Michepuko inafilisi

Michepuko inafilisi

Mida yote ni kupigwa mizinga tu;nikitafakari matumizi ya mwezi mmoja najikuta hakuna la maana nililofanya zaidi ya kukaa kati na kugaramia tu.Nikitazama mbele naona mwisho ni mbaya,kutimiza malengo binafsi inakuwa changamoto.....tuishi na michepuko kwa akili,ikiwezekana acha kabisa.
Tumia cost benefit analysis. Kama unachokigharamia sasa kinakidhi matakwa yako just go on remember there is no free lunch always
 
Tumia cost benefit analysis. Kama unachokigharamia sasa kinakidhi matakwa yako just go on remember there is no free lunch always
Kuna mmoja nilikuwa na malengo ya kumfungulia biashara kama angekuwa mvumilivu lakini mizinga imezidi hadi imenikaba koo
 
Mchepuko ni wa kuspend tuu. Anajua we una mke ye ni wa burudan ila mwisho wa siku unarud kwa mkeo. Na yeye hapo hapo ndo anatumia nafas ya kukuchuna kwel kwel
 
kuna mmoja ni mwanachuo fulan,ana chura matata leo anataka umpe fedha ya matumizi ya mwezi mzima,hujakaa sawa anataka laptop,hujageuka unaambiwa wazazi wangu wanataka matumizi....maji yamenifika shingoni inabidi nikimbie tu.
kwanini msibaki njia kuu, utafikiri mmelazimishwa
 
Wanaume mnatakiwa mjue hata sisi wanawake tunahitaji kuwa na wapenzi wa peke yetu, unapokuja kwangu wewe kama mume wa mtu maana yake unanitreat kama ziada, mimi pia inaniuma kuona kuwa huyu mwanaume ninaye ila sio wangu...unadhani hilo gap naliziba vipi
Ha ha ha

Ila wanaume wana tamaa, hawaridhiki na K moja sijui kwanini?
 
Nifate mapenzi kwako nitayapata? Pale ni exchange tu maana hata wewe kilichokuleta kwangu sio mapenzi. Unapata unachohitaji na mimi napata nnachohitaji....deal closed. Siwezi kuwekeza kwenye mapenzi wakati siku yoyote unaweza kuamua kuniacha na kurudi kwa mkeo na mimi ukaniachia v.uzi tu.
 
Back
Top Bottom