mfupa Mgumu..
Acha wivu wa kitoto na kijinga.

Spika Tulia ana vitu elfu vya kujivunia hapo Mbeya.

Tulia ana mambo yafuatayo hapo Mbeya
-Barabara njia 4
-Mahospital Jiji zika ikiwemo Rufaa
-Barabara za mitaa chini ya Tactic
-Standi kuu ya Mkoa kuanza kujengwa baadae mwaka huu
Mashule na Vituo vya Afya,zahanati Kila mtaa nk
-Mradi wa Maji chanzo Cha Mto kiwaira ujenzi unaendelea kuja jijini Mbeya
-Amepigania kiasi kwamba Ujenzi wa Chuo Cha Udsm unaanza

Wewe ungesema tuambie Sugu ana lipi la kujivunia miaka 15?
 
Acha wivu wa kitoto na kijinga.

Spika Tulia ana vitu elfu vya kujivunia hapo Mbeya.

Tulia ana mambo yafuatayo hapo Mbeya
-Barabara njia 4
-Mahospital Jiji zika ikiwemo Rufaa
-Barabara za mitaa chini ya Tactic
-Standi kuu ya Mkoa kuanza kujengwa baadae mwaka huu
Mashule na Vituo vya Afya,zahanati Kila mtaa nk
-Mradi wa Maji chanzo Cha Mto kiwaira ujenzi unaendelea kuja jijini Mbeya
-Amepigania kiasi kwamba Ujenzi wa Chuo Cha Udsm unaanza

Wewe ungesema tuambie Sugu ana lipi la kujivunia miaka 15?

Mkuu tujadili hili suala kwa Hoja!

1. Njia ya barabara nne inajengwa wapi? na kwa maelezo yake ilitakiwa iwe ina pitika sasa. hata hivyo hiyo barabara ilianza kuboreshwa tangu makambako mpaka Igawa. mbeya hawakufika ila kulikuwa na mpango tangu enzi na enzi.. huyo dadako alisema akiingia tu ata anza ujenzi. sasa miaka minne. ujenzi umefika hatua gani.? 😂😂 Wana jua wabongo wengi vilaza, wana subiri waanze ujenzi mwaka 2025.?

2. Jengo la wazazi meta limeanza kijengwa kipindi cha sugu. hata hivyo si sugu wala dadako wote hawahusiki. hata chuo Cha UDSM kina jengwa Mbalizi. kwa taarifa yako kule ni jimbo la Mbeya Vijijini.. Dadako hagusi kule. hata mbunge wa kule haimuhusu hiyo. Hata hivyo hizo hazikuwa ahadi zake kipindi cha kampeni.
Lakini umeona majengo ya Muhimbili, Benjamin na CHATO.. huko kote unadhani ni wabunge wa maeneo hayo wamehusika.??

3. Unaishi mtaa gani na kuna kituo gani cha afya. Hivi unajua mtu akiwa uyole aka umwa ghafla ana lazimika kwenda Igawilo kule juu, anyway hivyo pia vimejengwa kwa hela za Covid. Hahusiki huyo dada enu.

4. stand ya Mkoa kuanza kujengwa baadaye.😂😂. dadako ni mbunge wa mkoa..? hata hizo barabara nne walia saini kwa mbwembwe pale kabwe zipo wapi? usiamini saaana story za baadaye.

5. Maji ya Mto kiwira .... mradi ulianza kipindi cha Sugu. ila hayajafika mpka leo. ila dadako ali jirecord kipindi ni naibu spika eti aliulizia bungeni.. basi hiyo clip akawa ana tereza nayo wakati wa kampeni.😂😂

6. Shule kila mtaa... 😂??. una changanya mtaa, kata, kitongoji na tarafa.. mtaa wa sokoni uyole kuna shule gani imejengwa, kata ya Ghana shule ipi ime jengwa.?

Hebu jaribu ku compare MBEYA Chato, mbeya na Dodoma, Mbeya Na Tanga.
hata Sumbawanga soon wata wazidi. wana barabara nne wale..

MBEYA WAKATI WA MVUA MATOPE, WAKATI WA KIANGAZI VUMBI.

Moja haikai mbili haikai.
Hivi unadhani kwa nini Bajaji Nyingi barabarani. sababu ni kuwa hakuna njia mbadala. hata barabara nyingi mbadala zilijengwa kipindi cha Sugu.

Kwa maslai mapana ya JiJi Letu.
Tupaze sauti , Maendeleo yaje. Kama Mama na Dada haziivi tujue moja.
Mtu akitoka Tukuyu na anataka kwenda Mjini, hana haja ya kupitia Uyole, kuwe na barabara ya mkato. mtu anaye ishi Veta na anafanya kazi Uhindini hana haja ya kupita Mwanjelwa.. Hiyo ndiyo MIZUNGUKO ...
 
Ifike mahali hii nchi ibadilike ,, hivi kweli mji kama mbeya ni wakukosa maendeleo kwasabab ya upinzani??? Viongozi wamejaa ubinafsi sana
Enzi za mwenda zake walisema hivyo..

sasa wapo wao .. watuoneshe hayo maendeleo
 
Mkuu tujadili hili suala kwa Hoja!

1. Njia ya barabara nne inajengwa wapi? na kwa maelezo yake ilitakiwa iwe ina pitika sasa. hata hivyo hiyo barabara ilianza kuboreshwa tangu makambako mpaka Igawa. mbeya hawakufika ila kulikuwa na mpango tangu enzi na enzi.. huyo dadako alisema akiingia tu ata anza ujenzi. sasa miaka minne. ujenzi umefika hatua gani.? 😂😂 Wana jua wabongo wengi vilaza, wana subiri waanze ujenzi mwaka 2025.?

2. Jengo la wazazi meta limeanza kijengwa kipindi cha sugu. hata hivyo si sugu wala dadako wote hawahusiki. hata chuo Cha UDSM kina jengwa Mbalizi. kwa taarifa yako kule ni jimbo la Mbeya Vijijini.. Dadako hagusi kule. hata mbunge wa kule haimuhusu hiyo. Hata hivyo hizo hazikuwa ahadi zake kipindi cha kampeni.
Lakini umeona majengo ya Muhimbili, Benjamin na CHATO.. huko kote unadhani ni wabunge wa maeneo hayo wamehusika.??

3. Unaishi mtaa gani na kuna kituo gani cha afya. Hivi unajua mtu akiwa uyole aka umwa ghafla ana lazimika kwenda Igawilo kule juu, anyway hivyo pia vimejengwa kwa hela za Covid. Hahusiki huyo dada enu.

4. stand ya Mkoa kuanza kujengwa baadaye.😂😂. dadako ni mbunge wa mkoa..? hata hizo barabara nne walia saini kwa mbwembwe pale kabwe zipo wapi? usiamini saaana story za baadaye.

5. Maji ya Mto kiwira .... mradi ulianza kipindi cha Sugu. ila hayajafika mpka leo. ila dadako ali jirecord kipindi ni naibu spika eti aliulizia bungeni.. basi hiyo clip akawa ana tereza nayo wakati wa kampeni.😂😂

6. Shule kila mtaa... 😂??. una changanya mtaa, kata, kitongoji na tarafa.. mtaa wa sokoni uyole kuna shule gani imejengwa, kata ya Ghana shule ipi ime jengwa.?

Hebu jaribu ku compare MBEYA Chato, mbeya na Dodoma, Mbeya Na Tanga.
hata Sumbawanga soon wata wazidi. wana barabara nne wale..

MBEYA WAKATI WA MVUA MATOPE, WAKATI WA KIANGAZI VUMBI.

Moja haikai mbili haikai.
Hivi unadhani kwa nini Bajaji Nyingi barabarani. sababu ni kuwa hakuna njia mbadala. hata barabara nyingi mbadala zilijengwa kipindi cha Sugu.

Kwa maslai mapana ya JiJi Letu.
Tupaze sauti , Maendeleo yaje. Kama Mama na Dada haziivi tujue moja.
Mtu akitoka Tukuyu na anataka kwenda Mjini, hana haja ya kupitia Uyole, kuwe na barabara ya mkato. mtu anaye ishi Veta na anafanya kazi Uhindini hana haja ya kupita Mwanjelwa.. Hiyo ndiyo MIZUNGUKO ...
Wewe Jamaa ni mzima kichwani? Kwa hiyo hapo Mbeya Barabara haijengwi? Au uko Tandahimba harafu unazungumzia mambo ya Mbeya?

Sugu wa wapi? Baada ya Tulia kuwa Naibu Spika ndio kikaanza kujengwa Ili kuwa sehemu ya kampeni 2020.

Sasa Uyole na Igawilo Kuna umbali gani? Igawilo Kwa Sasa ni Hospital ya Jiji sio Kituo Cha Afya tena.

Standi ya Mkoa ujenzi utaanza soon hapo Mafiati Kwa Sasa mkandarasi ndio anatafutwa.Sio tuu Standi Bali na soko la Matola.

Niletee hapa maelezo yanayoonesha signing ceremony ya mradi wa chanzo Cha kiwara Sugu akiwepo.

Shule hizo usiseme ni Kila mtaa mambo ni 🔥🔥

Narudia kukuuza unaishi Mbeya ipi Hadi unauliza maswali ya kijinga eti Njia njia 4 hazijengwi sijui Kusini.kwa mbwembwe? Nenda Mbeya harafu uje ufute ujinga wako.

Mwisho Kwa maelezo zaidi soma hapa👇👇
 
Wewe Jamaa ni mzima kichwani? Kwa hiyo hapo Mbeya Barabara haijengwi? Au uko Tandahimba harafu unazungumzia mambo ya Mbeya?

Sugu wa wapi? Baada ya Tulia kuwa Naibu Spika ndio kikaanza kujengwa Ili kuwa sehemu ya kampeni 2020.

Sasa Uyole na Igawilo Kuna umbali gani? Igawilo Kwa Sasa ni Hospital ya Jiji sio Kituo Cha Afya tena.

Standi ya Mkoa ujenzi utaanza soon hapo Mafiati Kwa Sasa mkandarasi ndio anatafutwa.Sio tuu Standi Bali na soko la Matola.

Niletee hapa maelezo yanayoonesha signing ceremony ya mradi wa chanzo Cha kiwara Sugu akiwepo.

Shule hizo usiseme ni Kila mtaa mambo ni 🔥🔥

Narudia kukuuza unaishi Mbeya ipi Hadi unauliza maswali ya kijinga eti Njia njia 4 hazijengwi sijui Kusini.kwa mbwembwe? Nenda Mbeya harafu uje ufute ujinga wako.

Mwisho Kwa maelezo zaidi soma hapa👇👇
Njia nne zinajengwa sehemu gani,hebu tuoneshe sehemu ambayo ujenzi umeanza.
Uchawa na ushoga ni ndugu.
 
Wewe Jamaa ni mzima kichwani? Kwa hiyo hapo Mbeya Barabara haijengwi? Au uko Tandahimba harafu unazungumzia mambo ya Mbeya?

Sugu wa wapi? Baada ya Tulia kuwa Naibu Spika ndio kikaanza kujengwa Ili kuwa sehemu ya kampeni 2020.

Sasa Uyole na Igawilo Kuna umbali gani? Igawilo Kwa Sasa ni Hospital ya Jiji sio Kituo Cha Afya tena.

Standi ya Mkoa ujenzi utaanza soon hapo Mafiati Kwa Sasa mkandarasi ndio anatafutwa.Sio tuu Standi Bali na soko la Matola.

Niletee hapa maelezo yanayoonesha signing ceremony ya mradi wa chanzo Cha kiwara Sugu akiwepo.

Shule hizo usiseme ni Kila mtaa mambo ni 🔥🔥

Narudia kukuuza unaishi Mbeya ipi Hadi unauliza maswali ya kijinga eti Njia njia 4 hazijengwi sijui Kusini.kwa mbwembwe? Nenda Mbeya harafu uje ufute ujinga wako.

Mwisho Kwa maelezo zaidi soma hapa👇👇
Kweli ujinga na uchawa ni mzigo mkubwa .

Haya mimi nipo RRM SAE hapa. wapi kuna jengwa barabara nne?!

kule kwenu Ifisi wameanza kujaza mawe pembeni mwa bara bara karibu miezi kadhaa ina pita.. .
Mjinga wewe, Kutengeneza njia nne za barabara ni continuous process.. yani ilitakiwa hapo pawe pamechafuka, magari yana pishana
Wewe Fala ndiyo haupo Mbeya.. Umeambiwa kuna barabara Nne.. uka amini.

MBEYA NI KIJIJI KIKUBWA.
VUMBI NA MATOPE VINA PISHANA
NA MBUNGE WAO NI SPIKA 😂😂
 
Acha wivu wa kitoto na kijinga.

Spika Tulia ana vitu elfu vya kujivunia hapo Mbeya.

Tulia ana mambo yafuatayo hapo Mbeya
-Barabara njia 4
-Mahospital Jiji zika ikiwemo Rufaa
-Barabara za mitaa chini ya Tactic
-Standi kuu ya Mkoa kuanza kujengwa baadae mwaka huu
Mashule na Vituo vya Afya,zahanati Kila mtaa nk
-Mradi wa Maji chanzo Cha Mto kiwaira ujenzi unaendelea kuja jijini Mbeya
-Amepigania kiasi kwamba Ujenzi wa Chuo Cha Udsm unaanza

Wewe ungesema tuambie Sugu ana lipi la kujivunia miaka 15?

Hakika kwa akili hiyo sijui kama maendeleo yatapatikana.
Huyo Tulia kafanya yote hayo kwa pesa ya nani?
Waeleze kwanza chanzo cha Mapato yake ndio uje ueleze hayo uliyomsifia.
 
Tumeona ziara ya Comrade Makonda MNEC na mwenezi wa CCM Taifa maeneo mengi ya nchi.

Hata tuliokuwa tuna muona Makonda kama muhalifu (mwenye kudhulumu haki ya kuishi) sasa tuna muona shujaa.

Ukiachana na kuwa watu wengi wana angalia vi clip ambapo vinaonesha jinsi anavyo tatua migogoro kwa ufanisi papo kwa papo, lakini ukifuatilia mikutano yake uta baini ajenda zake hizi pia.

1.Na yeye ni chawa wa mama, ana jitafutia nafasi ya juu zaidi. Anajikomba komba. Ila anawasema wenzake.

2. Ana jijenga yeye, muda wote ana jisifia yeye.. Kauli zake ni kama Makonda kaletwa na Mungu. bila makonda msingejua haya, walifanya makosa kunipa Uenezi, Watu wana taka kuniua, Watumishi wazembe wakisikia Makonda wana tetemeka.
Jamaa ni so grandiose

3. Anacheza ngoma ya wapinzani, kuwavuta kwenye mijadala yake, hasa Tundu Lisu. nawapongeza walivyo mpuuza. Muda mwingi ana tumia kuwapiga Vijembe.

4. Makonda ni yule yule, mwenye uadui na visasi. Mara zote analaumu kuwa ilikuwa ale shavu muda mrefu, ila kila jina lake likipelekwa kwa mama kuna watu wana fungua kesi kuwa eti kadhulumu nyumba (nadhani anamsema boss wa Yanga). "Nmekaa miaka mitatu nje ya mfumo, walikuwa na nafasi ya kunimaliza, sasa hawaniwezi"

TURUDI KWENYE MFUPA MGUMU JIJINI MBEYA
Kulikuwa na mambo kadhaa


Kwa sasa Jijini Mbeya kuna malalamiko ya kificho na bayana kuhusu utendaji Mbovu wa dada Spika. Miaka yake hana cha kujivunia zaidi ya matamasha na jogging.

Kwa kipindi chake cha miaka minne sijui ana jivunia nini, mi natamani nije nimsikilize. anasemaje?

Mitaani hata wale chawa wake maarufu wame ishiwa hoja. wana shindwa kumpamba tena.

Jiji la Mbeya lina asili ya kuongozwa na wapinzani kwa miaka mingi. huenda hii ilipelekea kutopewa kipaumbele. Daladala za kule zilikuwa zina itwa Mzunguko kwa maana ikianza stand kuu ni kuzunguka tu mpka igawilo, hakuna barabara za rami za mitaani tofauti na hizo barabara kuu (Moja ya kwenda dar, nyingine Malawi)

Alipoingia Sugu nadhani alikutana na Upepo wa Bank ya Dunia kujenga barabara za mitaani. kilometers nyingi Zika tandazwa akajipatia sifa.

Wakati wa shujaa mwenda zake, jiji likatengwa likawa ukiwa, hakukuwa na miradi mikubwa.. na mwenda zake akiwa uyole mahali ambapo alizomewa na kulazimishwa kuimba "mabadilikooo Lowasaaaa...." kipindi cha kampeni.

Sasa kawa Rais akawachana "Mlikosea na mnajua mlipo kosea, Mwaka 2020 msifanye tena makosa" Kwa hiyo hata kampeni za dada zika jikita hapo, Mbeya jini hamna Connection ndiyo maana hampewi maendeleo ikawa ni kuwa atakapo chaguliwa jiji lita pendeza tena, zita jengwa barabara nne (Hii ni plan ya kitambo sana, ila kwa kuwa wabongo wengi tuna utapia mlo wa kufikiri tuna ona kama ni kweli dada spika anaweza akajenga barabara nne kwa amri yake), pia waka aminisha watu kuwa mitaani barabara zitajengwa. Jiji litakuwa Evergreen

Intelligence ya CCM nadhani walijua kuwa Mbeya pagumu, Alipo fika makonda akabadilisha mtindo badala ya kusoma mabango, eti yeye ndiyo akawa ana msismamisha mtu na kuanza kumnaga.. akaamua kumtoa kafara meneja wa TARURA Mkoa.. ajieleze kwa nini barabara hazijengwi. " HILO SWALI ALIPASWA KUULIZWA MBUNGE, kwa sababu ndiye aliye ahidi.

Pamoja na promo kuubwa walio ifanya, bado hakukuwa na watu wengi. Wapinzani wakija kufanya maandamano yao pale wata pata watu wengi zaidi.

Amepita Mbeya bila kutatatua wala kuelezea Mambo magumu.. alikuwa na cheap Politics.

Ni Wakat wa CCM mbeya kuji tafakari na kuchukua Hatua kama wana nia ya kuendelea kuliongoza. Kama Sugu atakuwa makini na uchaguzi ukawa siyo uchafuzi, Jimbo lipo wazi.

Mbeya ni mfupa Mgumu.
Countering ziara za makonda ni rahisi sana kwani waliyoyasababisha shida hizo ni nani na wako wapi
 
Mbeya mbunge wa pale mjini ni Tulia ackson Spika wa bunge , mkurugenzi wa jiji ni John Nchimbi mdogowake Dr. Emmanuel Nchimbi katibu mkuu wa CCM kaka yake wa kuzaliwa toka nitoke unategemea aongee nini? Siasa siasani.
 
Back
Top Bottom