Jane Msowoya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2017
- 5,056
- 9,699
Umesomea nini?
Umejaribu kuwaza namna yakutumia elimu yako na ukajiajiri?
Umejaribu kuwaza namna yakutumia elimu yako na ukajiajiri?
Anhaa hapo sawa nitakucheki unielekeze mambo ya kilimo labda na mimi naweza kuachana na huu utumwa wakutishiwa na Mnyia mmoja kisa eti ni incharge.Vyeti vya kuunga unga nilikuwa navyo,diploma,advanced diploma ,cerrificates etc
Mkuu hivi unajua CD ni obsolute.... Sisemi anashindwa kutafuta cha kufanya au usipoata ujira haimaanishi elimu haina maana na wala elimu haipatikani shule pekee....Kwa hiyo wewe ni IT halafu unalalamika eti huna kazi..?
Yaani umeshindwa hata kufungua banda la kuunguza CD au kurusha nyimbo/movies kwenye flash au kwenye simu hapo mtaani kwenu ?
Hahah sema mdukuzi huwa una nyuzi kali sana... endelea kuziandikaVyeti vya kuunga unga nilikuwa navyo,diploma,advanced diploma ,cerrificates etc
Nina Uzi Kwa ajili ya vijana NDIO maana kaka angu mkubwa mwaka 2004 na degree yake ya education aliacha kazi ya ualimu serikalini Kila mtu kwenye ukoo wetu alishangaa sana na kumsihi asiache kazi....mkuu Tanzania Kuna fursa nyingi sana sema tu runachelewa sana kukutana na MAGIANT (GURU) Wetu wankukuonyesha njia.....Habari wanaJF....
Toka nko Primary school (PS), walimu wetu walipenda sana kutusihi kusoma kwa bidii ili tufanikiwe kimaisha. Toka mentality hiyo ya PS, niliwekeza mda wangu kwenye kusoma kwa bidii ili niyaishi maisha wanayosema walimu wetu.
Nmesoma shule kwa takilibani miaka 16 (toka Primary school mpaka nachukua degree yangu) kwa juhudi kubwa sana. Hatimae mambo yaligeuka toka pale nilipomaliza chuo na kurudi mitaani kufuata maisha yale walimu wetu walituambia, chakushangaza mambo yako tofauti kabsa.
Sasa na miaka 8 toka nmemaliza chuo, sjawahi kupata kazi ya maana. Tofauti na vibarua vidogo vidogo baada ya kumaliza chuo. Si kwamba skutafuta kazi, nmezunguka almost mikoa 8 Tanzania, nmefanya interviews za serikali zaidi ya 20, private sector zaidi ya 60. Nmerudi nyumban wale niliowaacha la 7 na F4, wana nyumba, biashara wengine magari.
Conclusion:
Tanzania [emoji1241] elimu haina maana.
Habari wanaJF....
Toka nko Primary school (PS), walimu wetu walipenda sana kutusihi kusoma kwa bidii ili tufanikiwe kimaisha. Toka mentality hiyo ya PS, niliwekeza mda wangu kwenye kusoma kwa bidii ili niyaishi maisha wanayosema walimu wetu.
Nmesoma shule kwa takilibani miaka 16 (toka Primary school mpaka nachukua degree yangu) kwa juhudi kubwa sana. Hatimae mambo yaligeuka toka pale nilipomaliza chuo na kurudi mitaani kufuata maisha yale walimu wetu walituambia, chakushangaza mambo yako tofauti kabsa.
Sasa na miaka 8 toka nmemaliza chuo, sjawahi kupata kazi ya maana. Tofauti na vibarua vidogo vidogo baada ya kumaliza chuo. Si kwamba skutafuta kazi, nmezunguka almost mikoa 8 Tanzania, nmefanya interviews za serikali zaidi ya 20, private sector zaidi ya 60. Nmerudi nyumban wale niliowaacha la 7 na F4, wana nyumba, biashara wengine magari.
Conclusion:
Tanzania [emoji1241] elimu haina maanconc
Kuna baadhi ya faniInformation Technology (IT)
Kaka yako mkubwa baada ya kuacha kazi ya ualimu alitoboa kimaisha auNina Uzi Kwa ajili ya vijana NDIO maana kaka angu mkubwa mwaka 2004 na degree yake ya education aliacha kazi ya ualimu serikalini Kila mtu kwenye ukoo wetu alishangaa sana na kumsihi asiache kazi....mkuu Tanzania Kuna fursa nyingi sana sema tu runachelewa sana kukutana na MAGIANT (GURU) Wetu wankukuonyesha njia.....
Biashara Kuna madogo apo kumi na mbili wana aminiana wanacheza mchezo wa 1m monthly mkuu mtu ana mke na familia na inaishi vyema na mchezo wa 1m anacheza mkuu inauma sanaa Kwa nyinyi wasomi sisi na degree zetu tulivumilia mengi now # financial freedom is around the corner [emoji4][emoji4][emoji3526][emoji3526][emoji851][emoji851]
Mkuu 😊 io ELIMU hailipiwi darasani yes mkuu Tupo dar es salaam TANZANIA 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿Kaka yako mkubwa baada ya kuacha kazi ya ualimu alitoboa kimaisha au
Na hao vijana wanafanya biashara gani
Haya ni maneno ya kutia moyo yasiyo na uhalisia.Amini wakati wako upo njiani
Don't pressurize yourself by looking others,
Trust the process,your time will come.
Mchawi konekshen Wallah [emoji41][emoji41][emoji41]Habari wanaJF....
Toka nko Primary school (PS), walimu wetu walipenda sana kutusihi kusoma kwa bidii ili tufanikiwe kimaisha. Toka mentality hiyo ya PS, niliwekeza mda wangu kwenye kusoma kwa bidii ili niyaishi maisha wanayosema walimu wetu.
Nmesoma shule kwa takilibani miaka 16 (toka Primary school mpaka nachukua degree yangu) kwa juhudi kubwa sana. Hatimae mambo yaligeuka toka pale nilipomaliza chuo na kurudi mitaani kufuata maisha yale walimu wetu walituambia, chakushangaza mambo yako tofauti kabsa.
Sasa na miaka 8 toka nmemaliza chuo, sjawahi kupata kazi ya maana. Tofauti na vibarua vidogo vidogo baada ya kumaliza chuo. Si kwamba skutafuta kazi, nmezunguka almost mikoa 8 Tanzania, nmefanya interviews za serikali zaidi ya 20, private sector zaidi ya 60. Nmerudi nyumban wale niliowaacha la 7 na F4, wana nyumba, biashara wengine magari.
Conclusion:
Tanzania [emoji1241] elimu haina maana.
Walioishia la 7 na form 4 wanamaisha mazuri. Nami nimeshikilia hapo[emoji1][emoji1]Habari wanaJF....
Toka nko Primary school (PS), walimu wetu walipenda sana kutusihi kusoma kwa bidii ili tufanikiwe kimaisha. Toka mentality hiyo ya PS, niliwekeza mda wangu kwenye kusoma kwa bidii ili niyaishi maisha wanayosema walimu wetu.
Nmesoma shule kwa takilibani miaka 16 (toka Primary school mpaka nachukua degree yangu) kwa juhudi kubwa sana. Hatimae mambo yaligeuka toka pale nilipomaliza chuo na kurudi mitaani kufuata maisha yale walimu wetu walituambia, chakushangaza mambo yako tofauti kabsa.
Sasa na miaka 8 toka nmemaliza chuo, sjawahi kupata kazi ya maana. Tofauti na vibarua vidogo vidogo baada ya kumaliza chuo. Si kwamba skutafuta kazi, nmezunguka almost mikoa 8 Tanzania, nmefanya interviews za serikali zaidi ya 20, private sector zaidi ya 60. Nmerudi nyumban wale niliowaacha la 7 na F4, wana nyumba, biashara wengine magari.
Conclusion:
Tanzania [emoji1241] elimu haina maana.
Tuanze kwanza na kozi uliyosoma, yawezekana tatizo sio kupata kazi tatizo ni kitu ulichosomea.
Pole sana, IT bado unafikiri kuajiriwa? Mbona kazi kibao.
Uwachunge ki-IT ili wawe tofauti na uliowakuta, wa kwako unakamua kwa computer, maziwa unauza kwa njia ya mtandao.That's what I'm doing right now. Kwanza nmeamua kurudi kijijini kabsa. So, kulima, kuchunga ng'ombe ndo shughuli naenda kufanya kwasasa