Ni kweli kabisa, lawama za kutaka mtu mwingine awe responsible kwa maisha yako sio sawa lazima upigwe upofu tu maana fursa zile zile wanazotumia F4& std 7 kutokea ungeweza kuzifanya vizuri kwa maarifa uliyotoka nayo huko chuoni unless ulitoka na cheti tupu. Pambana, future ipo kwa watu majasiri tu.Na sio kulaumu... Lawama zetu sometimes zinaleta upofu
Mbaka = mpaka. Watu kama wewe ndo maana mnakosa kazi.Nakazia hapa mimi pia ni muanga wa lile jamaa, nashukuru mungu humu jamiiforum kuna watu wana moyo wakusaidia wengine, baada ya kutoa kilio changu humu mmoja alikiona na kuamua kunisaidia kwa kunielekeza niende kwenye taasisi fulani ambayo walikuwa na uitaji wa mtu mwenye sifa kama zangu , kwasasa nipo huku nimejishikiza kupunguza japo ukali wa maisha lakin niseme tu mbaka sasa najioni kabisaa nipo nyuma ya muda na sijui kama mambo yatakuja kuwa sawa.
Utitili = utitiri, nafikilia = ninafikiriaKwa utitili huo wa interviews, sina hamu tena ya kufanya interviews....nafikilia alternative sasa.
Hasila = hasira.Hapana, sina hasila kali bali I'm just trying to think differently
Sawa mkuu.Mtu umesoma IT na bado unasema huna ajira kwa miaka 8 toka ulipohitimu chuo..Hiyo IT uliielewa vizuri kweli?..maana naamini usingeshindwa kujiariri hata kidogo na kuacha kulalamika.
Sasa waliosoma Education (Arts) watasemaje??
Kwa hiyo wewe ni IT halafu unalalamika eti huna kazi..?Information Technology (IT)
achana na jana imeenda iyo.. Achana na kesho unaruhusiwa kufanya mipango ya badae ila sio lazima..deal na wakati uliopo THE ONLY TIME IS RIGHT NOWThanks for your most exciting highlights...
But, the only issues is my lost time...
Elimu ya Tanzania ni matakataka ambayo hayapo jalalani bali yapo kwenye vichwa vya watu.Tanzania ukitaka kutoboa weka vyeti vyako kabatini anza kupambana upya bila kutegemea vyeti vyako vya taaluma!Habari wanaJF....
Toka nko Primary school (PS), walimu wetu walipenda sana kutusihi kusoma kwa bidii ili tufanikiwe kimaisha. Toka mentality hiyo ya PS, niliwekeza mda wangu kwenye kusoma kwa bidii ili niyaishi maisha wanayosema walimu wetu.
Nmesoma shule kwa takilibani miaka 16 (toka Primary school mpaka nachukua degree yangu) kwa juhudi kubwa sana. Hatimae mambo yaligeuka toka pale nilipomaliza chuo na kurudi mitaani kufuata maisha yale walimu wetu walituambia, chakushangaza mambo yako tofauti kabsa.
Sasa na miaka 8 toka nmemaliza chuo, sjawahi kupata kazi ya maana. Tofauti na vibarua vidogo vidogo baada ya kumaliza chuo. Si kwamba skutafuta kazi, nmezunguka almost mikoa 8 Tanzania, nmefanya interviews za serikali zaidi ya 20, private sector zaidi ya 60. Nmerudi nyumban wale niliowaacha la 7 na F4, wana nyumba, biashara wengine magari.
Conclusion:
Tanzania [emoji1241] elimu haina maana.
Kabebe box nje hapa utafeli sanaBado
Cheti kipi tena rafiki mdukuzi si ulisema ulikula mweleka UD ?Hatusomi kuajiriwa bali kufuta ujinga ili tuyakabili mazingira, mimi nilichana vyeti vyangu na naishi vizuri tu, njoo tulime kisomi.
Vyeti vya kuunga unga nilikuwa navyo,diploma,advanced diploma ,cerrificates etcCheti kipi tena rafiki mdukuzi si ulisema ulikula mweleka UD ?
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app