Blaki Womani
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 11,228
- 13,448
wana ubavu wa kuongea? wanasoma tu na kusepa.Nshakwambia kisu kimegusa mfupa leo.
daaah leo wamewashikwa pabaya.............ile ya majini kudadaleki ilichangamkiwa
wana ubavu wa kuongea? wanasoma tu na kusepa.Nshakwambia kisu kimegusa mfupa leo.
Ajisafishe kwanza na yeye
Aseme ni yapi kati ya hayo ambayo hafanyi
Au amechukulia mfano wake kuja kutupa taarifa hapa
Hii Bishanga anayoitoa hapa bila shaka ni taswira anayoiona baada ya kuzaliwa upya kiakili lakini pia ya marafiki zake walio wengi. Mi namsifia sana kwani hata hili la remote mimi limenigusa ila hayo mengine Mungu amenitenga nayo
mmmmhhhh haya.........limekugusa la rimoti tu? ai resev mai koment.Hii Bishanga anayoitoa hapa bila shaka ni taswira anayoiona baada ya kuzaliwa upya kiakili lakini pia ya marafiki zake walio wengi. Mi namsifia sana kwani hata hili la remote mimi limenigusa ila hayo mengine Mungu amenitenga nayo
Hi my big shem!Mkuu Bishanga hii ndo namna mpya ya utongozaji hapa jamvini ama kuna kitu sielewi!?
ndio maana yake mkuu,vipi upo ustawi wa jamii nini? Nalog offsi kweli lakini?