MWANDENDEULE
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 3,885
- 6,631
Hata sijui unafanyaje kazi lakini tulikuwa tunatumia hii njia kuzuia maua ya miembe kuanguka na kweli rate ya kuanguka ilikuwa inapungu kwa kiasi kikubwa sana. Ni ubani ule wa unaokuwa kama umesagwa au twangwa twangwa hiviongeza nyama kidogo, huo moshi unafanya nni