Michirizi ya Damu

Michirizi ya Damu

SEHEMU YA 64

Fareed alikuwa safari akielekea nchini Kuwait, tayari aliwasiliana na bilionea Sadiq Rahman kutoka nchini humo ambaye alikuwa akimuhitaji kimapenzi kuliko kitu chochote kile. Moyo wake ulikuwa na furaha na muda wote alikuwa akimshukuru Asteria kwani yeye ndiye alikuwa mchakarikaji katika kuwatafutia mabwana waliokuwa na pesa katika nchi za Kiarabu.

Njiani, huku akiwa ndani ya ndege moyo wake ulikuwa na hofu tele, hakujua nu kitu gani ambacho kingetokea huko. Hakutaka kuona Keith akigundua kwamba alikuwa hai, alitaka mwanaume huyo ajue kwamba alikuwa amekufa mpaka siku ambayoo angeamua kumuua kama kulipa kisasi.

Akiwa ndani ya ndege, akachukua Gazeti la The Mirror na kuanza kulisoma. Humo ndania akakutana na habari iliyomshtua ambayo ilimuhusu bilionea Keith ambaye alikuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi na msichana wa Kinigeria aliyeitwa Maria.

Moyo wake ulimuuma sana, wivu ukamkamata, japokuwa alifanyiwa mambo mengi mabaya na mwanaume huyo lakini bado sehemu ya moyo wake ulikuwa ukimpenda. Akakunja sura yake na kuliweka pembeni gazeti lile.

Safari ilikuwa ndefu lakini walifika salama ambapo akateremka na nje akakutana na mwanaume mmoja aliyekuwa na boksi kubwa kiasi lililoandikwa jina lake alilokuwa akijulikana sana kipindi hicho, Farida.

Akamsogelea mwanaume huyo na kisha kumsalimia. Kwa kuwangalia, ilikuwa vigumu kugundua kwamba mtu huyo alikuwa mwanaume, alijipamba, alijiwekea wigi kichwani, alivalia gauni huku midomo yake ikiwa imepakwa shedo iliyokolea na nyusi alizinyoa kisha kupaka wanja.
Alivutia, kwa nyuma, alikuwa na mzigo wa maana, kifua kilituna, alikuwa na muonekano wa kike kwa asilimia mia moja na kila mwanaume aliyemwangalia, alimtamani.

Akachukuliwa na mwanaume huyo na kuelekea ndani ya gari na kuanza safari ya kuelekea katika jumba alilotakiwa kulala kwa siku hiyo. Njiani, macho yake yalikuwa yakiangalia huku na kule, moyo wake ulichanganyikiwa kwa furaha, haikuwa mara yake ya kwanza kufika nchini humo ila kilichomfanya kuwa na furaha ni kwamba alirudi kwenye chati baada ya kupotea.
Duu!! Bado hajakoma tu huyo Fareed...


Cc: mahondaw
 
SEHEMU YA 88

Fareed akaondoka mahali hapo huku moyoni mwake akiwa na amani kubwa. Majuto yote yakatoka moyoni mwake, alijiona kuwa mtu mpya, tamaa za kuwataka wanaume zilipotea ghafla kiasi kwamba yeye mwenyewe alishangaa.

Alilala hotelini huku akisubiri siku ya kesho ambayo ilikuwa ni lazima aelekee huko kwa ajili ya kupakwa mafuta ya baraka kama alivyoambiwa.

Kesho yake ilipofika, akaondoka hotelini na kwenda kanisani humo. Padri akamwambia amfuate katika chumba kile cha kuungamia dhambi alipokuwa akikaa ambapo ndipo kulipokuwa na mafuta hayo.

Fareed hakutaka kujali, akatoka katika kiti kile alichokalia jana na kwenda katika chumba kile. Hakikuwa na mwanga mkali, kulikuwa na mwanga hafifu, mbele yake alimuona padri akiwa amesimama huku akimsubiri, alipomkaribia akaambiwa apige magoti na kufumba macho.

Alipofanya hivyo, padri akamsogelea na kuanza kumshika shingoni. Ushikaji wake haukuwa wa kawaida hata kidogo, ulikuwa ni ushikaji wa kimahaba ambayo uliyawehua pepo la ngono alilokuwa nalo Fareed, hapohapo akaanza kusisimka.
Padri hakuacha, aliendelea kumshika shingoni tena kwa ustadi mkubwa.

Fareed aliendelea kusisimka, hisia alizokuwa akizisikia zilikuwa ni za ajabu sana, mwili ukaanza kumlegea, padri hakuacha, ndiyo kwanza akaendelea kushuka chini na kuanza kumvua mkanda wa suruali.
“Padriiiiiiiiiiii…” aliita Fareed huku akiwa hoi.

“Bebi! Unanukia vizuriiiii…” alisema padri huku akionekana kuchanganyikiwa kwani hata pumzi zake hazikuwa za kawaida.
Ndani ya dakika kadhaa tu, Fareed akajishtukia akiwa mtupu, alitaharuki, akaanza kumtoa padri lakini hakutoka kabisa, alipotaka kupiga kelele, alizibwa mdomo kwa kiganja cha padri huyo.

Hiyo ilikuwa ni mara ya pili kubakwa, moyo ulimuuma sana, hakutegemewa kubakwa na padri huyo ambaye kwake alionekana kuwa mtumishi wa Mungu mpaka kufika kwake na kuanza kuungama.

Padri Luke alichukua dakika ishirini kumbaka na alipomaliza, akamchukua na kumpitisha mlango wa nyuma huku Fareed akiwa hoi, hata kusogeza viungo vyake alishindwa.
Duu!! Inasikitisha sana...

Dhambi zake zimemvutia mtumishi wa Mungu... hatimae mtumishi kaona liwale na liwe... hadi Padri...


Cc: mahondaw
 
SEHEMU YA 104

Wakafanikiwa kuona kila kitu, tangu alipoingia na mwanaume huyo lakini kilichowashangaza ni kwamba wakati wa kuondoka, aliondoka na mwanaume mwingine, walitamani kumfahamu lakini walishindwa kwa kuwa alivalia kofia kubwa ya Marlboro.

“Ni nani huyu?” aliuliza polisi mmoja.
“Hatujui!”
“Kitu cha kwanza ni kumtafuta huyu mwanamke tutajua tu!” alisema polisi mmoja.

Hakukuwa na muda wa kupoteza, wakaanza kumtafuta katika hoteli mbalimbali. Walijua kwamba kama hilo lilikuwa jina lake basi ni lazima angekuwa ameliandikisha katika hoteli aliyokuwa amefikia hapo Cairo.

Baada ya saa kadhaa, wakagundua kwamba mwanamke huyo alikuwa katika hoteli moja hapo Cairo, wakaanza kufuatilia huko kutaka kujua kama alikuwepo. Walipofika, wakaelekea mpaka mapokezini ambapo wakaulizia na kuambiwa kwamba alikuwepo ndani na mwanaume mwingine hivyo kwenda huko.

“Cha kwanza ni kuwakamata wote wawili, ikishindikana basi tuwapigeni risasi,” alisema polisi mmoja kwani kwa kile kilichotokea, kilikuwa aibu kubwa.

**** Wote walichoka hoi, Fareed alimwangalia Maria, hakummaliza. Hakuwahi kukutana na mwanamke kimwili, huyo ndiye alikuwa mwanamke wake wa kwanza. Alijisikia kuwa na nguvu kubwa, alijua kucheza na mwanamke, alijua maeneo ambayo yangemtetemesha mwanamke yeyote yule.

Maeneo hayohayo ndiyo aliyoshughulika nayo, alifanikiwa kwa kiasi kikubwa, Maria alipagawa, alikuwa hoi huku akidiriki kusema kwamba kwa kile alichokuwa amekifanya Fareed, hakuwa amefanyiwa na mwanaume yeyote yule.

Fareed akasimama na kwenda kuoga, bafuni, alikuwa na wasiwasi, alihisi kabisa kwamba inawezekana polisi wangefika katika hoteli hiyo kwani alipokuwa ameingia ndani ya hoteli ile, kamera zilimuona na kumgundua kwamba alikuwa nani.

Alifikiria kutoroka siku hiyohiyo, hakutaka kulala mahali hapo, ili maisha yake yaendelee kuwa salama na akamilishe kazi zake zote ilikuwa ni lazima kutoroka hapo hotelini haraka iwezekanavyo kabla mambo hayajaharibika.

Alioga harakaharaka, alipomaliza, akatoka na kuelekea kitandani. Akamshika kiuno Maria na kuanza kukipapasa, hakuishia hapo, akaupeleka mdomo wake katika kiuno kile na kuanza kukifanyia utundu.
Fareed alikua ni sh.oga mzoefu aliyekubuhu... kwa yote aliyopitia maana yake alikua ha.nithi na aliharibika sana na mpaka kujibadilisha kua mwanamke kamili...

Ingawa alijitahidi kujirudishia uanaume wake lakini sidhani kama nguvu za kiume zinaweza kurudi tena na hatimae ku-S.ex na mwanamke...

Labda kama walifanya romance peke yake...


Cc: mahondaw
 
Fareed alikua ni sh.oga mzoefu aliyekubuhu... kwa yote aliyopitia maana yake alikua ha.nithi na aliharibika sana na mpaka kujibadilisha kua mwanamke kamili...

Ingawa alijitahidi kujirudishia uanaume wake lakini sidhani kama nguvu za kiume zinaweza kurudi tena na hatimae ku-S.ex na mwanamke...

Labda kama walifanya romance peke yake...


Cc: mahondaw
Kapata tiba ya kudungwa sindano.....TUAMINI HIVYO TAFADHARI ILI Shunie ASIGHAIRI KUENDELEA
 
Back
Top Bottom