Jane Msowoya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2017
- 5,058
- 9,701
Umeshajaribu kuangalia namna ya kujiajiri ?Yes, nmesoma IT
Umeshajaribu kuangalia namna ya kujiajiri ?Yes, nmesoma IT
Kweli mkuu.Shida sio elimu bro, kwa elimu hii hii ya kibongo, ya kidumu cha maji na fagio, na kuwahi kuhesabu namba,wengine tumetoboa kwa ajira za hapa hapa nchini,shida ni kuwa fulsa ni chache Sana, uchumi wetu(kwa makosa ya CCM) hauwezi, kutoa ajira kwa, kila graduate wa chuo kikuu!
Nchi kama US ambayo inamaendeleo makubwa ya, kitekinolojia, serikali inayokuwa madarakani, hufanya juhudi kubwa kuhakikisha inatengeneza ajira nyingi kuliko mahitaji(sio, upuuzi,wa wanasiasa wetu waliofirisika,wanaosisitiza vijana wajiajiri) , mwaka juzi USA, ilikuwa, na nafasi, za, ajira milioni 6,na, wahitaji milioni 4!
Elimu ni muhimu bro, shida Afrika, nafasi ni finyu!
Tumebakiza kuwa wachuuzi tu,
Kwa, wadogo zangu, piga shule vzr,tafuta passport,
Angalia fulsa nje
Hiyo avatar ni wewe nini kuna ka binti kamenitumia kanasema ni yeyeUmeshajaribu kuangalia namna ya kujiajiri ?
Yes, asante sana mkuu.Mkuu hebu anza kuitumia elimu kama maarifa kuanzia hapo uliposasa! Ondoa mawazo yakutegema wengine watumie maarifa Yao kukuajiri wewe. Unaweza ukaanzia hapo kwakuchakata fulsa zilizopo hapo , changamoto za watu kizigeuza kisomi ili upate maokoto! Yupo mdau Fran kweli alipoteza muda kwakuamini elimu yake ni muhimu kuliko yeye kuyatambua maarifa ndani ya kitaa; lkn alipofanya uthubutu kwakujikamua kias kidogo alianza na mgahawa wa supu ya mbuzi aseee Sasa hivi yupo mbaliii sana ndugu kiongoz kikubwa ondoa masononeko Mzee wangu anza Sasa muda bado ni rafiki!
True..💯💯💯Conclusion:
Tanzaniaelimu haina maana.![]()
Ndio hapo mnatakiwa kutumia ujanja kujibu maswali ya usaili, au nini cha kujaza kwenye CV.Ukikaa muda mrefu bila kazi CV yako inakuaje jamani tafuta sehemu ya kujitolea walau mwaka mzima
Hata maana ya OP umeshindwa kujua ina maana gani?Mleta uzi anaingizwa kwenye 18 soon hapa.
Swali gani hili wakati maelezo yote yako ndani ya thread. Au kikubwa uonekane ume comment Kwa kusoma heading tu. Duuh. Unauliza maswali,majibu Yako kwenye maelezo. Na bado unazidi kumuulizaUmesomea nini?
Umejaribu kuwaza namna yakutumia elimu yako na ukajiajiri?
Yani sasahivi watoto wetu wanasoma na course ndio mengine hayaeleweki ilimradi kusoma afadhali hata hiyo IT mtoa mada Kuna nyingine hatari tupu![emoji2957]Lkn Ni muhimu pia kusoma hata Kama hakuna Kaz na connection
Watu tulikuwa tunakesha na maji miguuniHabari wanaJF....
Toka nko Primary school (PS), walimu wetu walipenda sana kutusihi kusoma kwa bidii ili tufanikiwe kimaisha. Toka mentality hiyo ya PS, niliwekeza mda wangu kwenye kusoma kwa bidii ili niyaishi maisha wanayosema walimu wetu.
Nmesoma shule kwa takilibani miaka 16 (toka Primary school mpaka nachukua degree yangu) kwa juhudi kubwa sana. Hatimae mambo yaligeuka toka pale nilipomaliza chuo na kurudi mitaani kufuata maisha yale walimu wetu walituambia, chakushangaza mambo yako tofauti kabsa.
Sasa na miaka 8 toka nmemaliza chuo, sjawahi kupata kazi ya maana. Tofauti na vibarua vidogo vidogo baada ya kumaliza chuo. Si kwamba skutafuta kazi, nmezunguka almost mikoa 8 Tanzania, nmefanya interviews za serikali zaidi ya 20, private sector zaidi ya 60. Nmerudi nyumban wale niliowaacha la 7 na F4, wana nyumba, biashara wengine magari.
Conclusion:
Tanzania [emoji1241] elimu haina maana.
Acha shobo hujaulizwa weweSwali gani hili wakati maelezo yote yako ndani ya thread. Au kikubwa uonekane ume comment Kwa kusoma heading tu. Duuh. Unauliza maswali,majibu Yako kwenye maelezo. Na bado unazidi kumuuliza
😂😂Hongera kwa kuchana vyeti nyuma ya keyboard
Keep on fighting.... never give up!.Habari wanaJF....
Toka nko Primary school (PS), walimu wetu walipenda sana kutusihi kusoma kwa bidii ili tufanikiwe kimaisha. Toka mentality hiyo ya PS, niliwekeza mda wangu kwenye kusoma kwa bidii ili niyaishi maisha wanayosema walimu wetu.
Nmesoma shule kwa takilibani miaka 16 (toka Primary school mpaka nachukua degree yangu) kwa juhudi kubwa sana. Hatimae mambo yaligeuka toka pale nilipomaliza chuo na kurudi mitaani kufuata maisha yale walimu wetu walituambia, chakushangaza mambo yako tofauti kabsa.
Sasa na miaka 8 toka nmemaliza chuo, sjawahi kupata kazi ya maana. Tofauti na vibarua vidogo vidogo baada ya kumaliza chuo. Si kwamba skutafuta kazi, nmezunguka almost mikoa 8 Tanzania, nmefanya interviews za serikali zaidi ya 20, private sector zaidi ya 60. Nmerudi nyumban wale niliowaacha la 7 na F4, wana nyumba, biashara wengine magari.
Conclusion:
Tanzania [emoji1241] elimu haina maana.
Eti wanaume Hawa ziragi😃🤣🤣, mzee Ushimen ume UA 😃Punguza hasira kijana, ebu kwanza tuambie umesomea nini.
Alafu....
Wanaume hawaziragi.
Wakati mwingine wanasema Dunia haina huruma.
Iki kupendeza, naweza kuja kuona mkuu.Hapo sawa nimekuekewa,utajiri uko shambani,dirty hands clean money,niko kanda ya ziwa huku
Pole Bro, I feel you.
Achana na Mockers, hawaelewi uhalisia wa mambo. IT sio nyepesi na interviews zake nyingi ni 3-ways (written, pract & oral). Ambacho wadau wengi hawajui ni kwamba hii kada ni evolving means kila mwaka kuna mambo mengi mapya yanaongezeka na ni seriously tough topics mf. Artificial Intelligence & Data Analysis.
Kwahiyo interviews zako zote utakazofanya uwezekano wa kutoboa ni 30/70 kwa sababu interviewer ana uwanja mpana sana wa kukuumiza hata ukirudia mara 50 kwa sababu syllabus nyingi za vyuo haziendi na Trend ya Technology.
So the more unakaa mtaani the more IT yako inakua Old kwenye corporate world and so interviews will always be harder for you.
Kuna mambo mawili unaweza kufanya hapo ulipo (of course ni ushauri so you can take it or leave it):
1. Kama bado una hisia kwamba IT inatakiwa ikupe ajira one day, then in your free time jifunze Data Analysis (R programming, Probability & Statistics na Advanced Excel). Uki master hii Kada vizuri, it can land you a job in one Attempt. Hakuna longolongo hapo! .
2. Kama umeamua kabisa kutundika viatu kwenye suala la ajira, take a long and hard look kwenye agribusiness. Kilimobiashara ndio biashara yenye uti wa mgongo mgumu zaidi hapa duniani. Itakua biashara ya mwisho kufa sekunde chache kabla Dunia haijapotea kwenye uso wa ulimwengu.
The Choice is Yours. I Rest my Case.
HongeraHabari wanaJF....
Toka nko Primary school (PS), walimu wetu walipenda sana kutusihi kusoma kwa bidii ili tufanikiwe kimaisha. Toka mentality hiyo ya PS, niliwekeza mda wangu kwenye kusoma kwa bidii ili niyaishi maisha wanayosema walimu wetu.
Nmesoma shule kwa takilibani miaka 16 (toka Primary school mpaka nachukua degree yangu) kwa juhudi kubwa sana. Hatimae mambo yaligeuka toka pale nilipomaliza chuo na kurudi mitaani kufuata maisha yale walimu wetu walituambia, chakushangaza mambo yako tofauti kabsa.
Sasa na miaka 8 toka nmemaliza chuo, sjawahi kupata kazi ya maana. Tofauti na vibarua vidogo vidogo baada ya kumaliza chuo. Si kwamba skutafuta kazi, nmezunguka almost mikoa 8 Tanzania, nmefanya interviews za serikali zaidi ya 20, private sector zaidi ya 60. Nmerudi nyumban wale niliowaacha la 7 na F4, wana nyumba, biashara wengine magari.
Conclusion:
Tanzania [emoji1241] elimu haina maana.