Michepuko inafilisi

Michepuko inafilisi

Mida yote ni kupigwa mizinga tu;nikitafakari matumizi ya mwezi mmoja najikuta hakuna la maana nililofanya zaidi ya kukaa kati na kugaramia tu.Nikitazama mbele naona mwisho ni mbaya,kutimiza malengo binafsi inakuwa changamoto.....tuishi na michepuko kwa akili,ikiwezekana acha kabisa.
Uchumi wa katikati
 
Michepuko ya bongo cdhani km ni sawa na nchi zingine........

Ikikuona tu inasikia njaa, haina simu, gaujalipa kodi ya nyumba nk......yaani ni km laana vile
 
Mida yote ni kupigwa mizinga tu;nikitafakari matumizi ya mwezi mmoja najikuta hakuna la maana nililofanya zaidi ya kukaa kati na kugaramia tu.Nikitazama mbele naona mwisho ni mbaya,kutimiza malengo binafsi inakuwa changamoto.....tuishi na michepuko kwa akili,ikiwezekana acha kabisa.
Hili jambo huwa najiuliza sana
 
Ahahahahah.Dah hivyo ni vipaji vya watu mzee.Usiige.
Nb.
Mimi siwezi.
Tukulane tu ila tusileteane ujambazi.
 
Back
Top Bottom