Miaka 27 huna mtoto? Jichunguze

Miaka 27 huna mtoto? Jichunguze

Mkuu sidhani kama kukimbilia kuoa au kuzaa kisa umri umenda ni dili ila kinacho matter hapo una plan gani kichwani wengine tuna waza kuwa na familia pale unaona ntaweza kuipa mahitaji yake muhimu ikiwemo watoto wasome vizuri sio wasome tu wasome vizuri, wale na kulala mahala pana eleweka sio una miaka 27 una kimbizana na nyumba za kupanga watoto umezaa watatu kodi tu mwisho wa mwezi ina kutoa jasho je hiyo ada ya watatu utaweza? so kuwa na mipango nadhani ndio jambo la kuangalia zaidi
Huna mipango wewe,ukiwa peke yako mungu hakupi ridhiki kamwe.lazima uwe na mtu anayekutegemea ndio utaelewa ninachomaanisha hapa.
 
Huna mipango wewe,ukiwa peke yako mungu hakupi ridhiki kamwe.lazima uwe na mtu anayekutegemea ndio utaelewa ninachomaanisha hapa.
Mkuu ndio naskia kwako leo eti ukiwa mwenyewe Mungu hakupi riziki mimi na amini riziki hupatikana popote pale Mungu atakapo amua kukufungulia baraka zake so kuwa na mtu au watu wana kutegemea haimaanishi ndio utapata koz kama ipo ipo tu ila unapo kuwa una watu wana kutegemea jitihada za kazi huongezeka na unaweza ukawa mwenyewe pia ukapata vile vile so kuwa makini katika uchambuzi wako kwa hili

Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
 
Mkuu ndio naskia kwako leo eti ukiwa mwenyewe Mungu hakupi riziki mimi na amini riziki hupatikana popote pale Mungu atakapo amua kukufungulia baraka zake so kuwa na mtu au watu wana kutegemea haimaanishi ndio utapata koz kama ipo ipo tu ila unapo kuwa una watu wana kutegemea jitihada za kazi huongezeka na unaweza ukawa mwenyewe pia ukapata vile vile so kuwa makini katika uchambuzi wako kwa hili

Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
Siongei na waoga wa maisha
 
Tatizo maisha magumu mkuu. Mimi nilikua tayari kuzaa hata nikiwa na miaka 18 ili niwakuze wanangu nikiwa bado kijana. Maisha yamefanya watu tumegonga miaka 38 bila mke wala mtoto.
Hahahaha noma sana
 
Naogopa ukimwi kama kondom inatia mimba basi demu wangu atajifungua kesho
 
  • Thanks
Reactions: irk
IQ ya watanzania, habari ya kuzaa habar ya umri basi tu hayo yaliwekwa kwa kuangalia afya za watanzania ila kwa nchi zenye uchumi mzuri watu wanaweza ku afford maisha yao kwa needs zote za kila siku wao wanashauri kuzaa wakati umri ukiwa umeenda kwa kuw wao uishi mda mrefu xo mleta mada acha kukalili shida na logic za darasa la pili b za kwenye nchi masikini
 
IQ ya watanzania, habari ya kuzaa habar ya umri basi tu hayo yaliwekwa kwa kuangalia afya za watanzania ila kwa nchi zenye uchumi mzuri watu wanaweza ku afford maisha yao kwa needs zote za kila siku wao wanashauri kuzaa wakati umri ukiwa umeenda kwa kuw wao uishi mda mrefu xo mleta mada acha kukalili shida na logic za darasa la pili b za kwenye nchi masikini
Wewe itakuwa hii topic imekugusa,huzai
 
Siongei na waoga wa maisha
Wewe mwenye ujasiri wa kupambana nayo ni maendeleo gani binafsi na kwa taifa lako unayo ya kutamanika nakuinspire wengine kukuiga au unaleta ubishi usio kuwa na tija!! Koz unajikuta una shuka na uzi na maneno yako ya kejeli afu ukute ndio walewale wa kula kwa shikamoo. hapa tupo kushare life experiences na ideas ambazo ni constructive sio kubisha tu
 
Nimelipenda bandiko lako Mkuu, hongera kwa kujitambua.

Ndio maana mnazaa watoto wanaishia kuzagaa mitaani na mkiwapeleka shule basi zile za kidumu mkononi,1st born wangu nilikua na 30 years nilikua na uhakika wa kumlea katika njia sahihi ingawa wadogo zangu walinitangulia ila niliweka malengo mtoto aje anikute nimefanya ABC's sio nisake mtoto kisa umri.
Pata mtoto ukiwa na miaka 18 na mimi 30 ila muhimu wapate malezi bora sioni sababu ya kukimbizana kama wataishia mtaani tu,kwa wale ambao wanahisi wamechelewa fanyeni vitu kwa mipango siku hizi hakuna zile za mtoto kulelewa na babu na bibi au ba'mdogo lazima tujipange hakuna haja ya kuwasikiliza haw wanaowaaminisha eti lazima mtoto aje ukiwa umri fulani.
 
Wewe mwenye ujasiri wa kupambana nayo ni maendeleo gani binafsi na kwa taifa lako unayo ya kutamanika nakuinspire wengine kukuiga au unaleta ubishi usio kuwa na tija!! Koz unajikuta una shuka na uzi na maneno yako ya kejeli afu ukute ndio walewale wa kula kwa shikamoo. hapa tupo kushare life experiences na ideas ambazo ni constructive sio kubisha tu
Kaa hivohivo
 
Hahahah nishawahi kusingiziwa mimba. Hizo za waliotoa sihitaji kusema maana a gentleman hajisifii maovu.

Nna 28 yrs na sina mtoto. Najisikia vizuri tu.

After all, maisha yangu ni movie na mimi ndio DIRECTOR, editor wangu ni MUNGU. Huniambii chochote.
 
Back
Top Bottom