Niliwahi kuwaambia watu ubunifu wetu umekwama mahali,hata ukiangalia shule za serikali zinazoanzishwa sasa hivi na za zamani,za zamani bado zinabaki kuwa shule bora. Viwanda vya zamani tumeua,tunaanzisha mambo kuendeleza hatuwezi mfano mradi wa mabasi ya mwendokasi.Naamini kuna tatizo kubwa kwenye mifumo yetu ya elimu,hatutoi products zenye tija katika maisha yetu ya kila siku.Sisi tulishaanza kuendeleaa anagalu kuanzia 1990s ndio tukaanza tena kurudi nyuma..
Kuna vitu vingi sana tulishakua navyo vikafa, viwanda vingi mno vimekufa.