Miaka 27 huna mtoto? Jichunguze

Miaka 27 huna mtoto? Jichunguze

Jay Z alimpata mtoto wake wa kwanza Blue Ivy akiwa na miaka 36..Kanye Kwest alimpata North West akiwa na miaka 35..Obama alimpata Malia akiwa na umri wa miaka 37...mswahili mmoja ambaye hana nyuma wala mbele analete uharo wake hapo..jinga kabisa
Bro Jay z alimpata mtoto wake akiwa na 42 yrs old kwahiyo omba mungu akunyoeshee mipango yako.katika maisha yako
 
Mtoa mada shukuru kama umepata mtoto ktk umri huo kuna watu wameoa na kuolewa ktk umri mdogo lakini hawajabahatika kupata watoto, aliyekupa wewe ndiye aliye wanyima na kuwachelewesha wengine hivyo Mungu hadhiakiwi, kuzaa ni majaliwa ya mwenyezi Mungu.
 
Mtoa mada shukuru kama umepata mtoto ktk umri huo kuna watu wameoa na kuolewa ktk umri mdogo lakini hawajabahatika kupata watoto, aliyekupa wewe ndiye aliye wanyima na kuwachelewesha wengine hivyo Mungu hadhiakiwi, kuzaa ni majaliwa ya mwenyezi Mungu.
Sawa mkuu nimekuelewa,usijali
 
Waoga wa Maisha siku zote wanaogopa Watoto, wanakuambia wanajipanga.

Cha ajabu Umri unazidi kwenda, na bado hali yao kimaisha si Simba wala Yanga.

Sasa sijui wanajipanga nini!

Watoto wana raha yake, msiwe waoga.

Kama wewe unakula Tembele, na Mtoto atakula Tembele, hivyohivyo mpaka Mtoto anakua.

Jiulize, wewe unaeogopa Mtoto.

Wewe ulikuzwaje?

Lini Wazazi wako/wenu walilala nje eti kwasababu ya wewe Mtoto, nyie Watoto!
 
Waoga wa Maisha siku zote wanaogopa Watoto, wanakuambia wanajipanga.

Cha ajabu Umri unazidi kwenda, na bado hali yao kimaisha si Simba wala Yanga.

Sasa sijui wanajipanga nini!

Watoto wana raha yake, msiwe waoga.

Kama wewe unakula Tembele, na Mtoto atakula Tembele, hivyohivyo mpaka Mtoto anakua.

Jiulize, wewe unaeogopa Mtoto.

Wewe ulikuzwaje?

Lini Wazazi wako/wenu walilala nje eti kwasababu ya wewe Mtoto, nyie Watoto!
Wananikera sana mkuu,utasikia najipanga.ukiuliza una sh.ngapi tangu umeanza kujipanga,unakuta hana lolote
 
Wananikera sana mkuu,utasikia najipanga.ukiuliza una sh.ngapi tangu umeanza kujipanga,unakuta hana lolote
Hao wanasumbuliwa na nidhamu ya Uoga.

Wewe ujipange kwani una mkataba wa kuwepo kuishi hapa Ulimwenguni milele?

Maisha yenyewe haya mafupi.

Na watu wa hivyo wa kujipanga, kwa Mwanamme ikitokea bahati mbaya kimenasa, hawakawii kuwaambia Mademu zao wakacholopoe Mimba, na kama ni kwa Mwanamke halikadhalika wataenda kucholopoa.

Na kingine, hao wa kujipanga ndio wanaoongoza kwa kuwakana/kuwakataa Watoto wao.

Mtoto anapozaliwa hawakawii "sio Mwanangu", "sio wa kwangu"

Kumbe hawana lolote Uoga wa Maisha na Majukumu unawasumbua
 
kuna jammaa kapata mtoto wake wa kwanza akiwa na miaka 42 kaulize elimu yake degree 2 masters 2 diploma 1 certificate 2 phd 1
 
Tatizo maisha magumu mkuu. Mimi nilikua tayari kuzaa hata nikiwa na miaka 18 ili niwakuze wanangu nikiwa bado kijana. Maisha yamefanya watu tumegonga miaka 38 bila mke wala mtoto.
Miaka 38 acha Utani wewe....... Yaani Mimi Nikiangalia Mtaani kwangu hapa.. Nikianza na Baba yangu Mpk Nyumba Kumi Na na Kidogo hakuna Amabyw Hana Mtoto wa Nje
 
Tatizo maisha magumu mkuu. Mimi nilikua tayari kuzaa hata nikiwa na miaka 18 ili niwakuze wanangu nikiwa bado kijana. Maisha yamefanya watu tumegonga miaka 38 bila mke wala mtoto.
Duuuuu!!!!!
 
kuna mkorea 1tupo nae hapa ofisini siku ana miaka 26 sasa siku moja nilimuuliza unategemea lini kupata mtoto akaniambia hana huo mpango,nikamuuliza tena unategemea lini kuoa akasema hana mpango.nikamuuliza kwa nini huna hiyo mipango akaniambia kuwa na mtoto au mke kwa kwao ni gharama sana kama huna kipato cha kutosha na akanipigia hesabu mpaka huyo mtoto afike chuo kikuu itamgarimu hela kadhaa na akasema hapo bado kumhudumia mke.
kiufupi alisema maisha ni magumu sana ma hata akizaa mto to hata zidi 1
nilichojifunza ni kuwa ktk maisha kila moja ana tafsiri yake ya maisha kulingana na mtazamo wake na namna ya jinsi atakavyopats furaha.hvyo usitake kila mtu aishi kulingana na mtazamo wako.
Maisha Ya Tanzania si Maisha ya Huko Nje ... Eti na Wewe Usiwe na Mpango Kwa Vile Ngozi Nyeupe imesema hivyo...

Tanzania Hapa Hakuna Gharama Yeyote maana Magufuli Anatoa Elimi bure Mpk Form Six.... Labda kama Unataka kujiongezea Gharama mwenyewe kwa Kumpeleka Private
 
Wewe kama ulishafyatua chini ya umri huo tulia endelea kulea wtt wako bana usihangaike kuwaza sana juu ya maisha ya watu wengine
 
Usilazimishe watu waishi jama uishivo kila mtu ana mipango yake na kila kitu kwa kila mtu kitatokea kwa wakati wake!..msikariri maisha
 
Back
Top Bottom