Hotuba ya Rais Samia Suluhu kwa Taifa Desemba 8, 2021 kuelekea miaka 60 ya Uhuru wa Tanganyika

Oscar Kambona hajatajwa kwenye orodha ya wapigania uhuru
Vipi wale babu zake mzee kilizi..wakina duly sykes na genge lao walitajwa?

Back to the topic..hotuba ilijaa matukio ya uhuru na tulipofikia..ila nilichoka kusikia mkoloni alituachia meli 6..miaka 60 ya uhuru sasahivi tuna meli 14..ina maana 60yrs tumeongeza meli 8 tu..huu ni upumbafu...ccm laana..wimbo wa maradhi..ujinga na umasikini bado unaibwa.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana..kulikuwa kuna jambo nyeti na unusual RAIS alitaka kuhuhudia taifa, pengine alikuwa too emotional, sasa kuna watu wa karibu sana nae watakuwa walinusa hilo.

Kiufupi, raisi hakudhamiria kuzungumza alichozungumza.
thats what i can bet.

Jambo la kujiuliza:
RAIS alikuwa na udharula gani kuzungumzia aliyoyahutubia LEO?
huku KESHO ni siku ya kuadhimisha sherehe za uhuru, ambapo angekuwa wasaa mzuri wa kuhutubia nchi.

Kwamba hayo tuliyoambiwa leo, yalikuwa yana udharula gani kusemwa leo?
Hili hata mimi limenishangaza, kiukweli nilitegemea kitu tofauti kabisa kabisa!
 
Inapendeza sana

20211209_004846.jpg
 
🤣🤣🤣 ni muhimu ufahamu wapi ulipotoka Maana ukwendapo hupajui...... Kusema hi hotuba sio, nafikiri huko.ni kumvunjia heshima kiongozi wa nchi.
Nadhani hiyo heshima hana
Na ukiamua kubisha na ukasema anayo basi nikuhakikishie anaivunja mwenyewe
Kwa chief Hangaya, intellectually ni sifuri yaani zero (0) hajui kujenga hoja wala reasoning capacity hana. Majizi yamemsoma sasa yanatembelea uchochoro huo
Tanzania tuna muangalizi wa ikulu hatuna Rais wa kuongeza gurudumu ukiamua kubisha fresh mi nimaoni yangu
 
Ananikumbuka kuna aina ya Walimu kufundisha kwao, Anasoma kama notes zilivyo andaliwa hapunguzi haongezi zikiisha Slide 20 na Yeyw amemaliza Halafu anauliza Mmeelewa

Sasa si bora Angetupatia wenyewe hizo Notes Tujisomee kuliko kutembea umbali mrefu kwenda Darasani halafu unafika pale anasoma kilicho andikwa.

Kimbembe Umuulize Swali, Utasikia Kwanza wewe una kesi nyingi sana na mimi .

Kuna muda nawaza, Tanzania Tulipaswa kupata uhuru mwaka 2007 au 2008.

Sijui tulikuwa na Kiherehere cha kwenda Wapi?
 
Kuna muda nawaza, Tanzania Tulipaswa kupata uhuru mwaka 2007 au 2008.

Sijui tulikuwa na Kiherehere cha kwenda Wapi?
Ina maana ulitaka tuwe kama visiwa vya Barbados ndio juzi wameacha kutawaliwa na Malkia wa Uingereza?😲
 
Tuna changamoto kubwa kama taifa kuamini maendeleo yanaletwa na chama cha siasa,na hapo ndio mkwamo mkubwa unaotulemea mpaka leo.

Haiwezekani kila siku tunapambana na vitu vile vile,Kwa mazingira yaleyale na mifumo yenye kariba ya watu walewalee. Naamini maendeleo ya kweli yanaletwa na mifumo imara inayosimamiwa kikamilifu,na mihimili imara inayotenda haki na kusimamia sheria.

Kariba mpya ni muhimu na lazima kwa sasa,hatuwezi kuishi na mawazo ya miaka ya 70 wakati tupo karne mpya yenye mambo mapya na mbinu tofauti.
 
Mkuu fanya tathimini. Nyerere was good, akaja Mwinyi nchi hoi, akaja mkapa akajenga, alivyokuja JK ohhhh wewe unajua (ingawa awamu zote kuna vitu walifanya lakini siyo priority na sustainable), na vipindi hivyo rushwa na kujuana na kurithishishaba familia. Alipokuja Dkt Magufuli wewe unajua. So Mama naye kaelekea kwa Mwinyi na Kikwete yaani full kuzuga Mama, haeleweki anataka kuitendea nini Tanzania.
Mamaa Bashite upo?
 
Vipi wale babu zake mzee kilizi..wakina duly sykes na genge lao walitajwa?

Back to the topic..hotuba ilijaa matukio ya uhuru na tulipofikia..ila nilichoka kusikia mkoloni alituachia meli 6..miaka 60 ya uhuru sasahivi tuna meli 14..ina maana 60yrs tumeongeza meli 8 tu..huu ni upumbafu...ccm laana..wimbo wa maradhi..ujinga na umasikini bado unaibwa.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Ulitaka meli ngapi vile!??? Kwa ajili ya shughuli gani, wakati Tanzania hatupigani vita!???
 
Back
Top Bottom