Miaka 8 bila kazi, tangu nimalize chuo kikuu

Miaka 8 bila kazi, tangu nimalize chuo kikuu

Wakati wa Mungu ndio wakati sahihi, huamua na hutenda kwa wakati wake

Nilikaa mtaani miaka 7 baada ya form 6 nafanya mishe mishe na hustling za hapa na pale, nikaona nirudi shule pamoja na kuanza kushika vijisenti,

mwanzo iliniwia vigumu sana ilibaki kidogo niache maana nilishaanza kuonja utamu wa kushika hela yangu mwenyewe kitaani na sasa inabidi nitegemee sapoti ya ndugu maana hata wana niliokuwa nahustle nao michongo wakawa hawanipi tena sababu wanajua nipo xul

Fast forward, baada ya chuo nilikaa mtaani mwaka mmoja tu nikapata ajira ya kudumu yenye maslahi kupitia elimu hii hii ya ndani

So inategemea na mipango yake Mungu, elimu yetu inaweza kuwa ina changamoto zake lakini wengi wametoboa na wanasogeza gurudumu la maisha yao kutokana na elimu hii hii.

Conclusion: Ukipata Elimu ya Bongo jiongeze na weka bidii utatoboa tu either kwa kuajiriwa au kujiajiri
 
Information technology unataka kuajiriwa?
Wakati form four Tu wanaingiza hela Kwa kufanya settings Tu za simu na Ku download watsap na nyimbo?


Wewe hujaamua Tu kujiajiri....usingekosa kazi kabisa...
Hata kufundisha computer huwezi??
Mkuu, kwasasa na umri wa miaka 32, hizo kazi zinakipato kidogo sana huwezi kuoa, kujenga, kuhudumia familia mjini, then kusomesha watoto baadae.
So, nmeona ntajikuta nmeendelea kupoteza mda mwingi zaidi, kwa vitu vidogo. Maana matarajio yangu hayakuwa hayo. Pili, huu si umri wa kucheza cheza tu. Huu ni umri wa kuwa baba mwenye familia....
 
Habari wanaJF....

Toka nko Primary school (PS), walimu wetu walipenda sana kutusihi kusoma kwa bidii ili tufanikiwe kimaisha. Toka mentality hiyo ya PS, niliwekeza mda wangu kwenye kusoma kwa bidii ili niyaishi maisha wanayosema walimu wetu.

Nmesoma shule kwa takilibani miaka 16 (toka Primary school mpaka nachukua degree yangu) kwa juhudi kubwa sana. Hatimae mambo yaligeuka toka pale nilipomaliza chuo na kurudi mitaani kufuata maisha yale walimu wetu walituambia, chakushangaza mambo yako tofauti kabsa.

Sasa na miaka 8 toka nmemaliza chuo, sjawahi kupata kazi ya maana. Tofauti na vibarua vidogo vidogo baada ya kumaliza chuo. Si kwamba skutafuta kazi, nmezunguka almost mikoa 8 Tanzania, nmefanya interviews za serikali zaidi ya 20, private sector zaidi ya 60. Nmerudi nyumban wale niliowaacha la 7 na F4, wana nyumba, biashara wengine magari.

Conclusion:
Tanzania [emoji1241] elimu haina maana.
Wewe ndo hauna maana. Elimu haina shida yoyote
 
Information technology unataka kuajiriwa?
Wakati form four Tu wanaingiza hela Kwa kufanya settings Tu za simu na Ku download watsap na nyimbo?


Wewe hujaamua Tu kujiajiri....usingekosa kazi kabisa...
Hata kufundisha computer huwezi??
Akipiga Kos ya kutengeneza simu atapiga pesa vzr za nzuri kila siku akosi 70 Sasa siiui anataka ajir gani tena
 
Wakati wa Mungu ndio wakati sahihi, huamua na hutenda kwa wakati wake

Nilikaa mtaani miaka 7 baada ya form 6 nafanya mishe mishe na hustling za hapa na pale, nikaona nirudi shule pamoja na kuanza kushika vijisenti,

mwanzo iliniwia vigumu sana ilibaki kidogo niache maana nilishaanza kuonja utamu wa kushika hela yangu mwenyewe kitaani na sasa inabidi nitegemee sapoti ya ndugu maana hata wana niliokuwa nahustle nao michongo wakawa hawanipi tena sababu wanajua nipo xul

Fast forward, baada ya chuo nilikaa mtaani mwaka mmoja tu nikapata ajira ya kudumu yenye maslahi kupitia elimu hii hii ya ndani

So inategemea na mipango yake Mungu, elimu yetu inaweza kuwa ina changamoto zake lakini wengi wametoboa na wanasogeza gurudumu la maisha yao kutokana na elimu hii hii.

Conclusion: Ukipata Elimu ya Bongo jiongeze na weka bidii utatoboa tu either kwa kuajiriwa au kujiajiri
Hongera mkuu, maisha hayana formula.
 
Back
Top Bottom