KERO Michango Ofisi za Mtaa Taliani: Ni Sahihi?

KERO Michango Ofisi za Mtaa Taliani: Ni Sahihi?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Mimi ni mdau kutoka chanika Buyuni-Dar es salaam.

Sasa kuna utaratibu wa viongozi wanaohudumu ktk ofisi za serikali ya mtaa wa Taliani kata ya Buyuni kuwaomba michango(fedha) wananchi wanapoenda kutafuta huduma kwenye ofisi hizo kwamba wachangie ofisi.

Je ni utaratibu ambao ni sahihi..?
 
Back
Top Bottom