Microfinance matapeli

westandtogether

Senior Member
Jul 8, 2020
153
229
Habari wanajf?

Kama kichwa kinavyosomeka hapo juu,

Kuna kikampuni fulan jina ***** microfinance kinajihusisha na kutoa mikopo midogo mtaani Tena kwa dhamana ya vitu vya ndani kama vifaa vya electronics simu, Tv, Pc nk.

Hivi karibuni nilienda kuazima pesa kama laki 2 wakasema wanatoa riba ya elfu 35k kwa Kila laki kwahiyo ( 270000/=) nilipe kwa wiki mbili(2) na siku 7 za notsi,

Basi nikatoa asset kama dhamani yenye thamani mara nne ya hiyo pesa yao basi baada ya wiki mbili nikaplan nilipe kabla ya wiki2 hazijatimia ili nijikomboe ambapo ningelipa jumatatu maana ilikuwa wikiendi, Sasa kwenye hii wikiendi kabla ya jumatatu nikawa nimeibiwa pesa na simu hivyo likawa janga kubwa Sana na Hapo hapo nimeanz kazi Ofisi fulani, nikaoni nipige kuwajulisha kama wanisogezee deni na kuongeza riba ikiwezekana nilipe mwisho wa mwezi basi nikawajulisha kupitia simu hivyo ombi langu likapita wakanipa na kiasi kingine cha riba juu, nikaona afadhali

Ila kumbuka mawasiliano Sina maana simu iliibiwa so nikawa nachomeka line kwa rafika tu, baada ya siku 2 tangu niwajulishe nikapata simu ya kutumia , kesho yake jamaa kutoka kwenye ile microfinance ananipigia kunaambia dhamana yangu wameuza hivyo nisijisumbue kuendelea kudai au kufatilia, Anyway nilifadhaishwa Sasa nipo hapa nafikilia nifanyeje Hawa jamaa wamenichukulia Mali yang ya dhamana kuliko pesa yao, wadau?
 
Habari wanajf?

Kama kichwa kinavyosomeka hapo juu,

Duuuh noma.!

Hii inafanana na story ya wakopeshaji flani walikua Arusha miaka ya nyuma, unakopa pesa kwa kuweka dhamana kadi ya gari.! Nasikia ulikua ukichukua mkopo tu utapata majanga mengi mengi hadi jamaa wanajimilikisha gari lako kwa kushindwa kurejesha mkopo wao.!
 
wa kuongeza riba na muda hauna maana unasema mliwasiliana kwa simu. hivyo waliuza kwa sababu hyo
Mkataba nilionao ni wa awali tu ambao tulikubalian wiki 2 plus 7days za notisi so jamaa alikuw na tamaa ya ile machine akauza without any notice na kwakw niliomba nilipe mwisho wa mwezi na wakanikadilia riba
 
Duuuh noma.!

Hii inafanana na story ya wakopeshaji flani walikua Arusha miaka ya nyuma, unakopa pesa kwa kuweka dhamana kadi ya gari.! Nasikia ulikua ukichukua mkopo tu utapata majanga mengi mengi hadi jamaa wanajimilikisha gari lako kwa kushindwa kurejesha mkopo wao.!
Eeh! Na Hawa ni waarusha hvo na wamechukua mali za watu Sana km magar, Haya nimeyapat baad ya kuwachimbua
 
Habari wanajf?

Kama kichwa kinavyosomeka hapo juu,

Kuna kikampuni fulan jina ***** microfinance kinajihusisha na kutoa mikopo midogo mtaani Tena kwa dhamana ya vitu vya ndani kama vifaa vya electronics simu, Tv, Pc nk.

Hivi karibuni nilienda kuazima pesa kama laki 2 wakasema wanatoa riba ya elfu 35k kwa Kila laki kwahiyo ( 270000/=) nilipe kwa wiki mbili(2) na siku 7 za notsi,

Basi nikatoa asset kama dhamani yenye thamani mara nne ya hiyo pesa yao basi baada ya wiki mbili nikaplan nilipe kabla ya wiki2 hazijatimia ili nijikomboe ambapo ningelipa jumatatu maana ilikuwa wikiendi, Sasa kwenye hii wikiendi kabla ya jumatatu nikawa nimeibiwa pesa na simu hivyo likawa janga kubwa Sana na Hapo hapo nimeanz kazi Ofisi fulani, nikaoni nipige kuwajulisha kama wanisogezee deni na kuongeza riba ikiwezekana nilipe mwisho wa mwezi basi nikawajulisha kupitia simu hivyo ombi langu likapita wakanipa na kiasi kingine cha riba juu, nikaona afadhali

Ila kumbuka mawasiliano Sina maana simu iliibiwa so nikawa nachomeka line kwa rafika tu, baada ya siku 2 tangu niwajulishe nikapata simu ya kutumia , kesho yake jamaa kutoka kwenye ile microfinance ananipigia kunaambia dhamana yangu wameuza hivyo nisijisumbue kuendelea kudai au kufatilia, Anyway nilifadhaishwa Sasa nipo hapa nafikilia nifanyeje Hawa jamaa wamenichukulia Mali yang ya dhamana kuliko pesa yao, wadau?
Yani ukope 200k ulipe 270k hiyo ni akili kweli?..

Dahh
 
Back
Top Bottom