Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 17,992
- 43,481
Tumbo liko full yani tumbo liko pwaa,
Kwenye daladala naachia kitu like...,
Kwenye daladala naachia kitu like...,
Ndio yeye hyo.....
Huyu ndio ameimba ule wimbo wa maisha na muziki wacha maneno leta muziki?
Huyu ndio ameimba ule wimbo wa maisha na muziki wacha maneno leta muziki?
Aliyeimba wimbo huo ni Darasa
Huyu ndio ameimba ule wimbo wa maisha na muziki wacha maneno leta muziki?
Yule mdada video queen wa video ya cpwaa problem, Instagram anatumia jina gani? inamankuswekeProblem dude la maana,nna wanangu walikua wanadai kile kidada cheupe kwenye problem kilimtaka mwamba aagize na mafuta wakayatumie kudinyana..nilikua nakiangalia sana
😁😁😁
Ushachanganya tui la nazi na maziwa...
Aina flani ya muziki ulitamba sana hususani mid 2000s hadi mwanzoni mwa 2010s. kamsikilize Tpain utauelewaBongo crank ndo mziki gan?
Niliona kipindi flani alikuwa Shujaaz ya Kenya na kwa Tz alikuwa Tai. Naona jamaa bado anafanya kazi za kibunifu kama consultant ila ukitaka kujichanganya nae online, yupo active sana Twitter "X"The luckiest dude yuko wapi huyu jamaa sikuhizi????
Sijui kwa kweliYule mdada video queen wa video ya cpwaa problem, Instagram anatumia jina gani? inamankusweke
😀 😀 😀 kuna watu wapo outdated aiseeNdio yeye hyo.....
Ndio huyo huyo mkuu na kwenye kiitikio alimshirikisha bwana benard paulo..unaonekana una kapenda sana hako ka wimbo.
Huyu ndio ameimba ule wimbo wa maisha na muziki wacha maneno leta muziki?