Miezi mitatu nikiwa Jiji la Mbeya. CHADEMA na Sugu wasahau ubunge

Mwananchi wa chini

JF-Expert Member
Jul 23, 2013
227
597
Ndugu Zanguni leo ndio nimehitimisha majukumu yangu ya mradi unaohusisha mambo ya Jamii kupitia shirika lisilo la kiserikali la WORLD VISION. Pamoja na mengine nimekuwa nikikaa kwenye vijiwe, kukutana na wakazi wa Mbeya mjini na viongozi wa vyama vya siasa na viongozi wa dini na waumini wao.

Kwa kweli kwa sasa CHADEMA hawana umoja wala muunganiko wa kisiasa mfano hadi sasa kuna mgogoro mkubwa wa mwenyekiti wa CHADEMA wa jimbo la Mbeya mjini na mwenyekiti wa mkoa wa Mbeya kamanda China wa China ambao hawaivi hata kidogo ambapo mwenyekiti ametangaza kumuondoa Mwenyekiti wa jimbo.

Kuhusu SUGU amepoteza mvuto katika jiji la Mbeya ambapo wakazi wengi wa mbeya (wanyakyusa) hawana muda naye tena ambapo wamefurahishwa na kumpata Binti yao Spika wa Bunge Hivo wamesema hawana muda na mpinzani tena.
 
Wewe CCM weka tume huru ya uchaguzi ndiyo uandike huu ujinga wako hapa
Ndugu Zanguni leo ndio nimehitimisha majukumu yangu ya mradi unaohusisha mambo ya Jamii kupitia shirika lisilo la kiserikali la WORLD VISION. Pamoja na mengine nimekuwa nikikaa kwenye vijiwe, kukutana na wakazi wa Mbeya mjini na viongozi wa vyama vya siasa na viongozi wa dini na waumini wao.
 
Sugu aliposhinda tume ilikuwa huru?Mkishinda hatusikii hoja ya tume huru mkigaragazwa tume haikuwa huru.
 
Ndugu Zanguni leo ndio nimehitimisha majukumu yangu ya mradi unaohusisha mambo ya Jamii kupitia shirika lisilo la kiserikali la WORLD VISION. Pamoja na mengine nimekuwa nikikaa kwenye vijiwe, kukutana na wakazi wa Mbeya mjini na viongozi wa vyama vya siasa na viongozi wa dini na waumini wao.

Kwa kweli kwa sasa CHADEMA hawana umoja wala muunganiko wa kisiasa mfano hadi sasa kuna mgogoro mkubwa wa mwenyekiti wa CHADEMA wa jimbo la Mbeya mjini na mwenyekiti wa mkoa wa Mbeya kamanda China wa China ambao hawaivi hata kidogo ambapo mwenyekiti ametangaza kumuondoa Mwenyekiti wa jimbo.

Kuhusu SUGU amepoteza mvuto katika jiji la Mbeya ambapo wakazi wengi wa mbeya (wanyakyusa) hawana muda naye tena ambapo wamefurahishwa na kumpata Binti yao Spika wa Bunge Hivo wamesema hawana muda na mpinzani tena.
Jambo moja umesahau ama umefanya makusudi ni ukweli kuwa Mbeya mjini wakazi wake sio Wanyakyusa, lile ni eneo la Wasafa na Wanyakyusa wamefanya kukarinishwa tu. Huko Tukuyu na Kyela ndiko kwa Wanyakyusa. Kuhusu mgogoro hilo ni jambo la muda tu. Je ulifanikiwa kupima imani ya wananchi wa Mbeya kwa CDM?
 
Ndugu Zanguni leo ndio nimehitimisha majukumu yangu ya mradi unaohusisha mambo ya Jamii kupitia shirika lisilo la kiserikali la WORLD VISION. Pamoja na mengine nimekuwa nikikaa kwenye vijiwe, kukutana na wakazi wa Mbeya mjini na viongozi wa vyama vya siasa na viongozi wa dini na waumini wao.

Kwa kweli kwa sasa CHADEMA hawana umoja wala muunganiko wa kisiasa mfano hadi sasa kuna mgogoro mkubwa wa mwenyekiti wa CHADEMA wa jimbo la Mbeya mjini na mwenyekiti wa mkoa wa Mbeya kamanda China wa China ambao hawaivi hata kidogo ambapo mwenyekiti ametangaza kumuondoa Mwenyekiti wa jimbo.

Kuhusu SUGU amepoteza mvuto katika jiji la Mbeya ambapo wakazi wengi wa mbeya (wanyakyusa) hawana muda naye tena ambapo wamefurahishwa na kumpata Binti yao Spika wa Bunge Hivo wamesema hawana muda na mpinzani tena.
Ndio maana Sugu kaamua kurudi kwenye mziki,hili lipo wazi
 
Aisee,Mbeya hali kumbe ni mbaya sana kwa muwekezaji Joseph Mbili a.k.a Sugu.Duh!
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Ndugu Zanguni leo ndio nimehitimisha majukumu yangu ya mradi unaohusisha mambo ya Jamii kupitia shirika lisilo la kiserikali la WORLD VISION. Pamoja na mengine nimekuwa nikikaa kwenye vijiwe, kukutana na wakazi wa Mbeya mjini na viongozi wa vyama vya siasa na viongozi wa dini na waumini wao.

Kwa kweli kwa sasa CHADEMA hawana umoja wala muunganiko wa kisiasa mfano hadi sasa kuna mgogoro mkubwa wa mwenyekiti wa CHADEMA wa jimbo la Mbeya mjini na mwenyekiti wa mkoa wa Mbeya kamanda China wa China ambao hawaivi hata kidogo ambapo mwenyekiti ametangaza kumuondoa Mwenyekiti wa jimbo.

Kuhusu SUGU amepoteza mvuto katika jiji la Mbeya ambapo wakazi wengi wa mbeya (wanyakyusa) hawana muda naye tena ambapo wamefurahishwa na kumpata Binti yao Spika wa Bunge Hivo wamesema hawana muda na mpinzani tena.
World Vision zamani walikuwa wanaajiri watu smart sana au wewe ni muosha vyombo?
 
hiyo takataka ambayo imeshindwa kushawishi ikiwa naibu spika angalau Mbeya ipate barabara dual carriageway,huyo kibibi akisimama hata na diwani wangu hapa Iyela hawezi kupata kura elfu kumi.
 
Ndugu Zanguni leo ndio nimehitimisha majukumu yangu ya mradi unaohusisha mambo ya Jamii kupitia shirika lisilo la kiserikali la WORLD VISION. Pamoja na mengine nimekuwa nikikaa kwenye vijiwe, kukutana na wakazi wa Mbeya mjini na viongozi wa vyama vya siasa na viongozi wa dini na waumini wao.

Kwa kweli kwa sasa CHADEMA hawana umoja wala muunganiko wa kisiasa mfano hadi sasa kuna mgogoro mkubwa wa mwenyekiti wa CHADEMA wa jimbo la Mbeya mjini na mwenyekiti wa mkoa wa Mbeya kamanda China wa China ambao hawaivi hata kidogo ambapo mwenyekiti ametangaza kumuondoa Mwenyekiti wa jimbo.

Kuhusu SUGU amepoteza mvuto katika jiji la Mbeya ambapo wakazi wengi wa mbeya (wanyakyusa) hawana muda naye tena ambapo wamefurahishwa na kumpata Binti yao Spika wa Bunge Hivo wamesema hawana muda na mpinzani tena.
Hongera mwananchi wa juu, ila Sasa ninaombi Moja kwako na kwenu, uwanja wa siasa uwe huru, na je utafiti wako uliweza kubaini siasa zisizo na usawa, na je uliweza kubaini kama huo mgogoro SI wa kutengenezwa kama ule wa COVID-19 na je utafiti wako ni huru na hauna mrengo unaoegemea, yangu ni hayo tu ndugu raia matawi🤔.
 
Ndugu Zanguni leo ndio nimehitimisha majukumu yangu ya mradi unaohusisha mambo ya Jamii kupitia shirika lisilo la kiserikali la WORLD VISION. Pamoja na mengine nimekuwa nikikaa kwenye vijiwe, kukutana na wakazi wa Mbeya mjini na viongozi wa vyama vya siasa na viongozi wa dini na waumini wao.

Kwa kweli kwa sasa CHADEMA hawana umoja wala muunganiko wa kisiasa mfano hadi sasa kuna mgogoro mkubwa wa mwenyekiti wa CHADEMA wa jimbo la Mbeya mjini na mwenyekiti wa mkoa wa Mbeya kamanda China wa China ambao hawaivi hata kidogo ambapo mwenyekiti ametangaza kumuondoa Mwenyekiti wa jimbo.

Kuhusu SUGU amepoteza mvuto katika jiji la Mbeya ambapo wakazi wengi wa mbeya (wanyakyusa) hawana muda naye tena ambapo wamefurahishwa na kumpata Binti yao Spika wa Bunge Hivo wamesema hawana muda na mpinzani tena.
Mpumbavu sana wewe
 
Kwa kweli kwa sasa CHADEMA hawana umoja wala muunganiko wa kisiasa mfano hadi sasa kuna mgogoro mkubwa wa mwenyekiti wa CHADEMA wa jimbo la Mbeya mjini na mwenyekiti wa mkoa wa Mbeya kamanda China wa China ambao hawaivi hata kidogo ambapo mwenyekiti ametangaza kumuondoa Mwenyekiti wa jimbo.
ndicho walichokutuma ukafanye hao WV?
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom