Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Kweli kabisaaa!La moyoni hili dada
Toka nianze kumuita shemeji hajawahi itika!
Kweli kabisaaa!La moyoni hili dada
Sijawahi kujuaEeenh kwa nini lakini haitiki
Hahah!! Eti akili zangu.... nilifikisha bhnJamani asante sana mchumba kumbe kweli ulipost mana akili zako huwa nazijua mwenyewe
Jamani sakayo...Kweli kabisaaa!
Toka nianze kumuita shemeji hajawahi itika!
Gud axeeSEHEMU YA 63
Alimfanyia utundu mithili ya mwanamke aliyetoka kuchezwa siku za karibuni, alijua kummiliki mwanaume, alimfanyia mambo mengi ambayo mengine mzee huyo hakuwahi kufanyiwa, alibaki akistaajabu kwamba msichana kama Maria aliwezaje kumfanyia mambo yote hayo.
“How did you know all these things?” (umejuaje mambo yote haya?) aliuliza Keith huku akiwa amelala pembeni mtupu, kijasho kilikuwa kikitoka, kwa shughuli aliyokuwa ameonyeshewa, hata kuendelea alishindwa.
“I was taught to take care of men like you!” (nilifundishwa kuwashughulikia wanaume kama wewe) alisema Maria.
“Ooh! Maria, I will never leave you, just be with me forever,” (Ooh! Maria, sitokuacha kamwe, naomba uwe nami milele yote) alisema Keith.
“No problem! Give me some more sweetie,” (hakuna tatizo! Naomba tena mpenzi) alisema Maria, wakati akiyazungumza hayo tayari alikuwa juu ya Keith na kumkalia, akaanza kumminyaminya mwili wake.
“I can’t! You will kill me,” (siwezi! Utaniua) alisema mzee huyo.
“You rather die. Give me some more,” (Bora ufe. Naomba tena) alisema Maria, kilichofuata ni kushika maiki na kuanza kuimba.
Hiyo ndiyo ilikuwa njia sahihi ya kumteka mzee huyo, kwa kufanya hivyo, alizidi kupendwa, alipewa kiasi kikubwa cha fedha kilichomchanganya kupita kawaida, hakutaka kuona akimuacha mwanaume huyo, kwake, alikuwa kila kitu na alitaka kuhakikisha anazichuma pesa zake kadiri anavtyoweza.
Mzee wa watu alizidi kupagawa, alikuwa radhi kugombana na kila mtu lakini si Maria. Alimpenda kwa penzi la dhati na kila siku alikuwa akipewa mambo mapya kitandani ambayo yaliuchanganya moyo wake kupita kawaida.
Hakutaka kuwaambia marafiki zake kuhusu Maria, alijua fika kwamba kulikuwa na kugeukana, siri ya ujuzi wa Maria kitandani ukabaki moyoni mwake, aliendelea kulala naye na kufanyiwa vituko vya kimahaba kila siku.
“Nitampa kila kitu! Hakika ameniondoa ukungu katika mapenzi kitandani! Mwanamke anajua utadhani nini! Ni lazima nitangaze ndoa,” alisema Keith huku akionekana kumaanisha alichokuwa akikiongea.