BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,376
- 8,118
Wakati wa uhai wake, alijizolea sifa ikiwemo kuwa na uwezo kuingia studio na kurekodi 'Ngoma' bila kuandika (Freestyle) na bado wimbo ukawa mkali na unaoeleweka, ikiwa ni tofauti na 'Freestylers' wengi ambao huishia kuweka Vina' bila kuwa na maana
Ngwair alifanikiwa kuachia Albamu 2, (A.K.A MIMI - 2004 na NGE 1982 ya mwaka 2009), alitamba na vibao kama Ghetto Langu, Mikasi, Sikiliza, CNN, Nipeni Deal n.k. Alifariki dunia Mei 28, 2013 akiwa Nchini Afrika Kusini
Unamkumbuka kwa wimbo gani mkali huyu??