Michepuko inafilisi

Michepuko inafilisi

Pole sana kwasababu umelitambua hilo anza upya utasimama tu
Mbaya zaidi bado kuwaambia nimerudi njia kuu,ninachokifanya sasa hivi ni kupunguza mawasiliano na kupangua appointment
 
Usithubutu kujifanya baba mzaz wa mtoto wa chuo watakuchuna mpaka ngozi wengi ni waigizaji tu anakuwa na wewe kwa malengo maalum akimalza chuo unabaki unalialia tu kama hivo
kuna mmoja ni mwanachuo fulan,ana chura matata leo anataka umpe fedha ya matumizi ya mwezi mzima,hujakaa sawa anataka laptop,hujageuka unaambiwa wazazi wangu wanataka matumizi....maji yamenifika shingoni inabidi nikimbie tu.
 
Back
Top Bottom