Fareed alikua ni sh.oga mzoefu aliyekubuhu... kwa yote aliyopitia maana yake alikua ha.nithi na aliharibika sana na mpaka kujibadilisha kua mwanamke kamili...
Ingawa alijitahidi kujirudishia uanaume wake lakini sidhani kama nguvu za kiume zinaweza kurudi tena na hatimae ku-S.ex na mwanamke...
Labda kama walifanya romance peke yake...
Cc: mahondaw
Kapata tiba ya kudungwa sindano.....TUAMINI HIVYO TAFADHARI ILI Shunie ASIGHAIRI KUENDELEA






akili zangu nazijua mwenyewe naweza kweli kughairiHahahaKaka ako yuko apiii mbona haonekani lazima utakuwa umeagwa
KhaaaaHahhaha yaani inabidi tu niingilie kumwombea msamaha
HahahaHahaha labda unavyosema uko na sura ya baba na roho ya baba ako![]()
Hivi mama kule insta umenifollow huna pichahahahaa naona umekuwa mfatiliaji mzuri sana hadi raha,pongezi kwake

nimekuweka kwenye foleni tu ukunda kunishunguia imi tu iwe ukunda kushunguiwa ebu niache kwanza 

kama huelewi nenda Google au mwambie sakayo akutafsirieHivi mama kule insta umenifollow huna pichanimekuweka kwenye foleni tu ukunda kunishunguia imi tu iwe ukunda kushunguiwa ebu niache kwanza
kama huelewi nenda Google au mwambie sakayo akutafsirie

KhaaaaShikamoo dada