Mianaume ndo tulivyo......hovyoooo!

Mianaume ndo tulivyo......hovyoooo!

Kwa kifupi sister mimi nimekataa yote hayo juu na siwezi yafanya kwa mpenzi wangu.
Wakati sikuwa online mwenzangu aliniomba niende kumsaidia kusafisha geto ndo kazi kubwa niliyo kuwa naifanya huku kwa Mtogole mvua ikinyesha tu maji yanajaa ndani so nilikuwa namsaidia mwenzangu kuweka sawa pa kulala.


Fidel tatizo wewe na wapenzi na wapendwa nilotaja hapo juu.... Mpenzi Kaizer, ODM, RR, et al - hua mara nyingi saana mwashabikia vitu ambavo vyawaonesha mna tabia hizo hapo juu.... Najua for a fact kua yaweza ikawa sio kweli Mfano Darling Kaizer....lol.. BUT hio tabia leads to wanaume ambao ni wavulana in nature (as per say ya Boss) kuiga yale ambayo mnashabikia....

Sasa kwa hii post umetoa hapa, NAKUAMINI, BUT who would have thot Fidel aweza fanya hivo??
 
Ili upigane na hayo yote mwamini Yesu au mwamini Mungu au mwamini Allah utaweza na utayashinda majaribu.
Mi nimejiweka sana kwa Mungu ndo maana nimekuwa rijali na ananiepushia kash kash hizo kwa mwenzangu

Mkuu namwamini sana Mungu na naamini ni yeye anayenipigania katika kila ninalofanya
Ni yeye anayenipigania katika kila hatua ya maisha yangu
ni yeye aliyenipa familia yangu na ni yeye anayenipa nguvu ya kuifanya familia yangu iwe pale ilipo
na alikuwa na kusudi kubwa kuniumba mwanaume na kunifanya niwe na familia hii niliyo nayo
hilo ondoa wasi wasi huo kaka
 
Sasa wewe unakataa??? mimi hata niumwaje nakufa kijerumani na tai shingoni ni deke wifi yako aanze kunihisi vibaya na sasa anaelewa Cameroon anacho kitaka kwa wanaume aaaah hapana najikongoja mwenyewe bila msaada wowote.
Haaaa haaa that is my broda!!!
Mambo ya camerun tena,yala mbavu zangu mie,
Hujaumwa kuharisha siku mbili mfululizo ww,
Mbona utaomba uogeshwe lol!
Rejao keshakustukia,haaa haaaa!
 
Fidel tatizo wewe na wapenzi na wapendwa nilotaja hapo juu.... Mpenzi Kaizer, ODM, RR, et al - hua mara nyingi saana mwashabikia vitu ambavo vyawaonesha mna tabia hizo hapo juu.... Najua for a fact kua yaweza ikawa sio kweli Mfano Darling Kaizer....lol.. BUT hio tabia leads to wanaume ambao ni wavulana in nature (as per say ya Boss) kuiga yale ambayo mnashabikia....

Sasa kwa hii post umetoa hapa, NAKUAMINI, BUT who would have thot Fidel aweza fanya hivo??

Huwa wanakuwa kwenye vijiwe vya kahawa si unajua story zake??
Kwa mwanaume mwenye akili timamu na rijali hawezi fanya hayo madudu.
 
Mkuu namwamini sana Mungu na naamini ni yeye anayenipigania katika kila ninalofanya
Ni yeye anayenipigania katika kila hatua ya maisha yangu
ni yeye aliyenipa familia yangu na ni yeye anayenipa nguvu ya kuifanya familia yangu iwe pale ilipo
na alikuwa na kusudi kubwa kuniumba mwanaume na kunifanya niwe na familia hii niliyo nayo
hilo ondoa wasi wasi huo kaka

Hujachelewa zidisha maombi ili usimkwaze mama watoto maana tayari unamapungufu umesha kili wazi wazi sasa kazi kwako kuyashughulikia ili mama Tuli ajiridhishe na mwenendo wa kila siku nyumbani.
 
Huwa wanakuwa kwenye vijiwe vya kahawa si unajua story zake??
Kwa mwanaume mwenye akili timamu na rijali hawezi fanya hayo madudu.



Fidel80 KARIBU Saaana Leo home upate Chai na Mzee.... (I am proud of you)
 
Hujachelewa zidisha maombi ili usimkwaze mama watoto maana tayari unamapungufu umesha kili wazi wazi sasa kazi kwako kuyashughulikia ili mama Tuli ajiridhishe na mwenendo wa kila siku nyumbani.

na yeye anafanya kazi kubwa sana kuhakikisha nakuwa mume bora
Sio kazi yangu mwenyewe anapoona kuna sehem naenda wrong ananirudisha kwenye mstari kuwa hapa sio fanya hili na hili
 
Fidel80 unavojaribu kukwepa mawe embu tuambie wanaume rijali wana alama gani................


Huwa wanakuwa kwenye vijiwe vya kahawa si unajua story zake??
Kwa mwanaume mwenye akili timamu na rijali hawezi fanya hayo madudu.
 
Haaaa haaa that is my broda!!!
Mambo ya camerun tena,yala mbavu zangu mie,
Hujaumwa kuharisha siku mbili mfululizo ww,
Mbona utaomba uogeshwe lol!
Rejao keshakustukia,haaa haaaa!

Ni mawazo yake mimi naeleza kilicho moyoni mwangu mm si deki maana nikideka dahh mwenzangu atanielewa vibaya hivyo basi nakomaa kuna siku mwenzangu alikugua gafla usiku nilimbeba mgongoni umbali wa nusu kilomita mpaka dispensary ilikuwa usiku na yeye anauzito wa kilo 83kg fikiria mzigo wake huo lakini nilimfikisha salama dispensary yeye hajawahi ni beba wala niogesha hata siku moja hivyo basi mimi si deki kama yeye ni kideka tu atanishtukia kuwa tayari usemi wa Cameroon unatimia Bongo.
 
Fidel80 KARIBU Saaana Leo home upate Chai na Mzee.... (I am proud of you)

Ahsante sana sister na wasihii tu wanaume wenzangu wajaribu kumrudia Mungu wasali sana haya mambo ya kidunia yawapitia pembeni kabisa na wayaone mambo mapya na ya ajabu kama navyo yaona mimi.
 
Aliyeanzisha hii thread leo namkubali mana hata wanaume hampingi, mana wangeshachachamaa sana humu ndani
 
Hujachelewa zidisha maombi ili usimkwaze mama watoto maana tayari unamapungufu umesha kili wazi wazi sasa kazi kwako kuyashughulikia ili mama Tuli ajiridhishe na mwenendo wa kila siku nyumbani.


We we una mke??
Umeoa lini na yupi kati ya wale naowafahamu???
Acha kujitoa show hapa tena yooote hapo yanakuhusu sana.
Nitamwaga radhi saa hii ohooo t
ena hiyo 2,3...........zinakuhusu sana mwone vile
 
Ahsante sana sister na wasihii tu wanaume wenzangu wajaribu kumrudia Mungu wasali sana haya mambo ya kidunia yawapitia pembeni kabisa na wayaone mambo mapya na ya ajabu kama navyo yaona mimi.

He he he kweli leo umekamatika toka nijiunge JF sijawahi kukuona ukiandika haya maneno kwenye bluu
 
Fidel80 unavojaribu kukwepa mawe embu tuambie wanaume rijali wana alama gani................

Wanaume rijali hawapo kabisa kwenye huo uzi wa Bishanga tunapenda kuwaita wanaume suruali kwa sababu amevaa suruali lakini matendo yake si ya kianaume hana maamuzi magumu katika familia na si kichwa cha familia, fikiria unarudi saa 5 unakuta watoto walikuwa wanacheza wanapo sikia sauti yako tu mbio chumbani na kujifungia hii inaleta picha gani kama baba? na kama mzazi? na kama kichwa cha familia? ndo matokeo ya wanaume suruali hajui kujari, hajui kuthamini n.k
 
We we una mke??
Umeoa lini na yupi kati ya wale naowafahamu???
Acha kujitoa show hapa tena yooote hapo yanakuhusu sana.
Nitamwaga radhi saa hii ohooo t
ena hiyo 2,3...........zinakuhusu sana mwone vile

duh! Leo watu wana hasira!
 
He he he kweli leo umekamatika toka nijiunge JF sijawahi kukuona ukiandika haya maneno kwenye bluu

Watu hamkawii kusema ooh ID ya Fidel imechakachuliwa mara ooh sio yeye ni mm mwenyewe nipo Tandale kwa Mtogole hapa na wifi yako baadae tunapanda hapo Tip Top
 
Back
Top Bottom